Invigilator
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 3,203
- 5,997
- Thread starter
- #61
Kabisa maana ndio lengo kuu.Fanya ufanyavyo utafute chaka la kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa maana ndio lengo kuu.Fanya ufanyavyo utafute chaka la kazi
Ahsante sana kiongozi.Kila la heri.. ukipata njia za kuwabeba wengine usisite
Shukran sana.Inapendeza sana na ahsante kwa taarifa...
Mkuu hawa achana nao, me sijihangaishi nao kabisa.Kuna kitu kinaitwa world view kama ulisoma level ya chuo kikuu utakuwa unakijua kama wewe ni gumbalu basi endelea na maswali yako ya kishamba.
Ahsante sana mkuu, tuendelee kusaidiana hivyo, maana wengine wanafikiri lengo la huu Uzi sijui ni kutamba, me nahamasisha tu watu wasikate tamaa kila kitu kinawezekana.Ni vizuri kushukuru neema za Mwenyezi Mungu na kuhadithia ni Moja Kati ya njia za kushukuru ilimradi wengi nao wasikate tamaa kama mimi nimepata nilijiwekea maisha yangu niishie kulima korosho chitoholi lakini sasa nimehamasika kuingia USA kupitia uzi wake.
Amina, Mungu atende sawa sawa na mapenzi yake, weka nia utafika kokote unakohitaji.Hongera sana Ndugu, Mungu anikumbuke na mimi pia.
Yaani mkuu, hawa jamaa wanashida gani sijui.Nawewe nenda mbinguni uanzishe wako.
Ahsante sana Mkuu,ngoja nifanye hivyo.Mfollow Fb, youtube Ernest B.Makulilo (EBM Scholars) hakika utajifunza mengi sana hapo U.SA
Sawa kiongozi wangu.Pia usisahau kuuwauliza wenyeji wako basic procedure kizifahamu unapo simamishwa na POLICE unatakiwa uwe vipi wasije wakafupisha Ndoto yako.
Shukran sana.
Hahaha nakwambia walikuwa wananitukana wewe acha, Mungu awalipe mema tu.Mungu mwema wakati wote!nawapatia picha wale wachawi wako Sasa[emoji57][emoji32][emoji32][emoji32][emoji32][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwa Canada sina ufahamu Mkuu, pengine watakuja wanaojua zaidi.Samahani naomba kuuliz embassy zetu zina utaratibu gani kama unataka kutembelea for inquiries especially canada maan ndo nchi nategemea kwenda
Sawa subiri nitajibu.Jibu swali kijana acho kukwepa
Ahsante mkuu, fanya hivyo,iwe amani na mafanikio kwako.Na subscribe huu uzi kwa faida ya baadae... Tutakutana huko One Day, nategemea hata baada ya masomo yako utaendelea kubaki huko huko
Ahsante sana MkuuAsante sana mama samia hz juhudi zako kwa kufungua nchi. Piga kazi kijana marekani uctoke bure
Sawa MkuuFanya vizuri kwanza ukigraduate makampuni mengi yanajitokeza kutafuta wafanyakazi nautaajiriwa kwa kile ulichosomea na kwa grades nzuri ulizopata .
Kama hujajitahidi unapewa kazi za kawaida na baadae ukijitahidi ndio unapata wao ndio wakikuhitaji watafanya mpango wa wewe kupata kibali cha mfanyakazi.
Sawa mkuu.Hiyo nchi me ilinishinda nitakuja kuleta uzi siku moja jinsi nilivyoshindwa kuishi amerika nikakimbilia Canada
AhsanteHongera sana fuata sheria tu utafurahia maisha.
Ahsante mkuuHongera sana....
Karibu Mkuu, karibu sana huku, ufanikiwe nakuombea.One day, soon enough...!!!!Siku moja nitakuja kufufua hii comment [emoji4][emoji3577]
Kikubwa afya na uhai wake Kristo.
Inshallah...Aamina