Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

BM UNAENDA KUPEWA MKE
 
Ohooooo Michelle kapeleka umbea kuwa caren anaishi na BM[emoji28][emoji28]
 
Mtoto anaingiaje chumbani asubuhi....! Akikutana na morning glory ataweza kuhimili?
 
Ubaya ni kwamba huwezi kutabiri nini kitajiri kwenye episode inayofuata hata iweje. Hongera sana kaka BM [emoji119][emoji119][emoji119][emoji91][emoji91][emoji91] Tusaidie tu kupatapo hizi episodes walau mara moja kwa wiki au wiki 2. Pia episodes walau ziwe 3 mkuu, hii arosto itatuua kwakweli.
 
BM X6...kwa mazingira haya Annie hawez kuwa mpnz wako tenaaa..Kuna vitu Ana sense.… Na ikiwezekana anatongozwa sna sana huko alipo na isitoshe a
Kacheat Kimasihara...caz huna attention nae na anajua..kwa maamuz yyte utakayo fanya kwa hao watatu ur gone..Anza kujitafuta kimtaji.,.save sana sana..tofaut na hapo unaenda angukia pabaya sana.,.
 
Noted mkuu, nitalifanyia kazi hili pendekezo
 
Hapo kwenye kujitafuta najitafuta sana ila nitajipata tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…