Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wiki mbili mkuuVuta subira Mkuu, mei mosi sio mbali kihivyo
Shukuru hata hiyo Mei Mosi mkuu! Mpango ilikuwa itaendelea saba saba😎wiki mbili mkuu
Duh, nilivyoona Comment yako nimerudi nyuma kujaribu kukutafutia na mm nimezikosaNi mimi peke yange siioni Season 2 Episode ya 13 na 14 au hazipo kabisa??
Toka juzi nimetenga muda nikapitia uzi mzima sikuziona kabisa, daah sasa sijui tunazipataje mkuu.Duh, nilivyoona Comment yako nimerudi nyuma kujaribu kukutafutia na mm nimezikosa
Zitakuwa zimejifuta au shida nini? Kwasababu Episode ya 13 na 14 nilizipost
Ni mpaka mei mosi?Vuta subira Mkuu, mei mosi sio mbali kihivyo
Nikizitupia tena sio kama nitaharibu mtiririko wa storyIngependeza sana kama ungezitupia hapa, maana nimekwamia kwenye episode ya 12 nashindwa kuendelea na stori.
Wiki mbili ni muda mrefu sana mkuu kama huamini fuatilia maisha ya mbu hapo vitakua vimepita zaidi ya vizazi vinne vya hao waduduVuta subira Mkuu, mei mosi sio mbali kihivyo
Kipande Gani hicho mkuuHiki kipande ukiwa unakisoma kama bandama zako ziko fresh lazima ucheke cheke
Yeah hujakosea kabisa, mm ni mpole flaniHahahaha huyu Careen mbona tunafanana tabia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Good story [emoji122] ila jamaa una asili ya upole na ustarabu ndyo maana despite ya manyanyaso yote ya Caryn wala haukasiriki na kuzira...ustarabu wako ni wa hali ya juu maana angekuwa mwingine angeshamla Careen kitambo sana
Yaani pigo zake kabisa ni hela tu sina halafu sio wa kishua [emoji1787][emoji1787]Yeah hujakosea kabisa, mm ni mpole flani
Anyways, so na wewe una pigo kama za Caryn sio?
Ayaah! sasa ww ukija kupata pesa ndio utakuwa Balaah! Kama huna tu ndio upo hivyo I can't imagine ukizishikaYaani pigo zake kabisa ni hela tu sina halafu sio wa kishua [emoji1787][emoji1787]