Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Dah Bm jamani pole sana tena sana ,, kuna namna ya ziada ya kufanya mana kama ndo hatua hizi utaingizwa hasara zaidi kwani inakulazimu ukifika tena bandarini dar uikague mizigo yote ili kama kuna ulomiss unadeal nao kabisa hapo hapo ulowakabadhi kwenye boti
 
TSH 2000/- x watu(member) 100 = 200000/- hembu tuweke hata 2000, 3000, nk.

Natuma yang u ila utupe feedback.

Ushair wangu pia baada ya hapo story uiweke kwenye WhatsApp group, kama ni Asante yako kwetu wachangiaji was tsh 78500/- tuipatie huko.

Vilwvile itawajua waliokisaidia miendelezo iwe hukohuko.
 
Tatizo vitu vyote hivi huwezi ukafanya mwenyewe, Kuna kusaidiana, sasa ikitokea shida kama hii Kila mtu anajitoa kwenye kosa mwisho wa siku mwenye dhamana ndio anawajibika
 
Feedback muhimu mkuu, hadi sasa hivi nimepokea pesa ya member mmoja tu ambaye ni Mlendamboga Tsh elfu ishirini (20,000)
 
Feedback muhimu mkuu, hadi sasa hivi nimepokea pesa ya member mmoja tu ambaye ni Mlendamboga Tsh elfu ishirini (20,000)
Labda ungeanzisha thread ya kuomba msaada. Kwasababu ulishawambia watu waje hapa mei mosi, Kwahiyo kutembelea hii thread ni watu wachache sana
 
Labda ungeanzisha thread ya kuomba msaada. Kwasababu ulishawambia watu waje hapa mei mosi, Kwahiyo kutembelea hii thread ni watu wachache sana
Sio wazo baya, ila acha tu watu watakutana nayo hapa hapa
 
Labda ungeanzisha thread ya kuomba msaada. Kwasababu ulishawambia watu waje hapa mei mosi, Kwahiyo kutembelea hii thread ni watu wachache sana
Ukianzisha thread kma hii inafutwa bora aombe humu humu wenye uwezo watamsaidia
 
Daah pole mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…