Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Dunia ina watu wachache sana wenye uwezo wa kutumia angalau 2-3% ya ubongo wao. Watu wengi wanatumia chini ya 1% ya uwezo wa ubongo wao. Mimi sijui natumia asilimia ngapi muda utaongea uko mbele ya safari
 
Asante kwa muendelezo ila inaonekana ndefu tofauti na ulivyohaidi
 
Nimemuona mwandishi apa kitamba cheupe anatuliza akili kesho aje kuendelea kuweni na subira kdgo
 
Safari ya Zanzibar ni lisaa limoja lingetosha kabisa kushusha episodes... ila mzee wako alishakwambia unamatatizo ya kumbukumbu so jaribu kumuona Dr. Kumbuka mapema kabla halijawa sugu

nasubiria muendelezo
 
Back
Top Bottom