BM X6
JF-Expert Member
- Nov 24, 2020
- 1,376
- 4,222
- Thread starter
- #2,561
Wakuu nimelala naona usingizi hauji, Kuna issue inani stress vibaya mno tangu juzi, inshort nina shida na elfu sabini na nane na mia tano (78,500/=) kuna pesa inahitajika Mahali urgent (5,600,000) ili mambo yaweze kwenda,
Jana na Leo kutwa nzima nimeshapitia watu wangu wote wa karibu kimepatikana kiasi Fulani (5,521,500) Bado Tsh 78,500 ili lengo liweze kukamilika. mbaya zaidi kuna deadline
Hadi nimekuja Jf nimeshapita kona zote...
Caryn kacheua Milioni 1
Michelle kacheua laki 4 na 50 (ya mkopo)
Annie kacheua laki 7 (ya mkopo lakini hatorudishiwa)
Accountant kacheua 1 milioni (ya mkopo, hii kwa namna yeyote itarudishwa)
Na wengine ambao hamuwajui, wengi wamenikopa kasoro Caryn & 2 others
Kiasi kilichobaki nimeona nikilete hapa mnipunguzie stress, TIGO PESA - 0719 647 407
Sikuwahi kujua kama ordinary seventh thousands inaweza nitoa jasho namna hii
Kama tunakuwaga wote katika miendelezo/muendelezo basi katika hili naimani pia tupo pamoja
Thanks in advance
Jana na Leo kutwa nzima nimeshapitia watu wangu wote wa karibu kimepatikana kiasi Fulani (5,521,500) Bado Tsh 78,500 ili lengo liweze kukamilika. mbaya zaidi kuna deadline
Hadi nimekuja Jf nimeshapita kona zote...
Caryn kacheua Milioni 1
Michelle kacheua laki 4 na 50 (ya mkopo)
Annie kacheua laki 7 (ya mkopo lakini hatorudishiwa)
Accountant kacheua 1 milioni (ya mkopo, hii kwa namna yeyote itarudishwa)
Na wengine ambao hamuwajui, wengi wamenikopa kasoro Caryn & 2 others
Kiasi kilichobaki nimeona nikilete hapa mnipunguzie stress, TIGO PESA - 0719 647 407
Sikuwahi kujua kama ordinary seventh thousands inaweza nitoa jasho namna hii
Kama tunakuwaga wote katika miendelezo/muendelezo basi katika hili naimani pia tupo pamoja
Thanks in advance