Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Aysee! hebu niache kwanza tafadhali...niache tu na upuuzi wangu
namshangaa kaenda kusoma upuuzi na akaudadavua upuuzi atuache sie wapuuzi na upuuzi wetu ni mpuuzi tu ajihusishae na upuuzi katika upuuzi,, amenikera
 
Aysee! hebu niache kwanza tafadhali...niache tu na upuuzi wangu
Toka hapa na utapeli wako. Najua unapoelekea. Haya tuma namba tujiunge na group lako kwa 5,000 kwa mwezi. Ujinga tu. Wenzako kibao washakuja na waliishia hivyo hivyo. Nashangaa mods wanaachia upuuzi huu. Acha ushamba
 
Mkuu huwezi kuishi nyumba moja na msichana bila kumgusa?
Mbona hili linawezekana tu?
Mapenzi ni hisia
Inawezekana kama nguvu za kiume ni zero! Unakula chips mayai unategemea nini
 
Toka hapa na utapeli wako. Najua unapoelekea. Haya tuma namba tujiunge na group lako kwa 5,000 kwa mwezi. Ujinga tu. Wenzako kibao washakuja na waliishia hivyo hivyo. Nashangaa mods wanaachia upuuzi huu. Acha ushamba
Sawa kaka Mkubwa, nitajitahidi kuacha ushamba
 
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]daah!!! BMX6 watu wanawehuka hku,, lete story mkuu[emoji1]
Sio poa mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Muoneshe kwamba vitu hivyo havikusumbui. Shusha episode moja leo
Jamaa anadhani kila anayekuja na story humu basi anashida na buku mbili mbili.

Mwambie mshkaji watu tunajitafuta kinamna nyingine

Mwambie asiwe na wasiwasi muendelezo ataupata hapa hapa hakuna Cha wasup Wala telegram

Mwambie mshkaji kuna wenzake ambao wanasoma huu Uzi wamenipa kilo za kutosha nawasafirishia mizigo yao na ninapata Commission yangu hivyo Sina haja na Buku tano yake

Mwambie mshkaji wenzake wanajifunza kupitia hii story na sio kuwaza ngono kama anavyowaza yeye

Mwambie mshkaji, anayetaka nimgonge ana thamani kubwa kuliko ngono

Mwambie mshkaji nguvu za kiume tunazo ila tuna mahala specific pa kuzitumia

Mwisho kabisa mwambie mshkaji asiwe na hofu leo leo atapata muendelezo, lakini najua katika huo muendelezo nitam disappoint kwasababu bado sijamgonga Caryn
 
Jamaa anadhani kila anayekuja na story humu basi anashida na buku mbili mbili.

Mwambie mshkaji watu tunajitafuta kinamna nyingine

Mwambie asijali muendelezo ataupata hapa hapa hakuna Cha wasup Wala telegram

Mwambie mshkaji kuna wenzake ambao wanasoma huu Uzi wamenipa kilo za kutosha nawasafirishia mizigo yao na ninapata Commission yangu hivyo Sina haja na Buku tano yake

Mwambie mshkaji wenzake wanajifunza kupitia hii story na sio kuwaza ngono kama anavyowaza yeye

Mwambie mshkaji, anayetaka nimgonge ana thamani kubwa kuliko ngono

Mwambie mshkaji nguvu za kiume tunazo ila tuna mahala specific pa kuzitumia

Mwisho kabisa mwambie mshkaji asiwe na hofu leo leo atapata muendelezo, lakini najua katika huo muendelezo nitam disappoint kwasababu bado sijamgonga Caryn
Achana nae bro [emoji28][emoji28]
 
Jamaa anadhani kila anayekuja na story humu basi anashida na buku mbili mbili.

Mwambie mshkaji watu tunajitafuta kinamna nyingine

Mwambie asijali muendelezo ataupata hapa hapa hakuna Cha wasup Wala telegram

Mwambie mshkaji kuna wenzake ambao wanasoma huu Uzi wamenipa kilo za kutosha nawasafirishia mizigo yao na ninapata Commission yangu hivyo Sina haja na Buku tano yake

Mwambie mshkaji wenzake wanajifunza kupitia hii story na sio kuwaza ngono kama anavyowaza yeye

Mwambie mshkaji, anayetaka nimgonge ana thamani kubwa kuliko ngono

Mwambie mshkaji nguvu za kiume tunazo ila tuna mahala specific pa kuzitumia

Mwisho kabisa mwambie mshkaji asiwe na hofu leo leo atapata muendelezo, lakini najua katika huo muendelezo nitam disappoint kwasababu bado sijamgonga Caryn
Unajua kupanga mistari broh!! Apa tukiingia studio si tunapiga ela kabsa[emoji848][emoji848],, kmbe kna mda ukiktana na watu negative ndo wanafanya uone ma uwezo Yako mengine [emoji1][emoji1],, uliyemkera huyu jamaa endelea bhna ili atushushie mistari zaid
 
Jamaa anadhani kila anayekuja na story humu basi anashida na buku mbili mbili.

Mwambie mshkaji watu tunajitafuta kinamna nyingine

Mwambie asiwe na wasiwasi muendelezo ataupata hapa hapa hakuna Cha wasup Wala telegram

Mwambie mshkaji kuna wenzake ambao wanasoma huu Uzi wamenipa kilo za kutosha nawasafirishia mizigo yao na ninapata Commission yangu hivyo Sina haja na Buku tano yake

Mwambie mshkaji wenzake wanajifunza kupitia hii story na sio kuwaza ngono kama anavyowaza yeye

Mwambie mshkaji, anayetaka nimgonge ana thamani kubwa kuliko ngono

Mwambie mshkaji nguvu za kiume tunazo ila tuna mahala specific pa kuzitumia

Mwisho kabisa mwambie mshkaji asiwe na hofu leo leo atapata muendelezo, lakini najua katika huo muendelezo nitam disappoint kwasababu bado sijamgonga Caryn
Huna hoja wacha kulalamika! Juzi tu laki holaa! Lete namba tujiunge tukupe hela utupe uongouongo siku zisonge
 
Back
Top Bottom