Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Wewe BM, nahisi na mimi ntakufokea tu, au sijui hata nafanyaje hapa πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Ila tafafhali, usije ukahesabu kura yangu katika huu utaratibu ulioanzisha.

1. Kwanza nikupongeze mzee, hongera kwa kuwa na kismati cha kupendwa ( sio kupendwa kimapenzi, ila kama binadamu). Naamini hili halijaja kwa bahati mbaya, ni mvuto wa asili wa mtu, anazaiwa nao. Kuanzia mzee, na watu wengine around, including mama yake accountant πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

2. Pili, mimi naendelea kusema haujapotoka sana, you just need to fix some loose ends. Moja ni hili la mahusiano ya kimapenzi, jingine ni job security/ uwekezaji binafsi ( japo huu ni mchakato sio suala la siku mbili tatu kama haya mengine).

3. Tatu, labda nikukumbushe, kuna tahadhali huwa inatolewa kuwa " Usitoe ahadi ukiwa kwenye wakati wa furaha sana, na usifanye maamuzi ukiwa kwenye mfadhaiko, msongo wa mawazo au hasira". Repercussions zake huwa ni kujutia tu huko baadae, na kuishia kusema ooh wakati ule nilikuwa sijielewi elewi au nilishtukia tu nimesema. Sasa kwa maelezo yako mimi naona uko kwenye depression kubwa kabisa. Kwa sasa huna kazi, Caryn kajaa ndani, kauli tata za mzee kuhusu mahusiano yako na bintiye, Annie huyu hapa anarudi mjini, kijana wa buguruni ambaye hata judgement ya kazi yake kwa mzee haijatoka kazingua, deal la kuwa CEO wa kampuni ya Caryn limebuma, huku tena unaambiwa urudi kazini na ukatia ngumu kwanza, just to mention some. Haya mambo ni kama hayajapishana sana, huwezi kuwa sana kisaikolojia kuamua vitu vizuri.

4. Sasa mpaka hapo bwana BM, mimi naomba nikuulize, are you seriously doing this? Kwamba unahesabisha kura hapa, na mwenye nyingi to atakuwa life partner wako? πŸ™†πŸ™†πŸ™†

5. Halafu kama unapigisha kura, mbona umeweka parameters chache mkuu? Yaani hapo ungeweka Annie, Accountant, Caryn and Michelle. Najua umeshangaa why Michelle! YES, her! Yaani kama ni lazima uwe mkwe wa mzee, Michelle is the best choice. Na mimi ningempigia chapuo Michelle πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€. Kwanza yeye ni wife material kabisa yule, anajishusha sana sana, halafu yeye sio jicho la mzee kuhusu kusimamia biashara ya mzee, maana yake ni rahisi kupata mtaji kupitia yeye, ukafanya kitu kikasimama na kuonekana, maana yake unamtumia yeye kupata boost ya wewe kuwekeza na ndio unakuwa superintendent CEO, kwanza naona Michelle wala hana mda sana na uboss boss, akipata tu sehem ya kufanya kazi ambayo haimpi stress anaridhika kabisa, anawahi hadi nyumbani kukupikia msosi. Opportunist angeshangaa ndege ashapeperuka πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Af did you know Michelle loves you? Ni vile tu anahisi umebase Kwa Caryn, mtanie siku moja utashangaa. Anyway hapa labda naleta idea mpya ila me nakurudisha tu kwenye drawing table ili usiseme ulikurupuka kuwahesabisha watu kura maana huu ni utaratibu nisiouafiki kabisa.

6. Halafu vipi kuhusu Annie kule kazini kwake, ushamwekea ma spy? Wanaume wenye wake huwa hatukai kwa ku-relax bila kuwawekea tabs wake zetu huko kazini kwao. Wewe unajua chochote kuhusu Loyalty ya mkeo Annie? Sio wewe tu ndo uonekane msaliti na kuomba msamaha kwa kuchepuka kumbe mwenzetu huko aliko naye yaliyomo yamo. (Nimemwita Annie mkeo maana kwa sasa ni kama mnaishi hivyo japo hamjafanya formality za kifamilia na serikali.

7. Halafu naomba kujua, wakati unam-approach Caryn, baada ya kuona dalili za kupendwa kama ulivyosema, lengo lako ikikuwa kula kimasihara, long term relationship, au life partner? Maana tukijua hapa ndio tutapata mwanga. Kama tunavyojua Annie mpango wenu ni life partner, asa hapa ulitakaje yani, ukishakubaliwa ule mzigo! Af hapa kama kuna kitu nimeona hivi, Caryn atakuwa mrembo zaidi kuliko Annie, japokuwa Annie anaonekana ana chura ya maana kuliko Caryn, Caryn ana English figure hivi, na wewe ndio kama unapenda hizi figure. Annie na Michelle watakuwa na vyura hawa watuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

8.Kuna kitu pia nimewaza, labda job security ndio imeku-drive hadi kutupigisha kura humu, maana unajua vijana wengi wa kiume hapa watampa kura caryn, huku akinadada, ambao kwenye huu uzi ni wachache zaidi, watampa Annie.

9. Kuhusu Caryn kuwa na economic status kubwa kukuzidi, incase ikatokea ndiye ukawa naye, hii sio issue, hata kama kidogo, especially pale mwanamke ndio akiwa wa kwanza kabisa kukupenda wewe, huku akiujua ukweli wa maisha yako. Ni jinsi utakavyojua tu kulihandle miaka ya mwanzoni mwa maisha ili wewe ndio u-take over baadhi ya mambo, especially yale mnayoanzisha ninyi wawili au wewe. Mda mwingine we need a stepping stone, and wives can be the ones. So if you're in for Caryn, don't consider this as a setback. Just consider other obstacles. Mimi nimepitia hii situation, nilicheza nayo tu huko mbele ya safari, sa hizi wife hawez hata jilinganisha ila wakati tunaanza alikuwa way forward. (Again usije kuhesabu kura kwa comment hii)

10. Halafu kuhusu mchina umesema unammudu! Sijajua unanmudu vipi mkuu! Kwani mlikuwa na makubaliano yoyote na mchina wakati unampa lile deal? Ambayo unahofia anaweza kukugeuka?

11. Finally, wanaosema unapelekeshwa na familia ya mzee labda wana mtazamo hasi tu. Kwenye ile family wewe ni asset, kivyovyote vile, they need you and you need them. Ndio maana mzee alimwambia Caryn kuwa kuhusu kutodevelop feelings za mapenzi kwako, akihofia kuwa in case mkiwa wapenzi mkaachana kabla hamjaoana (kulana kimasihara), wewe utaondoka kwenye kampuni za mzee. So hofu ya mzee hapo ukiona ni kwamba anahofia ukiondoka potentiality yako itapotea. Na mzee alishaanza kuwekeza kwako. Hii ni kawaida kabisa ya waajiri wote. No matter what, they need potential people they can trust, who're royal and loyal to the business. Fikiria mzee tangu aanze kuajiri, ashaajiri na kufukuza wangapi? Kwa vyovyote, kuna watu kampuni huwa hazigitaji kuwapoteza, and you're one of them. So kuhusu habari za kupelekeshwa na familia ya mzee, I advise you not pay so much attention to them, we need passages kufika mahala, and passages aren't alike. Kikubwa ni kuwa makini tu.
Halafu, just incase hutakuwa na bond na familia ya mzee kupitia ndoa, wanaweza kuwa family friends. Sijui watu hapa wapo ambao wana experience ya haya mambo ya family friendships! Kwani huwa yanaanzaje wakuu? Sio lazima iwe mmesoma pamoja, ndio kama hivi pia.

Kila la kheri ndugu BM, katika uchaguzi wako wa mke, uwekezaji na maisha.

Baraka za Mungu ziwe nawe.
 
Nafanya hivi kwasababu mm mwenyewe nipo njia panda bro

Naimani mawazo ya wengi yatanisaidia kufanya maamuzi sahihi

Kwa kifupi hadi Dakika hii wote nimewapa nafasi sawa, hakuna aliye juu ya mwenzake

Nimeshangaa kidogo hapo unaposema unawapa nafasi sawa - hakunaga kitu kama hicho kwy mapenzi coz they're not equal may be similar. Unless kama kuna vitu vya kimaisha vimekuchanganya hapo na kukupotezea focus hadi uone wako sawa.

Iko hivi;
Kama una wapenzi wawili unatakiwa ufanye maamuzi ya kuwa na mmoja huku unahisi unawapenda wote na wanaringana. Basi chukua Wapili, maana wa kwanza atakua na mapungufu hadi ukaweza kuwa na huyo wapili vinginevyo ungebaki na wa wakwanza.

Kwenye kupiga kura mie sikuchagulii yeyote kati yao uamuzi ubaki nao mwenyewe.
Kumbuka uhalisia wa mambo unaujua wewe mwenyewe. Tunao shauri hapa tunafanya hivyo kwa kutegemea jinsi ulivyo tusimulia na haiwezi kuwa 100% sawa na uhalisia. Suala la kuchagua mpenzi is very sensitive if it is supposed to be chosen. Ni bora yale yanayotokea tu automatic. Kosea kazi, kujenga au chochote lakini sio mpenzi atakae kuja kua mwenza wako.

Mwisho, mapenzi ya kujenga uhusiano kwa muda mrefu yasitokane na msaada unaopata au utakaopata toka kwa mpenzi wako. Vilevile yasitokane na jinsi unavyosaidia au kumsaidia mpenzi wako.
Mapenzi yatokane na furaha halisi mnayokuwa nayo mkiwa wawili na uhuru mnaoupata na kutotumia nguvu za ziada kuridhishana...mkizoeana mtachoka kutumia nguvu na nguzo ya hayo mapenzi yenu itayeyuka.

Kila la kheri ndugu yangu katika Isidingo The Need yako.
 
Acha tu

Vote yako muhimu sana
Hapo Ina depend with your priority unataka Nini maishani ndio uende unakotaka. Do you prefer peace,love, happiness, freedom, liberty,inner soul peace,pesa, materialistic world, external validation respect,or inner fulfilling soul, do you focus on your own life or your generation life,you can either suffer your children live happily or vice versa, Kiufupi nafsi zetu Zina demand and needs differently kabisa yaani my inner voice isn't yours. May be are you Trading or playing relationship game so you wanna win more than your opponent
 
Yes, tunaipaka rangi kupambana nayo kwa ustaarabu wa kijamii lakini tunashindwa kwa ushahidi wa visa vya kila siku (kufumaniwa, ukahaba, machangu, hongo ya ngono, etc). Mapadri kila siku wanaanguka...
Na ndio Mana huwa nasema lengo la religion Ni kupunguza nature yetu Kama tamaa,hofu,ubinafsi,n.k Ila Hakuna dini itaondooa kabisa hizi hisia kutoka kwa binadamu Mana tumeumbwa nazo.
 
Annie mnapendana. Lakini sometimes love is not enough kutosha kufunga ndoa. Mnaoana na mtu wote hali za kiuchumi ni za tia maji. Mnapata shida tu mnaanza kuliliana machozi. Mfano mmoja anaumwa ugonjwa na matibabu yake ni India. Machozi na mapenzi hayatoshi kusolve tatizo lililoko mezani. (I have been there ninajua ninachoongea). Tutakufa wote hilo halina ubishi. Ila kuna vifo vinatuwahi kwa sababu ya umasikini wetu. Machozi na mapenzi hayaleti uhuru wa maisha. Go for love + uhuru wa uchumi.

Go for Carren. Build an empire with her. Ila fanya kazi sana kwa weledi mkubwa ili ktk hiyo empire wewe binafsi uwe na share nyingi pia. Mwanzo mwanzo wa penzi hakikisha unafanya uwekezaji wa maana. Usibweteke hata kidogo. Ili heshima ya mwanaume ktk ndoa kuwa juu ibaki pale pale.

Kura yangu kwa Carren

...samahani sana Annie kama utapita hapa. Mungu atakupa wa kwako. Huyu akili imeshacheza penzi lako liko kwenye kipimo.
 
Wewe BM, nahisi na mimi ntakufokea tu, au sijui hata nafanyaje hapa πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Ila tafafhali, usije ukahesabu kura yangu katika huu utaratibu ulioanzisha.

1. Kwanza nikupongeze mzee, hongera kwa kuwa na kismati cha kupendwa ( sio kupendwa kimapenzi, ila kama binadamu). Naamini hili halijaja kwa bahati mbaya, ni mvuto wa asili wa mtu, anazaiwa nao. Kuanzia mzee, na watu wengine around, including mama yake accountant πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

2. Pili, mimi naendelea kusema haujapotoka sana, you just need to fix some loose ends. Moja ni hili la mahusiano ya kimapenzi, jingine ni job security/ uwekezaji binafsi ( japo huu ni mchakato sio suala la siku mbili tatu kama haya mengine).

3. Tatu, labda nikukumbushe, kuna tahadhali huwa inatolewa kuwa " Usitoe ahadi ukiwa kwenye wakati wa furaha sana, na usifanye maamuzi ukiwa kwenye mfadhaiko, msongo wa mawazo au hasira". Repercussions zake huwa ni kujutia tu huko baadae, na kuishia kusema ooh wakati ule nilikuwa sijielewi elewi au nilishtukia tu nimesema. Sasa kwa maelezo yako mimi naona uko kwenye depression kubwa kabisa. Kwa sasa huna kazi, Caryn kajaa ndani, kauli tata za mzee kuhusu mahusiano yako na bintiye, Annie huyu hapa anarudi mjini, kijana wa buguruni ambaye hata judgement ya kazi yake kwa mzee haijatoka kazingua, deal la kuwa CEO wa kampuni ya Caryn limebuma, huku tena unaambiwa urudi kazini na ukatia ngumu kwanza, just to mention some. Haya mambo ni kama hayajapishana sana, huwezi kuwa sana kisaikolojia kuamua vitu vizuri.

4. Sasa mpaka hapo bwana BM, mimi naomba nikuulize, are you seriously doing this? Kwamba unahesabisha kura hapa, na mwenye nyingi to atakuwa life partner wako? πŸ™†πŸ™†πŸ™†

5. Halafu kama unapigisha kura, mbona umeweka parameters chache mkuu? Yaani hapo ungeweka Annie, Accountant, Caryn and Michelle. Najua umeshangaa why Michelle! YES, her! Yaani kama ni lazima uwe mkwe wa mzee, Michelle is the best choice. Na mimi ningempigia chapuo Michelle πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€. Kwanza yeye ni wife material kabisa yule, anajishusha sana sana, halafu yeye sio jicho la mzee kuhusu kusimamia biashara ya mzee, maana yake ni rahisi kupata mtaji kupitia yeye, ukafanya kitu kikasimama na kuonekana, maana yake unamtumia yeye kupata boost ya wewe kuwekeza na ndio unakuwa superintendent CEO, kwanza naona Michelle wala hana mda sana na uboss boss, akipata tu sehem ya kufanya kazi ambayo haimpi stress anaridhika kabisa, anawahi hadi nyumbani kukupikia msosi. Opportunist angeshangaa ndege ashapeperuka πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Af did you know Michelle loves you? Ni vile tu anahisi umebase Kwa Caryn, mtanie siku moja utashangaa. Anyway hapa labda naleta idea mpya ila me nakurudisha tu kwenye drawing table ili usiseme ulikurupuka kuwahesabisha watu kura maana huu ni utaratibu nisiouafiki kabisa.

6. Halafu vipi kuhusu Annie kule kazini kwake, ushamwekea ma spy? Wanaume wenye wake huwa hatukai kwa ku-relax bila kuwawekea tabs wake zetu huko kazini kwao. Wewe unajua chochote kuhusu Loyalty ya mkeo Annie? Sio wewe tu ndo uonekane msaliti na kuomba msamaha kwa kuchepuka kumbe mwenzetu huko aliko naye yaliyomo yamo. (Nimemwita Annie mkeo maana kwa sasa ni kama mnaishi hivyo japo hamjafanya formality za kifamilia na serikali.

7. Halafu naomba kujua, wakati unam-approach Caryn, baada ya kuona dalili za kupendwa kama ulivyosema, lengo lako ikikuwa kula kimasihara, long term relationship, au life partner? Maana tukijua hapa ndio tutapata mwanga. Kama tunavyojua Annie mpango wenu ni life partner, asa hapa ulitakaje yani, ukishakubaliwa ule mzigo! Af hapa kama kuna kitu nimeona hivi, Caryn atakuwa mrembo zaidi kuliko Annie, japokuwa Annie anaonekana ana chura ya maana kuliko Caryn, Caryn ana English figure hivi, na wewe ndio kama unapenda hizi figure. Annie na Michelle watakuwa na vyura hawa watuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

8.Kuna kitu pia nimewaza, labda job security ndio imeku-drive hadi kutupigisha kura humu, maana unajua vijana wengi wa kiume hapa watampa kura caryn, huku akinadada, ambao kwenye huu uzi ni wachache zaidi, watampa Annie.

9. Kuhusu Caryn kuwa na economic status kubwa kukuzidi, incase ikatokea ndiye ukawa naye, hii sio issue, hata kama kidogo, especially pale mwanamke ndio akiwa wa kwanza kabisa kukupenda wewe, huku akiujua ukweli wa maisha yako. Ni jinsi utakavyojua tu kulihandle miaka ya mwanzoni mwa maisha ili wewe ndio u-take over baadhi ya mambo, especially yale mnayoanzisha ninyi wawili au wewe. Mda mwingine we need a stepping stone, and wives can be the ones. So if you're in for Caryn, don't consider this as a setback. Just consider other obstacles. Mimi nimepitia hii situation, nilicheza nayo tu huko mbele ya safari, sa hizi wife hawez hata jilinganisha ila wakati tunaanza alikuwa way forward. (Again usije kuhesabu kura kwa comment hii)

10. Halafu kuhusu mchina umesema unammudu! Sijajua unanmudu vipi mkuu! Kwani mlikuwa na makubaliano yoyote na mchina wakati unampa lile deal? Ambayo unahofia anaweza kukugeuka?

11. Finally, wanaosema unapelekeshwa na familia ya mzee labda wana mtazamo hasi tu. Kwenye ile family wewe ni asset, kivyovyote vile, they need you and you need them. Ndio maana mzee alimwambia Caryn kuwa kuhusu kutodevelop feelings za mapenzi kwako, akihofia kuwa in case mkiwa wapenzi mkaachana kabla hamjaoana (kulana kimasihara), wewe utaondoka kwenye kampuni za mzee. So hofu ya mzee hapo ukiona ni kwamba anahofia ukiondoka potentiality yako itapotea. Na mzee alishaanza kuwekeza kwako. Hii ni kawaida kabisa ya waajiri wote. No matter what, they need potential people they can trust, who're royal and loyal to the business. Fikiria mzee tangu aanze kuajiri, ashaajiri na kufukuza wangapi? Kwa vyovyote, kuna watu kampuni huwa hazigitaji kuwapoteza, and you're one of them. So kuhusu habari za kupelekeshwa na familia ya mzee, I advise you not pay so much attention to them, we need passages kufika mahala, and passages aren't alike. Kikubwa ni kuwa makini tu.
Halafu, just incase hutakuwa na bond na familia ya mzee kupitia ndoa, wanaweza kuwa family friends. Sijui watu hapa wapo ambao wana experience ya haya mambo ya family friendships! Kwani huwa yanaanzaje wakuu? Sio lazima iwe mmesoma pamoja, ndio kama hivi pia.

Kila la kheri ndugu BM, katika uchaguzi wako wa mke, uwekezaji na maisha.

Baraka za Mungu ziwe nawe.
Mkuu huyu BM angekuwa hajala tunda la Carren ningekuunga mkono kuwa aende kwa Michelle. Lakini sasa ndio ishatokea. BM hawezi tena kumuoa Michelle. Yani umelala na mdogo kisha unamuoa dada mtu!? Sio poa. Carren ataumia sana. Huyo Accountant umeambiwa kuna vigezo havijatimia. Sijui ni vigezo gani!!?...wanaume nyie Mungu awaonekanie. Usikute ana t.ko bapa tu ndio kigezo😊
 
Wewe BM, nahisi na mimi ntakufokea tu, au sijui hata nafanyaje hapa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Ila tafafhali, usije ukahesabu kura yangu katika huu utaratibu ulioanzisha.

1. Kwanza nikupongeze mzee, hongera kwa kuwa na kismati cha kupendwa ( sio kupendwa kimapenzi, ila kama binadamu). Naamini hili halijaja kwa bahati mbaya, ni mvuto wa asili wa mtu, anazaiwa nao. Kuanzia mzee, na watu wengine around, including mama yake accountant [emoji3][emoji3][emoji3]

2. Pili, mimi naendelea kusema haujapotoka sana, you just need to fix some loose ends. Moja ni hili la mahusiano ya kimapenzi, jingine ni job security/ uwekezaji binafsi ( japo huu ni mchakato sio suala la siku mbili tatu kama haya mengine).

3. Tatu, labda nikukumbushe, kuna tahadhali huwa inatolewa kuwa " Usitoe ahadi ukiwa kwenye wakati wa furaha sana, na usifanye maamuzi ukiwa kwenye mfadhaiko, msongo wa mawazo au hasira". Repercussions zake huwa ni kujutia tu huko baadae, na kuishia kusema ooh wakati ule nilikuwa sijielewi elewi au nilishtukia tu nimesema. Sasa kwa maelezo yako mimi naona uko kwenye depression kubwa kabisa. Kwa sasa huna kazi, Caryn kajaa ndani, kauli tata za mzee kuhusu mahusiano yako na bintiye, Annie huyu hapa anarudi mjini, kijana wa buguruni ambaye hata judgement ya kazi yake kwa mzee haijatoka kazingua, deal la kuwa CEO wa kampuni ya Caryn limebuma, huku tena unaambiwa urudi kazini na ukatia ngumu kwanza, just to mention some. Haya mambo ni kama hayajapishana sana, huwezi kuwa sana kisaikolojia kuamua vitu vizuri.

4. Sasa mpaka hapo bwana BM, mimi naomba nikuulize, are you seriously doing this? Kwamba unahesabisha kura hapa, na mwenye nyingi to atakuwa life partner wako? [emoji134][emoji134][emoji134]

5. Halafu kama unapigisha kura, mbona umeweka parameters chache mkuu? Yaani hapo ungeweka Annie, Accountant, Caryn and Michelle. Najua umeshangaa why Michelle! YES, her! Yaani kama ni lazima uwe mkwe wa mzee, Michelle is the best choice. Na mimi ningempigia chapuo Michelle [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]. Kwanza yeye ni wife material kabisa yule, anajishusha sana sana, halafu yeye sio jicho la mzee kuhusu kusimamia biashara ya mzee, maana yake ni rahisi kupata mtaji kupitia yeye, ukafanya kitu kikasimama na kuonekana, maana yake unamtumia yeye kupata boost ya wewe kuwekeza na ndio unakuwa superintendent CEO, kwanza naona Michelle wala hana mda sana na uboss boss, akipata tu sehem ya kufanya kazi ambayo haimpi stress anaridhika kabisa, anawahi hadi nyumbani kukupikia msosi. Opportunist angeshangaa ndege ashapeperuka [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Af did you know Michelle loves you? Ni vile tu anahisi umebase Kwa Caryn, mtanie siku moja utashangaa. Anyway hapa labda naleta idea mpya ila me nakurudisha tu kwenye drawing table ili usiseme ulikurupuka kuwahesabisha watu kura maana huu ni utaratibu nisiouafiki kabisa.

6. Halafu vipi kuhusu Annie kule kazini kwake, ushamwekea ma spy? Wanaume wenye wake huwa hatukai kwa ku-relax bila kuwawekea tabs wake zetu huko kazini kwao. Wewe unajua chochote kuhusu Loyalty ya mkeo Annie? Sio wewe tu ndo uonekane msaliti na kuomba msamaha kwa kuchepuka kumbe mwenzetu huko aliko naye yaliyomo yamo. (Nimemwita Annie mkeo maana kwa sasa ni kama mnaishi hivyo japo hamjafanya formality za kifamilia na serikali.

7. Halafu naomba kujua, wakati unam-approach Caryn, baada ya kuona dalili za kupendwa kama ulivyosema, lengo lako ikikuwa kula kimasihara, long term relationship, au life partner? Maana tukijua hapa ndio tutapata mwanga. Kama tunavyojua Annie mpango wenu ni life partner, asa hapa ulitakaje yani, ukishakubaliwa ule mzigo! Af hapa kama kuna kitu nimeona hivi, Caryn atakuwa mrembo zaidi kuliko Annie, japokuwa Annie anaonekana ana chura ya maana kuliko Caryn, Caryn ana English figure hivi, na wewe ndio kama unapenda hizi figure. Annie na Michelle watakuwa na vyura hawa watu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

8.Kuna kitu pia nimewaza, labda job security ndio imeku-drive hadi kutupigisha kura humu, maana unajua vijana wengi wa kiume hapa watampa kura caryn, huku akinadada, ambao kwenye huu uzi ni wachache zaidi, watampa Annie.

9. Kuhusu Caryn kuwa na economic status kubwa kukuzidi, incase ikatokea ndiye ukawa naye, hii sio issue, hata kama kidogo, especially pale mwanamke ndio akiwa wa kwanza kabisa kukupenda wewe, huku akiujua ukweli wa maisha yako. Ni jinsi utakavyojua tu kulihandle miaka ya mwanzoni mwa maisha ili wewe ndio u-take over baadhi ya mambo, especially yale mnayoanzisha ninyi wawili au wewe. Mda mwingine we need a stepping stone, and wives can be the ones. So if you're in for Caryn, don't consider this as a setback. Just consider other obstacles. Mimi nimepitia hii situation, nilicheza nayo tu huko mbele ya safari, sa hizi wife hawez hata jilinganisha ila wakati tunaanza alikuwa way forward. (Again usije kuhesabu kura kwa comment hii)

10. Halafu kuhusu mchina umesema unammudu! Sijajua unanmudu vipi mkuu! Kwani mlikuwa na makubaliano yoyote na mchina wakati unampa lile deal? Ambayo unahofia anaweza kukugeuka?

11. Finally, wanaosema unapelekeshwa na familia ya mzee labda wana mtazamo hasi tu. Kwenye ile family wewe ni asset, kivyovyote vile, they need you and you need them. Ndio maana mzee alimwambia Caryn kuwa kuhusu kutodevelop feelings za mapenzi kwako, akihofia kuwa in case mkiwa wapenzi mkaachana kabla hamjaoana (kulana kimasihara), wewe utaondoka kwenye kampuni za mzee. So hofu ya mzee hapo ukiona ni kwamba anahofia ukiondoka potentiality yako itapotea. Na mzee alishaanza kuwekeza kwako. Hii ni kawaida kabisa ya waajiri wote. No matter what, they need potential people they can trust, who're royal and loyal to the business. Fikiria mzee tangu aanze kuajiri, ashaajiri na kufukuza wangapi? Kwa vyovyote, kuna watu kampuni huwa hazigitaji kuwapoteza, and you're one of them. So kuhusu habari za kupelekeshwa na familia ya mzee, I advise you not pay so much attention to them, we need passages kufika mahala, and passages aren't alike. Kikubwa ni kuwa makini tu.
Halafu, just incase hutakuwa na bond na familia ya mzee kupitia ndoa, wanaweza kuwa family friends. Sijui watu hapa wapo ambao wana experience ya haya mambo ya family friendships! Kwani huwa yanaanzaje wakuu? Sio lazima iwe mmesoma pamoja, ndio kama hivi pia.

Kila la kheri ndugu BM, katika uchaguzi wako wa mke, uwekezaji na maisha.

Baraka za Mungu ziwe nawe.
BEST COMMENT



(Another Ballot Wasted)

Eniwei! Hujanifokea, sana sana nimei rank hii kama Best Comment kwa hii election though the vote has not been counted, ila nikiichambua hii comment naweza kujua hii kura Ina muhusu nani

Nitakujibu kama ifuatavyo, kwa mtiririko wa namba

1: Asante sana, nimepokea Maua yangu[emoji1545]

2: Hapa katika uwekezaji ndio maana nilikataa kurudi kazini, cos ni kitu ambacho nataka kukifanyia kazi wakati huu, japokuwa Biashara ninazotaka kufanya na kazi niliyoikataa ni vitu vinavyo relate.

3: Hii Paragraph ndio imefanya niipe hii comment points zake 3, hapa umemaliza Kila Kitu Sina Cha kuongeza[emoji1430]

4: Yeah, I'm very serious, lengo sio kura tu, lengo ni kupata Comment kama hizi, zinasaidia sana, kama hii comment imenifanya niwaze vitu ambayo hata sikuvifikiria au pengine nilivipuuzia

5: Nimeweka Candidates wawili tu kwasababu ndio nawaelewa zaidi, yani ukimuweka Michelle na Annie nitamchagua Annie. na ukimuweka Michelle na Caryn Obvious nitamchagua Caryn [emoji12]. Ila ukimuweka Annie na Caryn hiyo ni Another case, japokuwa umeongea point hapo kwa Michelle.

Speaking of Michelle, kama isingekuwa Mzee au Caryn hata Ile ofisini angempa Opportunist aiendeshe, hapa sina maana kwamba Caryn anashindwa kufanya hivyo lahasha! Character zao ni tofauti Michelle ameji position kama Housewife lakini kwa Caryn[emoji849], kwanza siku akishinda nyumba kutwa nzima basi ujue anaumwa

Kuhusu Accountant[emoji848]....Just forget her


6: To be honest sijafanya hivyo, ila akija kama yaliyomo yamo ni lazima nitajua tu, Sasa akijichanganya ndio amenipa sababu

7: Kwanza Ile Pisi (Caryn) niliipenda tangu namuona kwa mara ya kwanza, sema nilikuwa namuogopa kinoma[emoji2365] maana kwa jinsi alivyokuwa anajiweka plus nilikuwa sijamzoea

Wakati namtongoza huwezi kuamini kwa Wakati huo nilikuwa hata siwazi Kimasihara Wala Long term relationship, ila nilimtongoza ili kutaka kujua ananichukuliaje, ila chakushangaza jibu lake japo lilikuwa sio la kukubaliwa ila lile lilinifanya nimpende zaidi, imagine mtu ni rafiki yako halafu anakupenda kimapenzi lakini anahofia kukupoteza kama Rafiki endapo Mapenzi yakifika kikomo, kwangu nimechukulia huo kama upendo wa dhati

8: Rudi namba 4 nishalijibu

9: Sure, kama nitaangukia kwa Caryn basi nina kazi kubwa ya kufanya, kutokana na aina ya Mwanamke niliyekuwa nae hapo awali (Annie) kwa Caryn inahitajika kujipanga kisaikolojia kwani ni watu wawili tofauti kabisa, Kinachonipa moyo ni kwamba nishaishi naye so namjua kiasi chake

10: Nammudu kupitia Caryn, anajua kama Caryn ananikubali sana, na anajua Mzee anamkubali mwanaye Caryn, na anajua kama Caryn asingeafiki yeye kwenda China basi kweli asingeenda, hapo ndipo Power yangu inapopatikana, kwasasa Mimi Sina nguvu ya kumuadabisha in direct way, hata kupitia kwa Mzee sidhani kama hiyo power ninayo labda niende na sababu zenye mashiko, Lakini nikipitia kwa Caryn ni kitendo Cha Dakika 0 jamaa tunampokea Airport. Kwahiyo ananisikiliza kama anavyomsikiliza Mzee na kama anavyomsikiliza Caryn vile vile.

Kuhusu makubaliano hatuna makubaliano yoyote zaidi tu ya kazi

11: Nashukuru kama umeliona hili in positive way,

Mambo ya kuwepo kwa Bond kati ya Familia yangu na Caryn Dah! umeenda mbali sana, tunaweza tusifike huko mkuu, ngoja tuone hili linapitaje

All in All Baraka nimezipokea, Barikiwa nawe pia
[emoji294][emoji294][emoji294]
 
Mkuu huyu BM angekuwa hajala tunda la Carren ningekuunga mkono kuwa aende kwa Michelle. Lakini sasa ndio ishatokea. BM hawezi tena kumuoa Michelle. Yani umelala na mdogo kisha unamuoa dada mtu!? Sio poa. Carren ataumia sana. Huyo Accountant umeambiwa kuna vigezo havijatimia. Sijui ni vigezo gani!!?...wanaume nyie Mungu awaonekanie. Usikute ana t.ko bapa tu ndio kigezo😊
Nimecheka hilo tako bapa la accountant πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Kumbe huyu mwamba ashamla Caryn!!!!!! Wakubwa wanafaidi
 
Blazee! umenifokea sana, ila ni sawa tu


Kama sio Protocol/Itifaki basi hii kura ningei double count kwa Annie


Eniwei, Vote counted to Annie
Ahaha Mkuu umenikwaza aiseeh.
Umetoka mbalii na Annie..

Umeanza kumjua Annie kabla ya Caryn.

Annie ni mnyonge wako yupo rolay sana kwako,na ndivyo mwanamke anapaswa kuwa.

Trust me, hakuna mapenzi kwako na Caryn n ukaribu tu unawabeba.
Ukitaka kuamini, jipe likizo ya mwezi 1 tu, bila kuwasiliana Naye Wala kuwa naye karibu.

Au uliza wadau humu, kwanini awe Caryn na hasiwe Annie?
Wote watakujibu kisa mtoto wa boss mshua.

Pesa zinapita na kupotea.
Bond uliyonayo na Caryn n pesa na kazi tu.
Nje ya hapo huna naye bond yoyote ile..
Yaani Caryn n accountant aliyechangamka..
 
Asante sana, na umetoa idea nzuri ya kupiga kura, itabidi tuitishe Uchaguzi, Binafsi nimewapitisha wote, so atakayepata kura nyingi ndio huyo huyo naruka nae

Annie kashajipatia kura ya kwanza


Wengine wataendelea...
Kura ya pili annie
 
Nimeshangaa kidogo hapo unaposema unawapa nafasi sawa - hakunaga kitu kama hicho kwy mapenzi coz they're not equal may be similar. Unless kama kuna vitu vya kimaisha vimekuchanganya hapo na kukupotezea focus hadi uone wako sawa.

Iko hivi;
Kama una wapenzi wawili unatakiwa ufanye maamuzi ya kuwa na mmoja huku unahisi unawapenda wote na wanaringana. Basi chukua Wapili, maana wa kwanza atakua na mapungufu hadi ukaweza kuwa na huyo wapili vinginevyo ungebaki na wa wakwanza.

Kwenye kupiga kura mie sikuchagulii yeyote kati yao uamuzi ubaki nao mwenyewe.
Kumbuka uhalisia wa mambo unaujua wewe mwenyewe. Tunao shauri hapa tunafanya hivyo kwa kutegemea jinsi ulivyo tusimulia na haiwezi kuwa 100% sawa na uhalisia. Suala la kuchagua mpenzi is very sensitive if it is supposed to be chosen. Ni bora yale yanayotokea tu automatic. Kosea kazi, kujenga au chochote lakini sio mpenzi atakae kuja kua mwenza wako.

Mwisho, mapenzi ya kujenga uhusiano kwa muda mrefu yasitokane na msaada unaopata au utakaopata toka kwa mpenzi wako. Vilevile yasitokane na jinsi unavyosaidia au kumsaidia mpenzi wako.
Mapenzi yatokane na furaha halisi mnayokuwa nayo mkiwa wawili na uhuru mnaoupata na kutotumia nguvu za ziada kuridhishana...mkizoeana mtachoka kutumia nguvu na nguzo ya hayo mapenzi yenu itayeyuka.

Kila la kheri ndugu yangu katika Isidingo The Need yako.
Dah, hizi kura zinazoharibika zinazidi kuongezeka tu

Eniwei! Paragraph ya 1, Mimi mwenyewe sielewi mkuu, ila Paragraph ya pili hiyo Principle nimeikubali, na kama nikisema nii apply hii si Caryn anaondoka Kijiji chake

Paragraph ya tatu ulichokisema ni kweli, na uoga wa kukosea kufanya maamuzi ndio umenifikisha hapa

Kwenye Paragraph yako ya mwisho Sina hata Cha kuongeza na nashukuru pia kwa Maoni
 
Chukua bosslady ukianza kumkaza atakuheshimu huoni anataka uendeshe mradi wa familia ili uwe huru kutoka kwenye amri zake na yuko tiyari kushuka?!!
Kumkaza ajijue kabisa kumgusa penyewe ndio atashusha majeshi chini ,ila kama anajijua anashoo mbovu , kilele bibie hatakiona ama atakiona kwa nguvu ya energy na alkasusu abaki na annie
 
Hapo Ina depend with your priority unataka Nini maishani ndio uende unakotaka. Do you prefer peace,love, happiness, freedom, liberty,inner soul peace,pesa, materialistic world, external validation respect,or inner fulfilling soul, do you focus on your own life or your generation life,you can either suffer your children live happily or vice versa, Kiufupi nafsi zetu Zina demand and needs differently kabisa yaani my inner voice isn't yours. May be are you Trading or playing relationship game so you wanna win more than your opponent
This is the most interesting comment


Sadly! naihesabu kama kura iliyoharibika
 
Back
Top Bottom