BM X6
JF-Expert Member
- Nov 24, 2020
- 1,376
- 4,222
- Thread starter
- #3,301
Labda kama sijalielewa swali lako vizuriBado Niko gizani mkuu,una maanisha kuwa sasa uko na carren kimapenzi?!Mana kwenye kipande kilichopita uliishia hewani
Quote "Kwa hiyo tuseme kuwa uko na mahusianao na Caren kwa vile haufanyi Tena kazi kwao?"
Futa hiyo [emoji1483] "Kwahiyo tuseme kuwa uko"
Badala yake iweke hivi "Kwahiyo tuseme kuwa unataka"