Ukishakuwa mufti au katibuToka like Shamba la Waislamu la Chang'ombe Maduka mawili liuzwe kwa bei Chee kwa tajiri flani, mimi sina cha kuwaambia hawa watu.
Raslimali kubwa namna hii liko mjini linauzwa kwa bei ya kutupwa sina hamu nao.
Halafu utawasikia
"tunaonewa na Mazayuni"
Jabulani,Mohamed Said nadhani furaha yako ni kuona Tanzania inaongozwa kwa sharia
Mrangi,Kwa hiyo changombe aliuza John
Tena hilo eneo la changombe nyerere alitaifisha na akawapa waislam ilikuwa 1966
Mzee said analalamika nn
Ova
Mrangi,Huyu mzee said analalamika tu na kulialia
Wakati tatizo liko ndani mwao wenyewe,ile shule ya alharAmain na eneo lote wamempa mwekezaji
Na akibisha hata huyo mwekezaji tunaweza mtajiaaaa
Tatizo hawapendi kukubali ukweli
Ova
Nyerere alupotaifisha Mali, Mali nyingi akazipa taasisiToka like Shamba la Waislamu la Chang'ombe Maduka mawili liuzwe kwa bei Chee kwa tajiri flani, mimi sina cha kuwaambia hawa watu.
Raslimali kubwa namna hii liko mjini linauzwa kwa bei ya kutupwa sina hamu nao.
Halafu utawasikia
"tunaonewa na Mazayuni"
Che...Toka like Shamba la Waislamu la Chang'ombe Maduka mawili liuzwe kwa bei Chee kwa tajiri flani, mimi sina cha kuwaambia hawa watu.
Raslimali kubwa namna hii liko mjini linauzwa kwa bei ya kutupwa sina hamu nao.
Halafu utawasikia
"tunaonewa na Mazayuni"
Bakwata ndy waliharibu wenyewe na waliyotangulia na mpaka sahv bado wanaendelea na ulafiMrangi,
Hivi kwa nini hamuulizi?
Kwa nini mnadhani kuwa mnajua?
Mali zote za EAMWS zilikabidhiwa BAKWATA baada ya EAMWS kuvunjwa.
Hiyo ardhi ilipatikana kama zilivyioatika mali nyingine za EAMWS na hapakuwa na mkono wa Nyerere.
Sijakejeli mzee wanguMrangi,
Mbona mimi naandika sitoi lugha za kejeli?
Baada ya EAMWS kuvunjwa ndiyo ukawa Mwisho wa kila kitu.Mmeuza Mali zenu wenyeweeee
Nyie
Ova
Sikuwepo huko.Baada ya EAMWS kuvunjwa ndiyo ukawa Mwisho wa kila kitu.
Serikali na BAKWATA ndiyo wakawa viongozi wa Waislam.
Kama huyu mzee Mohamed Said atakujibu hayo nitashangaaBakwata ilirithi Mali za East Africa
Muslim,alharamain,kiboyoye moshi,dodoma shile jamhuri,bukoba mlikuwa na shule
Nyumba mlikuwa nazo upanga, nyumbabya sheikh mkuu msasani peninsula, mkauziana kiujanja akanunua hemed
Ukienda magomeni mikumi mlikuwa
Tena alikaaga sheikh nasri pale
Unataka data zenu .....
Mlikuwa na mabasi,malori mlikuwa na hospitali pia
Tatizo la nyie baadhi yavwaislam hamkubali makosa mnajiona sawa
Nyie mnashindwa kusimamia mambo
Serikali ya tz hampendelei yyt
Mali mnauza wenyewe mnawasikingizia wakina John
Ova
Mzee Mohamad said njoo huku ujibu hojaHuyu mzee said analalamika tu na kulialia
Wakati tatizo liko ndani mwao wenyewe,ile shule ya alharAmain na eneo lote wamempa mwekezaji
Na akibisha hata huyo mwekezaji tunaweza mtajiaaaa
Tatizo hawapendi kukubali ukweli
Ova
Tatizo hawataki kukubaliKama huyu mzee Mohamed Said atakujibu hayo nitashangaa
Halafu kila siku mzee Mohamed Said analia lia kumlaumu Nyerere. Ushahidi wake ni kijarida chake alichoandika simulizi za Abdul Sykes.Nyerere alupotaifisha Mali, Mali nyingi akazipa taasisi
Waislam walipewa nyumba nyingi upanga wao wenyewe wakaziuza
Anakuja mtu anawalaumu wakina John
Nyerere alimpa ukuu wa mkoa dar mzee songa mbele mtu aliyekuwa dereva wa malori tu tena huyu mzee songa mbele namjuwa na mzee wangu na yuko mpaka leo kwake nyuma ya biashara complex kinondoni mwananyamala,
Yule sheikh amri abeid naye akapewa arusha
Mzee haruna taratibu akapewa moro
Kuna yule mohamed kisoki alipewa mbeya naye na akapata kesi wakamaliza
Watoto wa sheramia tu nyerere mbona aliwapa ubalozi
Huyo bibi titi tu hana elimu alipewa unaibu wazir wa mazingira
Nyerere hakuwa na udini tena aliwasaidiaaaa
Ova
Che...Sikuwepo huko.
Ila naskia Waislamu walikuwa na vijumuiya vidogo vidogo vingi ambavyo havikuwa na hierarchy ya kiutawala.
Ndio maana ikaundwa BAKWATA ambayo ilikuwa na mpangilio mzuri wa uongozi kiutawala, na uwakilishi wa Kitaifa kimikoa hadi ngazi za chini.
Na Majori ya Waislamu walikubali huo muundo.
Ndio maana ikaundwa, hadi leo tunaona wanavyochaguana kuwania uongozi wa BAKWATA.
Kama Umoja wa Afrika Mashariki ulikufa sasa hiyo EAMWS ingejiendesha vipi?
Stux...Halafu kila siku mzee Mohamed Said analia lia kumlaumu Nyerere. Ushahidi wake ni kijarida chake alichoandika simulizi za Abdul Sykes.
Abdul Sykes mwenyewe pia na ndugu zake Nyerere aliwapa kazi nzuri tu
Gramma...
Inaelekea hujui sababu za matatizo yote haya ya elimu kuanzia kuvunjwa kwa EAMWS, kufukuzwa kwa Mufti Sheikh Hassan bin Ameir, kuundwa kwa BAKWATA kuzuiwa kwa OIC kujenga Chuo Kikuu, kuzuiwa OIC kujenga Chuo Kikuu, kuzuiwa kwa Waislam kuwa na taasisi huru nje ya BAKWATA, mgogoro wa Seminari za Kiislam, kufuzwa kwa Sheikh Mohamed Ali BAKWATA, kufukuzwa kwa Sheikh Malik Tanzania, yaliyokuwa yanatendeka katika Wizara ya Elimu, kupigwa marufuku kitabu cha Hamza Njozi, NECTA na maandamano ya Waislam kupinga NECTA.
Ndugu yangu huna moja uyajuayo katika haya.
Kuna uvunjaji wa mabucha ya nguruwe na maandamano ya kwanza mwaka wa 1993 na maandamano mengine yaliyofuatia.
Matatizo ya ugaidi na mengine mengi sana.
Mimi ninachojaribu hapa ni kukuelezeni yale ambayo hamkuwa mnayajua ili myajue kwani kujua kwenu ukweli kutasaidia maelewano katika jamii.
View attachment 2867888Picha hiyo hapo juu ni moja ya mabango yaliyobebwa na waandamanaji Waislam dhidi ya dhulma ndani ya NECTA.
VIONGOZI WA NECTA TANGIA KUANZISHWA KWAKE 21/11/73
1
1973 - 1977
P. MSELEWA
MKRISTO
2
1977 – 1980
I.M KADUMA
MKRISTO
3
1980 - 1988
N. A KUHANGA
MKRISTO
4
1988 - 1992
G. R. N.MMARI (prof)
MKRISTO
5
1992 - 1999
M.L LUHANGA
MKRISTO
6
1999 – 2004
G.R.V MMARI (prof)
MKRISTO
7
2004 - 2007
E. MWAIKONDO (PROF)
MKRISTO
8
2007 - 2018
R.S MKANDALA (PROF)
MKRISTO
9
2018 – to date
W.A.L. ANANGISYE (PROF)
MKRISTO
10
SECONDARY KUTOKA (DED)
EMANUEL BARIDI
MKRISTO
11
PRIMARY KUTOKA (DED)
ESTHER THOMAS
MKRISTO
12
UALIMU NA UTAALAM KUTOKA (DED)
JOSEPH KAMILI
MKRISTO
Maandamano haya yaliyoongozwa na Sheikh Ponda Issa Ponda 2012.
Uchunguzi ulifanywa na ukweli ukajulikana.
Wanafunzi wa Kiislamu wakapata haki yao.
Nimekuona leo ukishindwa kujibu maswali na kujieleza AZAM TV,Umeprove failure na elimu yako ya MUM.Stux...
Unauliza chuo kinatumikaje?
Unanifurahisha sana.
Huwa kila unaponiandikia huwa nampa mtu hapa na yeye asome.
Kuna utafiti tunafanya kuhusu uwezo wa kuelewa na kuuliza maswali yenye kujenga fikra.
Yeye akishakusoma ananiandikia fikra zake kuhusu swali lako yaani anaandika, "comments."
Nasoma hizi "comments."
Nacheka.
Msaidizi wangu ananiuliza mimi anasema, "Kwa nini hakuna aliyeshtuka kwa kupigwa marufuku EAMWS wakati wanajenga Chuo Kikuu?
Kwa nini hakuna anaeshtuka kwa serikali kuzuia OIC kujenga Chuo Kikuu Tanzania?"
Anafanya, "simulation," kuwa EAMWS wamejenga Chuo Kikuu na OIC nayo imejenga Chuo Kikuu.
Anataka kujua hali ya Waislam ingekuwaje?
Namsoma huyu mwenzangu naishia kucheka.
Ni kijana hodari sana kwa mambo haya.
Anaandika katika comments ananiuliza mimi kama hivi kweli hujui kwa nini Waislam walitaka kujenga Chuo Kikuu kiasi leo unauliza MUM inatumikaje?
Mrangi,Tatizo hawataki kukubali
Ila matatizo yako huko huko kwao
Wenyewe
Huwezi ukawalaunu akina John
Inabidi waondoe ile mindset ya tunaonewa,tunaonewa
Mbona system kwa kiasi kukubwa wameshika wao nafasi
Ukija kwa matajiri wao ndiyo wengi
Top 10 nzima utawakuta wao
Shida iko wapi sasa ???
Ova