Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
- Thread starter
- #261
Mambo ya shule na kusoma hamuwezi waislamu. Wachache wanaotaka kusoma wanajuwa mahali pa kupata elimu.Stux...
Unanifurahisha sana.
Ukiwa unapenda kuchukua "credit" kuwa umenishinda sawa sina tatizo na hilo.
Mimi siko hapa kushinda.
Mimi niko hapa kusomesha yale ambayo wengi hamkuwa mnafahamu.
Mlikuwa mnajua kuwa serikali mara mbili ilizuia Waislam kujenga Chuo Kikuu?