Hatma ya Muslim University of Morogoro na Maono ya Aga Khan kuwasaidia Waislamu kujenga Chuo Kikuu

Hatma ya Muslim University of Morogoro na Maono ya Aga Khan kuwasaidia Waislamu kujenga Chuo Kikuu

Che...
Vitabu vyote nilivyoandika pamoja na papers vyote ni kuhusu Uislam na Waislam ila kitabu kimoja tu na vingine nilivyoshirikiana na waandishi wengine.

Nilipogundua kuwa kuna marufuku ya kimya kimya kutafiti chochote kuhusu Uislam na Waislam nchini petu na kuwa hata Chuo Kikuu Cha Dar-es-Salaam Idara ya Historia imejiweka mbali na historia ya Waislam ndipo nilipoamua kuandika historia ya Uislam na Waislam na ndiyo hii ninayosomesha hapa.

Wewe unaniona sina busara lakini nimepokea tuzo mbili kutoka kwa Waislam wa Tanzania kwa kuhifadhi historia ya uhuru wa Tanganyika.

Vilevile nimechaguliwa Mwandishi Bora JF Jukwaa la Historia miaka miwili mfululizo 2021 na 2022.

Babu yangu Sheikh Mohamed Mvamila alikuwa mwalimu akisomesha Qur'an.
Wewe bila Uislamu ni empty kabisa

Una kitu gani cha kiafrika cha kujivunia kama Msomi ?

Uislamu ni wa Waarabu.
Yani msomi huna kipya zaidi ya kuandika tamaduni za Kiarabu

Umeandika nini kipya na cha maana cha kuwanufaisha Waafrika wenzako.

Nadhani hata lugha ya Taifa unataka iwe Kiarabu badala ya lugha yako ya Asili.

Watu kama wewe ni wasomi watumwa.
Wasomi wa kuendeleza Mila za Kigeni.

Ha ha ha
Mzee huna jipya zaidi ya kukopi na kupesti mambo ya Waarabu

Msomi unajisifu kujua na kuandika tamaduni za wageni.
Watu kama nyinyi ni wa kutawaliwa tu na wageni.
 
Wewe bila Uislamu ni empty kabisa

Una kitu gani cha kiafrika cha kujivunia kama Msomi ?

Uislamu ni wa Waarabu.
Yani msomi huna kipya zaidi ya kuandika tamaduni za Kiarabu

Umeandika nini cha maana cha Waafrika wenzako.

Nadhani hata lugha ya Taifa unataka iwe Kiarabu badala ya lugha yako ya Asili.

Watu kama wewe ni wasomi watumwa.
Wasomi wa kuendeleza Mila za Kigeni.

Ha ha ha
Mzee huna jipya zaidi ya kukopi na kupesti mambo ya Waarabu
Che...
Sijapata kudharauliwa popote pale duniani nilipotia mguu wangu.
Alhamdulilah.

Unajua kuwa picha inasema maneno 1000.

1704946355256.png

Yvonne Chaka Chaka
1704946471035.png

Ahmed Rajab
1704946551660.png

Salim Rashid​
Che,
Mimi nafanya utafiti kisha naandika sikopi popote.
Tujaalie ningekuwa nakopi mambo ya Waarabu kwani hairuhusiwi?

1704946745732.png

Prof. Michael Lofchie
Che...
Kitu gani cha Kiafrika ninachoweza kujivunia?

1704947110390.png

Mmoja wa Waandishi wa hili Kamusi lenye historia za Waafrika mashuhuri Afrika
1704947304597.png






 
Gamma...
Misri ilitoa fedha kwa EAMWS kujenga Chuo Kikuu mwaka wa 1968.
EAMWS ikapigwa marufuku na serikali wakati inataka kujenga hicho chuo.

Katika miaka ya 1970 OIC walitaka kujenga Chuo Kikuu Tanzania serikali ikawakatalia kuwapa kibali.

Mwaka wa 1997 Darul Imaan ya Saudia ilitaka kujenga Shule ya Ufundi Kibaha ghafla magazwti yote yakaja na kampeni kuwa Waarabu wamevamia Kibaha wanapora ardhi za wananchi.

Darul Imaan ikasitisha mradi ikaondoka.

Haya mswali mnaniluliza mara nyingi na ninakupeni majibu lakini nitauliza tena swali hili hili.

Inakuwaje?

Hamuelewi ukweli au hamuamini kuwa serikali inazuia ujenzi wa taasisi za elimu kwa Waislam?
Wanaelewa sana na mioyo yao inakiri hilo,ila unafiki kwao ni somo kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Che...
Sijapata kudharauliwa popote pale duniani nilipotia mguu wangu.
Alhamdulilah.

Unajua kuwa picha inasema maneno 1000.

View attachment 2867986
Yvonne Chaka Chaka
View attachment 2867987
Ahmed Rajab
View attachment 2867988
Salim Rashid​
Che,
Mimi nafanya utafiti kisha naandika sikopi popote.
Tujaalie ningekuwa nakopi mambo ya Waarabu kwani hairuhusiwi?

View attachment 2867990
Prof. Michael Lofchie
Che...
Kitu gani cha Kiafrika ninachoweza kujivunia?

View attachment 2867997
Mmoja wa Waandishi wa hili Kamusi lenye historia za Waafrika mashuhuri Afrika
View attachment 2867999





Wewe bila wageni huna jipya.
Endelea kuwatukuza Wageni na Tamaduni zao.

Ikikufaa nenda kaishi huko kwa wageni.

Badala ya kutuletea picha za ukiwa na Mababu na Mabibi zako wa Kibantu,
Unatuletea picha ukiwa na Wakoloni.

Wewe ni msomi hasara.
Wewe ni wa kutawaliwa tu na wageni unao wathamini sana

Msomi ni yule anayeliona jambo katika jamii yake na kulifanyia utafiti ili kuliboresha.

Wewe unaona ufahari kupiga picha na wageni na kuandika mambo yao.
 
Wewe bila wageni huna jipya.
Endelea kuwatukuza Wageni na Tamaduni zao.

Ikikufaa nenda kaishi huko kwa wageni.

Badala ya kutuletea picha za ukiwa na Mababu na Mabibi zako wa Kibantu,
Unatuletea picha ukiwa na Wakoloni.

Wewe ni msomi hasara.
Wewe ni wa kutawaliwa tu na wageni unao wathamini sana

Msomi ni yule anayeliona jambo katika jamii yake na kulifanyia utafiti ili kuliboresha.

Wewe unaona ufahari kupiga picha na wageni na kuandika mambo yao.
Che...
Ahmed Rajab na Salim Rashid ni wageni?
 
Che...
Ahmed Rajab na Salim Rashid ni wageni?
Huyo ni mgeni
Soma jina lake.
Ni mgeni au Mtumwa wa wageni.

Hana faida kwa jamii yake ya Asili.

Wasomi rudini katika jamii zenu ili mboreshe mambo yake.
Wafrika tumebaki maskini karne na karne sababu ya kujishughurisha na mambo ya Wageni.

Leo ukienda Lindi maroli na Maroli yanapishana yamejaa Makaa ya Mawe yanapelekwa Ugenini.
Kwa Waarabu na Wazungu.

Hivi Wasomi Maprofesa kama wewe hamjajua matumizi ya Makaa yetu ya Mawe kweli ?
Kwa faida yetu?

Eti Mzee Profesa Ahmed Said.


Hatuandiki kabisa matumizi ya Makaa yetu wenyewe.

Tunaandika kuhusu Uislamu wa na Ukristo wa wageni tu.
Na Maneno ya Papa wa Romani Cathoric, kuhusu kuwabariki Mashoga.


Halafu tunabaki kulialia tunaonewa.
Mnaonewa au mnaibiwa Mali zenu na wageni wanao wasahaulisha kwenye Dini zao za mchongo ili msikumbuke Mali zenu zinazoibiwa

Huo sio Usomi
Ni Ukuwadi wa Mabwenyenye.

Makaa ya Mawe yanaisha huko.
Wenzetu wana matumizi ya Makaa ya Mawe, sisi hatuna na hatuta kuwa nayo.

Sisi tupo Misikitini na Makanisani tunakesha kwa Nabii Mwamposa.

Makaa ya Mawe yanaisha huko Ruvuma
Maprofesa Uchwala mmejikita kuandika pepa za Ubongo Bandia na Dini na Historia za Sultani wa Madina.
Aliyefariki na Kuzikwa katika Mji Mtukufu wa Maka mwaka 1845.
Na Kuprisenti Marekani na Maka.

Makaa ya Mawe yanaenda wapi ?
Wapi Profesa Lipumba?
Naskia yupo bize na Chama cha CAF.
Waafrika weusi Bado hatujafikia katika Hali ya Binadamu aliye staarabika na Kujitambua na kujiita Msomi.
Bado tuna Unyani mwingi sana.
EPIDOMIA

Halafu mnakaa na kutamba eti ni wasomi mnaotambulika na University of London.
Kwenu hutambuliki na huna faida yoyote zaidi ya kuagiza Ugali Maharagwe na kula na kulala.

Huo sio Usomi ndugu yangu,
Ni kugubikwa kitambaa cheupe Usoni.
 
Huyo ni mgeni
Soma jina lake.
Ni mgeni au Mtumwa wa wageni.

Hana faida kwa jamii yake ya Asili.

Wasomi rudini katika jamii zenu ili mboreshe mambo yake.
Wafrika tumebaki maskini karne na karne sababu ya kujishughurisha na mambo ya Wageni.

Leo ukienda Lindi maroli na Maroli yanapishana yamejaa Makaa ya Mawe yanapelekwa Ugenini.
Kwa Waarabu na Wazungu.

Hivi Wasomi Maprofesa kama wewe hamjajua matumizi ya Makaa yetu ya Mawe kweli ?
Kwa faida yetu?

Eti Mzee Profesa Ahmed Said.


Hatuandiki kabisa matumizi ya Makaa yetu wenyewe.

Tunaandika kuhusu Uislamu wa na Ukristo wa wageni tu.
Na Maneno ya Papa wa Romani Cathoric, kuhusu kuwabariki Mashoga.


Halafu tunabaki kulialia tunaonewa.
Mnaonewa au mnaibiwa Mali zenu na wageni wanao wasahaulisha kwenye Dini zao za mchongo ili msikumbuke Mali zenu zinazoibiwa

Huo sio Usomi
Ni Ukuwadi wa Mabwenyenye.

Makaa ya Mawe yanaisha huko.
Wenzetu wana matumizi ya Makaa ya Mawe, sisi hatuna na hatuta kuwa nayo.

Sisi tupo Misikitini na Makanisani tunakesha kwa Nabii Mwamposa.

Makaa ya Mawe yanaisha huko Ruvuma
Maprofesa Uchwala mmejikita kuandika pepa za Ubongo Bandia na Dini na Historia za Sultani wa Madina.
Aliyefariki na Kuzikwa katika Mji Mtukufu wa Maka mwaka 1845.
Na Kuprisenti Marekani na Maka.

Makaa ya Mawe yanaenda wapi ?
Wapi Profesa Lipumba?
Naskia yupo bize na Chama cha CAF.
Waafrika weusi Bado hatujafikia katika Hali ya Binadamu aliye staarabika na Kujitambua na kujiita Msomi.
Bado tuna Unyani mwingi sana.
EPIDOMIA

Halafu mnakaa na kutamba eti ni wasomi mnaotambulika na University of London.
Kwenu hutambuliki na huna faida yoyote zaidi ya kuagiza Ugali Maharagwe na kula na kulala.

Huo sio Usomi ndugu yangu,
Ni kugubikwa kitambaa cheupe Usoni.
Che...
Nimekusoma.
Ahsante.
 
Mkata...
Nakuambia serikali imehujumu miradi miwili ya kujengwa Chuo Kikuu.
Nimeeleza hili mara nyingi sana.

Unaniambia madrasa ndilo tatizo.
Ahsante nimekusoma.
mwinyi,kikwete,na sasa samia nao wanahujumu miradi?

wacha kulia lia.Hakutokusaidia ....
 
Che...
Sijapata kudharauliwa popote pale duniani nilipotia mguu wangu.
Alhamdulilah.

Unajua kuwa picha inasema maneno 1000.

View attachment 2867986
Yvonne Chaka Chaka
View attachment 2867987
Ahmed Rajab
View attachment 2867988
Salim Rashid​
Che,
Mimi nafanya utafiti kisha naandika sikopi popote.
Tujaalie ningekuwa nakopi mambo ya Waarabu kwani hairuhusiwi?

View attachment 2867990
Prof. Michael Lofchie
Che...
Kitu gani cha Kiafrika ninachoweza kujivunia?

View attachment 2867997
Mmoja wa Waandishi wa hili Kamusi lenye historia za Waafrika mashuhuri Afrika
View attachment 2867999





Mudi unatamani hii nchi wapewe waarabu bure tu ili mpewe tende.
 
Huyo ni mgeni
Soma jina lake.
Ni mgeni au Mtumwa wa wageni.

Hana faida kwa jamii yake ya Asili.

Wasomi rudini katika jamii zenu ili mboreshe mambo yake.
Wafrika tumebaki maskini karne na karne sababu ya kujishughurisha na mambo ya Wageni.

Leo ukienda Lindi maroli na Maroli yanapishana yamejaa Makaa ya Mawe yanapelekwa Ugenini.
Kwa Waarabu na Wazungu.

Hivi Wasomi Maprofesa kama wewe hamjajua matumizi ya Makaa yetu ya Mawe kweli ?
Kwa faida yetu?

Eti Mzee Profesa Ahmed Said.


Hatuandiki kabisa matumizi ya Makaa yetu wenyewe.

Tunaandika kuhusu Uislamu wa na Ukristo wa wageni tu.
Na Maneno ya Papa wa Romani Cathoric, kuhusu kuwabariki Mashoga.


Halafu tunabaki kulialia tunaonewa.
Mnaonewa au mnaibiwa Mali zenu na wageni wanao wasahaulisha kwenye Dini zao za mchongo ili msikumbuke Mali zenu zinazoibiwa

Huo sio Usomi
Ni Ukuwadi wa Mabwenyenye.

Makaa ya Mawe yanaisha huko.
Wenzetu wana matumizi ya Makaa ya Mawe, sisi hatuna na hatuta kuwa nayo.

Sisi tupo Misikitini na Makanisani tunakesha kwa Nabii Mwamposa.

Makaa ya Mawe yanaisha huko Ruvuma
Maprofesa Uchwala mmejikita kuandika pepa za Ubongo Bandia na Dini na Historia za Sultani wa Madina.
Aliyefariki na Kuzikwa katika Mji Mtukufu wa Maka mwaka 1845.
Na Kuprisenti Marekani na Maka.

Makaa ya Mawe yanaenda wapi ?
Wapi Profesa Lipumba?
Naskia yupo bize na Chama cha CAF.
Waafrika weusi Bado hatujafikia katika Hali ya Binadamu aliye staarabika na Kujitambua na kujiita Msomi.
Bado tuna Unyani mwingi sana.
EPIDOMIA

Halafu mnakaa na kutamba eti ni wasomi mnaotambulika na University of London.
Kwenu hutambuliki na huna faida yoyote zaidi ya kuagiza Ugali Maharagwe na kula na kulala.

Huo sio Usomi ndugu yangu,
Ni kugubikwa kitambaa cheupe Usoni.
Makka kuna utukufu gani?Kumejaa makasino,madada poa.
Wakina Manara,Mzee Yusuph nk wameenda na bado wamerudi wako wanazurura na malaya kwenye mitandao.

Maka ni sehemu ya utalii tu kama kwenda Serengeti.Ndo maana wahuni kibao wanenda huko na warudi wanaendelea na uhuni wao.
 
Makka kuna utukufu gani?Kumejaa makasino,madada poa.
Wakina Manara,Mzee Yusuph nk wameenda na bado wamerudi wako wanazurura na malaya kwenye mitandao.

Maka ni sehemu ya utalii tu kama kwenda Serengeti.Ndo maana wahuni kibao wanenda huko na warudi wanaendelea na uhuni wao.
Mamilioni ya watu duniani kote wanaenda kuhiji Maka kila mwaka.
Naskia ndio mji pekee wa kumpiga Mawe Shetani.
 
Hivi kati ya Wakristo na Waislamu, ni dini ipi iliyopoteza zaidi wakati wa utaifishaji wa taasisi za elimu mara baada ya uhuru? Mbona Wakristo walijipanga upya na kuanzisha shule na vyuo?

Mkapa alipokuwa rais, aliwapa Waislamu chuo cha TANESCO Moro na kukipatia ithabati kiwe Chuo Kikuu. Naomba majibu, hadi sasa MUM ina campus ngapi Tanzania? Najua vyuo vikuu kadhaa vya Wakristo vilianzishwa baada ya MUM na vimeshajitanua na kuiacha MUM mbali sana, tatizo ni nini?

Vv
Hawezi kukujibu hili labda akopi na ku paste zile pumba zake
 
Kwenye maisha jamii ikijijengea kulalamika wakati woooote kuwa wako hivyo walivyo kwa kuwa walifanyiwa hivi au vile basi jamii hii kamwe haiwezi songa mbele na ndiyo maana waafrika watabaki kuwa nyuma maana miaka nenda rudi huona hawakufanikiwa sababu ya wakoloni. Ndiyo maana black americans wako nyuma ya chinese, indians, latinos, na wengine maana wao daily hulalamikia kuwa wako nyuma maana wamefanyiwa sana madhila na wazungu hawataki kuona fursa. Waislamu dizain ya mzee huyu hawataki kuona fursa zilizopo/zijazo but wataendelea kulalamika miaka nenda rudi kuwa walifanyiwa madhila/dhuluma ndo maana wapo hivyo walivyo. Nyerere hulalamikiwa sana na waislam cha ajabu Nyerere kaondoka na ametangulia mbele ya haki wamekuja marais sasa tupo wa tano wao (waislamu 3) bado wanalalamika tu! Zanzibar ina wengi waislamu na inaongozwa na waislamu na wala haina maendeleo hayo! Yaani kwa kifupi siku zooooote jamii hii itatafuta pa kutupia lawama kamwe hawataki kuona makosa/udhaifu wao na kujirekebisha. Hawa hata wakisaidiwa vipi bado watalalamika tu! hawataki kufungua shule/vyuo vingi vilivyo bora na hakuna aliyewakataza lakini watasema mfumo kristo unawazuia wataleta historia ya naintin kweusi kuwa walizuiwa kufanya hivi/kufanya vile historia ambayo kamwe haiwasaidii chochote kwa sasa, maana hata wahenga walisema yaliyopita si ndwele aisee hii jamii ni shida sana.
Mohamed Said njoo huku kuna hoja za kuiibu
 
Gamma...
Misri ilitoa fedha kwa EAMWS kujenga Chuo Kikuu mwaka wa 1968.
EAMWS ikapigwa marufuku na serikali wakati inataka kujenga hicho chuo.

Katika miaka ya 1970 OIC walitaka kujenga Chuo Kikuu Tanzania serikali ikawakatalia kuwapa kibali.

Mwaka wa 1997 Darul Imaan ya Saudia ilitaka kujenga Shule ya Ufundi Kibaha ghafla magazwti yote yakaja na kampeni kuwa Waarabu wamevamia Kibaha wanapora ardhi za wananchi.

Darul Imaan ikasitisha mradi ikaondoka.

Haya mswali mnaniluliza mara nyingi na ninakupeni majibu lakini nitauliza tena swali hili hili.

Inakuwaje?

Hamuelewi ukweli au hamuamini kuwa serikali inazuia ujenzi wa taasisi za elimu kwa Waislam?
Huu uwongo wako kadanganye wajukuu zako au wenzio kwenye mchezo wa dhumna
 
Che...
Inasikitisha.

Mjadala huu umepata wasikilizaji wengi naamini kwa kuwa kuna mambo ya maana yanayojadiliwa hapa, mambo ambayo yamebeba historia kubwa sana ya nchi yetu.

Wewe unataka kuugeuza mjadala huu uwe wa kipuuzi.

Inasikitisha.
Ukiishiwa point ndiyo kawaìda yako kujibu ovyo
 
Back
Top Bottom