City Of Lies
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 4,925
- 6,137
Achana naye mapema. Huko mbeleni sio kwema kabisa. Angalia watoto watalelewa vipi pindi mtakapokuwa mmeachana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sioni shida mkeo kuabudu anapopaamini kwa sababu Mungu ni mmoja.
Cha muhimu mkae chini mkubaliane watoto hawatahusika kwenye dini yake aliyoirudia ili msiwachanganye
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie huwa nashangaa sana kuona watu wanataka kuvunja ndoa kwa tofauti ya dini hasa ukitilia maanani mke hana tatizo kwa watoto kufuata dini ya Baba yao.
Nimeshangaa na mimi huku wanamshauri mtu avunje ndoa kisa dini. Aiseee. Kwani mke kuwa imani tofauti na mumewe kitapungua nini kwenye ndoa yao?
Kama ni waroman Catholic ndoa mseto zipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Udini ndio tatizo. Mtu kuona imani fulani ni mbaya ndio maana hata mtoa mada mwenyewe kaona ni jambo kuuubwa sababu haupendi uislamInashangaza sana kusema kweli.
Nikiri kweli nampenda na sijawahi penda wanangu walelewe na mama Wa kambo ila sasa hapa nafanyajeUko tayari kuona watoto wako wanalelewa na mama wa kambo? Je, unampenda mkeo? Katika hii miaka 11 ya kuwa pamoja purukushani za hapa na pale hazikosi, katika muda huo wa kuwa pamoja bado unaweza kutamka ni mke mwema ni mama mwema kwa watoto wenu?
Ukiweza kuyajibu maswali hayo kwa ufasaha bila kigugumizi basi unajua maamuzi yako yataegemea upande upi.
Kila la heri kwenye kufanya maamuzi magumu na mrejesho ukiweza muhimu.
Nikiri kweli nampenda na sijawahi penda wanangu walelewe na mama Wa kambo ila sasa hapa nafanyaje
Hapo Mawili;Nikiri kweli nampenda na sijawahi penda wanangu walelewe na mama Wa kambo ila sasa hapa nafanyaje
Kwa kweli Jana nimeomba sana na bado naendelea kumwomba anipe uponyefu kwanza wa moyo wangu unaovuja damuu
Huyo umezaa nae,kuzaa ni mkataba kama mkataba unavyojua kuna sehemu lazima mukae mujue kulea watoto.Kua nae lakini asije akakubadilisha na imani. Ukimwambia unamuacha kwa imani yake akakubali ujue ana mchumba huko shuleniNakuambia amehudhuria kanisani miaka kumi na kubatizwa kabatizwa sasa nashindwa elewa na nimemwuliza uko serious akaniambia hawazi kurudi nyuma coz amepretendi mda mrefu dini ya kweli in uislam pekee hakuna nyinginee
Sijaelewa bado nduguMKUU,UKIANGALIA SIGNATURE YANGU HUTAPATA SHIDA NA HILO.
HEBU CHUNGULIA HALAFU UJE TENA HAPA USEME CHOCHOTE.
AHSANTE.