Hatma ya ndoa yangu leo usiku imekuwa hatari kwa maisha yangu

Hatma ya ndoa yangu leo usiku imekuwa hatari kwa maisha yangu

Sasa kama aliweza kukuigizia kwenye imani, una uhakika gani kuwa hakuigizii kuwa anakupenda?!

Pengine anakutengenezea mazingira ili kuna kitu au mambo ya kamilike apite hivi........

Jihadhari sana na mwanamke mwenye hila.....huwa maamuzi yao yanapoteza direction ya maisha na kuvuruga mipangilio......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakuambia amehudhuria kanisani miaka kumi na kubatizwa kabatizwa sasa nashindwa elewa na nimemwuliza uko serious akaniambia hawazi kurudi nyuma coz amepretendi mda mrefu dini ya kweli in uislam pekee hakuna nyinginee
Basi atakuwa amekutana na ustadhi Jaribu amempiga piston za maana mtoto kakolea kaona kama vipi arudi kundi alipotoka ili aendelee kupata utamu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Ndugu yangu ni lazima kabisa ukubali kuwa ulikosea kwa kuoa mtu asiyekuwa wa imani yako. Msifungwe nira pamoja na wasioamini kwa maana kuna ushirika gani kati ya wasioamini na walioamini.

2. Kuishi wilaya tofauti nayo ni issue iliyochangia kwa asilimia 100% kwasababu kama mngekuwa mnaishi wote mnalala wote na mnaamka wote na mnasali wote usiku na asubuhi sidhani kama yangefikia hapo.

3. Inaonekana pia unashida katika imani, si mtu aliyemlingana Yesu kisiawasawa. Ni wale wa tia maji tia maji yaani bora mkristo tu jina. (Kumbadili mtu kutoka uislam kwenda roman huyo asilimia 99.9 atarudi tu dini yake, most of roman hawako serious na kuabudu, sorry kwa kauli hii. Lakini ndio ukweli wenyewe). Ukristo ni maisha halisi ya kila siku na kama wewe ungekuwa mtu uliyezama kwenye imani kwa Kuishi maisha ya msimamo wa kristo kwa maombi, kusoma neno kila siku na familia yako, na kuwa mfano kwa matendo mema , haya singetokea)

4. Kama ni mkristo halisi anayeishi maisha ya wokovu haswa, basi kuna mambo mawili, mosi-ni jaribu lako na unajua pa kulipeleka na si kulileta hapa jf maana hapa utapata stress tu, pili-kuna sehemu hukutimiza majukumu yako ya kiimani hadi mkeo akaona kuna gap and so hakuna haja ya kuendelea huku wakati kuna mambo anapungukiwa kiimani.

Ushauri:
Hakunq haja ya kuumiza kichwa kuhusu mkeo, zidisha mapenzi juu yake. Kama hujaamini haswa haswa, for the sake of your children tafta mchungaji aanze kukulea kwa kukufundisha jinsi ya kuomba. Baada ya hapo funga na kuomba kwa ajili ya mkeo bila hata yeye kujua maana hiyo ni vita ya kiroho kwa hiyo unatakiwa upigane kiroho. Ukifanya kwa uaminifu, matokeo utayaona baadae.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandika kwa utukufu wa hali ya juu mtumishi wa bwana......

Naomba uniongoze sala ya upako mara moja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda kwa kuanza tu niwasalim wote na nawaomba muwe miongoni mwa mtakaookoa nafsi yangu iliyojaa MAUMIVU YASIYO NA KIFANI

NILIANZA KUISHI NA MKE WANGU HUYU 2008 KABLA YA NDOA NA TUKABAHATIKA KUPATA WATOTO WAWILI NA MWAKA 2018 JANUARY TUKAAMUA KUBARIKI NDOA

NA KILICHOKUWA KINACHELEWESHA NDOA ILIKUWA DINI TOFAUTI MIMI NI MKRISTO YEYE NI MWISLAM ILA MWISHO ALIAMUA KUBADILI DINI MWANZONI MWA MWAKA 2009 NA TUKAWA TUNAHUDHURIA IBADA PAMOJA NA WANETU MPAKA January HII NA TUPO MKOA MMOJA LAKINI WILAYA TOFAUTI

POINT YA USHAURI HII HAPA NAOHITAJI KWENU WAUNGWANA
LEO USIKU HUU KANIAMBIA ANARUDIA IMANI YAKE KWA KINA NA ANAHUDHURIA IBADA NA MAADILI YOTE YA IMANI YAKE (Islamic) NA HAKUNA WA KUMRUDISHA NYUMA TENA

ILA PIA ANAKIRI KURUDI KWENYE IMANI YAKE HANA MAANA KWAMBA HANIPENDI ANANIPENDA NA ATAENDELEA KUNIHESHIMU KAMA MUME WAKE NA PIA HATAACHANA NA MIMI LABDA MIMI NITAKAPOAMUA KUMUACHA

NA PIA NAENDELEA KUNIAMBIA AMESHAOMBA TOBA KWA MWENYEZI MUNGU AMSAMEHE MADHAMBI YAKE YOTE ALIYOTENDA KWA KIPINDI CHOTE ALICHIMCHANGANA NABII ISSA NA MUNGU

HAKUCHOKA WALA KUISHIA HAPO ALIENDELEA KUNIAMBIA NIMSAMEHE KWA MAAMUZI HAYO NA MAISHA YAENDELEA KAMA KAWAIDA NA PIA ALIFANYA NDOA KUWEZA KUTURIDHISHA MIMI NA NDUGU ZANGU

JAPO ANASEMA JAMBO HILO ANAAMINI HALIWEZI VUNJA UHUSIANO WETU NA HATA AKIBAKI KATIKA IMANI HII ATAENDELEA KUPRETEND AMBAVYO YEYE HATAKI KUPRITEND NA NILIOGOPA KUKUAMBIA MDA ILA LEO NIMEAMUA KUKUAMBIA TU

NA HAYA YOTE YANATOKEA BAADA YA KUMPELEKA KWENYE SHULE KURISIT MTIHANI WAKE WA KIDATO 4 KATIKA SHULE ZA KISLAM

SASA NAOMBA MNISHAURI NIFANYE NINI KWA KUWA NAONA KAMA MOYO UNATOBOKA SIJAPATA USINGIZI TOKA NILIVYOJARIBU KULALA SAA 2 YA LEO

PILI KIIMANI IKOJE TENA HII NDOA BAADA YA MWENZANGU KUAMUA HIVYO

Je kuna umuhimu wa kuendelea na mipango ya maisha ya pamoja mfano tulikuwa tumenunua viwanja vitatu na kimoja nimeandika jina langu viwili majina ya watoto na pia kiwanja kimojawapo tumeshaanza ujenzi na nilipanga kumalizia nyumba yetu mwezi Wa nne je kuna umuhimu wa kufanya hivyo ??

NB SIKUWEZA KUAMINI YALIYOTOKEA KWA KUWA YEYE ALIBADILI NA KUWA MKISTO BILA KUSHAWISHIWA NA MTU YEYOTE NA KWA KWELI TULIPENDANA NA NAWAPENDA SANA YEYE NA WANANGU
Oa mwingine
 
Mara nyingi nimekuwa nikiwaambia watu kuwa; Muislam wa kweli yaani tangu utotoni huwa habadili dini. Wengi huni attack sana na kuniona ka nawachukia waislam. Hapana. Ile dini ikiisha kukuingia huwa kama luba. Hatoki ila hukatika kipande kikabaki ndani na kingali hai.
Ushauri;
Mpakate vizuri, mpe ngonjera tosha, mwombe ruksa kuoa mke mwingine. Akikukubalia, mpe ruksa kuolewa ili akutoke akuachie watoto ulee wewe na mke mpya. Kwa mke mpya hakikisha humzalishi zaidi ya watoto 2.
 
Pole sana mkuu,shule imembadilisha mkeo na inaelekea kuangamiza familia yako na watoto wakibaki wakiteseka.Kwanza mkeo hana msimamo,hapo alipo akiambiwa na mwanaume yeyote achana na mumeo kwa kigezo cha dini,mkuu lazima uumie.Nakushauri,elimu yake haina tija kwako ili kunusuru ndoa yako na uwe na amani huko uendako;muachishe shule na garama nyingi wekeza kwa watoto huku ukiangalia upepo unaendaje.Ukiona amejirudi,unaweza kubuni shughuli ya kufanya.Anzisha biashara zako yeye asimamie tu n.k
 
Labda kwa kuanza tu niwasalim wote na nawaomba muwe miongoni mwa mtakaookoa nafsi yangu iliyojaa MAUMIVU YASIYO NA KIFANI

NILIANZA KUISHI NA MKE WANGU HUYU 2008 KABLA YA NDOA NA TUKABAHATIKA KUPATA WATOTO WAWILI NA MWAKA 2018 JANUARY TUKAAMUA KUBARIKI NDOA

NA KILICHOKUWA KINACHELEWESHA NDOA ILIKUWA DINI TOFAUTI MIMI NI MKRISTO YEYE NI MWISLAM ILA MWISHO ALIAMUA KUBADILI DINI MWANZONI MWA MWAKA 2009 NA TUKAWA TUNAHUDHURIA IBADA PAMOJA NA WANETU MPAKA January HII NA TUPO MKOA MMOJA LAKINI WILAYA TOFAUTI

POINT YA USHAURI HII HAPA NAOHITAJI KWENU WAUNGWANA
LEO USIKU HUU KANIAMBIA ANARUDIA IMANI YAKE KWA KINA NA ANAHUDHURIA IBADA NA MAADILI YOTE YA IMANI YAKE (Islamic) NA HAKUNA WA KUMRUDISHA NYUMA TENA

ILA PIA ANAKIRI KURUDI KWENYE IMANI YAKE HANA MAANA KWAMBA HANIPENDI ANANIPENDA NA ATAENDELEA KUNIHESHIMU KAMA MUME WAKE NA PIA HATAACHANA NA MIMI LABDA MIMI NITAKAPOAMUA KUMUACHA

NA PIA NAENDELEA KUNIAMBIA AMESHAOMBA TOBA KWA MWENYEZI MUNGU AMSAMEHE MADHAMBI YAKE YOTE ALIYOTENDA KWA KIPINDI CHOTE ALICHIMCHANGANA NABII ISSA NA MUNGU

HAKUCHOKA WALA KUISHIA HAPO ALIENDELEA KUNIAMBIA NIMSAMEHE KWA MAAMUZI HAYO NA MAISHA YAENDELEA KAMA KAWAIDA NA PIA ALIFANYA NDOA KUWEZA KUTURIDHISHA MIMI NA NDUGU ZANGU

JAPO ANASEMA JAMBO HILO ANAAMINI HALIWEZI VUNJA UHUSIANO WETU NA HATA AKIBAKI KATIKA IMANI HII ATAENDELEA KUPRETEND AMBAVYO YEYE HATAKI KUPRITEND NA NILIOGOPA KUKUAMBIA MDA ILA LEO NIMEAMUA KUKUAMBIA TU

NA HAYA YOTE YANATOKEA BAADA YA KUMPELEKA KWENYE SHULE KURISIT MTIHANI WAKE WA KIDATO 4 KATIKA SHULE ZA KISLAM

SASA NAOMBA MNISHAURI NIFANYE NINI KWA KUWA NAONA KAMA MOYO UNATOBOKA SIJAPATA USINGIZI TOKA NILIVYOJARIBU KULALA SAA 2 YA LEO

PILI KIIMANI IKOJE TENA HII NDOA BAADA YA MWENZANGU KUAMUA HIVYO

Je kuna umuhimu wa kuendelea na mipango ya maisha ya pamoja mfano tulikuwa tumenunua viwanja vitatu na kimoja nimeandika jina langu viwili majina ya watoto na pia kiwanja kimojawapo tumeshaanza ujenzi na nilipanga kumalizia nyumba yetu mwezi Wa nne je kuna umuhimu wa kufanya hivyo ??

NB SIKUWEZA KUAMINI YALIYOTOKEA KWA KUWA YEYE ALIBADILI NA KUWA MKISTO BILA KUSHAWISHIWA NA MTU YEYOTE NA KWA KWELI TULIPENDANA NA NAWAPENDA SANA YEYE NA WANANGU

kwani mkikaa kila mtu na dini yake nini kina haribika???huu ukoloni wa kikristo na uarabu usikufanye upoteze dira ya watoto mkuu,hakuna mwanamke atakulelea hivyo viumbe kama mama yao,usicheze kabisa na familia yako,halafu imani ya mtu ni kama majira tu utaamini huku mwaka huu mara mwaka mwingine unaamini kwingine pia ni kama ilivyoanza Roman catholik mara ikaja Anglican,moravian na wengine wengi,la msingi hapo ni kuangalia malezi ya wanao achana na hizo imani mfu kwani ww ni padri???tunza familia yako mkuu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
🙏🏽🙏🏽🙏🏽👍🏽

kwani mkikaa kila mtu na dini yake nini kina haribika???huu ukoloni wa kikristo na uarabu usikufanye upoteze dira ya watoto mkuu,hakuna mwanamke atakulelea hivyo viumbe kama mama yao,usicheze kabisa na familia yako,halafu imani ya mtu ni kama majira tu utaamini huku mwaka huu mara mwaka mwingine unaamini kwingine pia ni kama ilivyoanza Roman catholik mara ikaja Anglican,moravian na wengine wengi,la msingi hapo ni kuangalia malezi ya wanao achana na hizo imani mfu kwani ww ni padri???tunza familia yako mkuu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa kinachonishangaza zaidi ninapoona mtu analeta dini katika masuala mazito.

Unaishi na mtu bila ndoa (hapo dini inasemaje?)
Umepata watoto nje ya ndoa
(Hapo dini zote zinasemaje?)

Amekubali umuoe wa dini tofauti ingawa najua wanawake huwa wakiamua kupenda hakuna kinachowashinda (baadae anakuja kujuta)

Sasa hapo naona hata miradi yenu iwe washiriki kwenye biashara tu na sio wana ndoa

Sent from my SM using Tapatalk
 
pole sana,unachotakiwa kukijua mambo ya dini yana changamoto cha msingi mpende mkeo, kama anaenda mwache aende na wewe furahia imani yako tena msaidie ndani ya hiyo imani yake,kwani upendo hubadilisha chochote chini ya jua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenzio tunasubiriaga penati kama hizi tuvunje ndoa wewe bado unataka ushauri JF. Wakati ni huu usizubae! Watoto wana shida gani, wewe si ndio baba yao? Tatizo lipo wapi? Unakwama wapi Mr. Woga=Umaskini?
** piga chini fasta, kakamate mwanakwaya uendelee kufurahia maisha.
Hahah mkuu umenichekesha lakini katikati ya mistari yako naona mna points za maana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo ndoa imeshavunjika mnaishi kama wazazi mnaojamiiana...kama bado mnapendana ni vema mkaendeleza hayo mahusiano hizo dini zisiwe chanzo cha kutengana ..cha msingi kama unataka watoto wako wafuate dini yako wawahi mapema kuwabatiza na kuwapa mafundisho yatakayobase katika dini yako

Au kama vipi kama wewe ni RC na mnataka kuishi katika kumpendeza Mungu kafungeni mseto..kila mmoja abaki na imani yake huku mkiendelea kulisongeza gurudumu la maisha pasipo kila mmoja kumkwaza mwenzie

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndoa tayari kabatizwa na wanangu wameshabatizwa tatizo sijajua analenga mini amepanga nini
 
Kwel
Sasa kama aliweza kukuigizia kwenye imani, una uhakika gani kuwa hakuigizii kuwa anakupenda?!

Pengine anakutengenezea mazingira ili kuna kitu au mambo ya kamilike apite hivi........

Jihadhari sana na mwanamke mwenye hila.....huwa maamuzi yao yanapoteza direction ya maisha na kuvuruga mipangilio......

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa hata Mimi mipango yote ya maendeleo nimestopisha nina milioni 20 hapa ambazo tulipanga tuzifanyie maendeleo lakini sasa sifikiri tena hivyo.NAFIKIRI NIIFANYIE NINI COZ IPO TU
 
Back
Top Bottom