Hatoi matumizi ya mtoto, kaomba nimkopeshe pesa

Hatoi matumizi ya mtoto, kaomba nimkopeshe pesa

Sijui wanawake wengi kwanini wanapenda kuwa shamba darasa,yaani hatujifunzi na mapito yote aliyokupitisha.Mwanaume akuhudumii kwa chochote still unawasiliana nae hadi unakiri kwamba ungekuwa na hizo pesa ungempea kweli wacha tu akuchezee maana hata hujielewi.Ndo maana mnafanya single maza wazidi kudharaulika.Fungua akili yako wacha kuchekelea huyo fala,Mblock akafie mbali unless unataka akujaze mimba ya pili.
Pia nilimblock na katumia namba ngeni .Na kama kosa ni kukopesha,ningemkopesha kwa maandishi na angerudisha kwa riba.
 
Samahani mkuu, Siwezi mruhusu mtu kunichezea. Au kuamua kuzaa mtoto ndo kuchezewa? Pili, sikua na mawasiliano nae toka azingue kwenye matumizi so leo kaamua tu kupiga simu kwa shida zake..Muwe mnaelewa kabla hamjaanza kujibu watu kwa hasira..
Sina hata hasira,nimekujibu kutokana na hizo replies kwa member wengine!inaonyesha huyo baby dady wako ni mtu ambaye anaenda na kurudi kwenye maisha yako.Japokua unasema huwasiliani nae mara kwa mara.Sasa imekuaje hujamblokia mbali au utasema kakupigia na namba mpya?inaonesha bado anaishi kwenye hisia na maisha yako ndo maana unamchekelea tu..cha kushangaza wasema eti ungekuepo na hiyo laki tano ungempa lol sijui unajielewa au ukute hii ni chai umetuandikia tujiburudishe.
 
Pia nilimblock na katumia namba ngeni .Na kama kosa ni kukopesha,ningemkopesha kwa maandishi na angerudisha kwa riba.
Eti angerudisha kwa riba?yaani ameshindwa kulea damu yake alafu huo mkopo ndo angekurudishia kirahisi hivyo?Wake up wacha kuwa shamba darasa..Lea mtoto wako bana achana na drama za ma babe dadyz.
 
Sina hata hasira,nimekujibu kutokana na hizo replies kwa member wengine!inaonyesha huyo baby dady wako ni mtu ambaye anaenda na kurudi kwenye maisha yako.Japokua unasema huwasiliani nae mara kwa mara.Sasa imekuaje hujamblokia mbali au utasema kakupigia na namba mpya?inaonesha bado anaishi kwenye hisia na maisha yako ndo maana unamchekelea tu..cha kushangaza wasema eti ungekuepo na hiyo laki tano ungempa lol sijui unajielewa au ukute hii ni chai umetuandikia tujiburudishe.
No my dear, nilimblock na katumia new number..Pia ningemkopesha kwa maandishi na riba so as I make profit out of it.Nilishajiwekea msimamo juu ya wanaume wasiyojielewa
 
Eti angerudisha kwa riba?yaani ameshindwa kulea damu yake alafu huo mkopo ndo angekurudishia kirahisi hivyo?Wake up wacha kuwa shamba darasa..Lea mtoto wako bana achana na drama za ma babe dadyz.
Mkuu unanichukulia zezeta fulani au?ANGEIRUDISHA TU ..
 
Kwa sisi wanaume "mzigo " ni sehemu kubwa sana ya kuonesha unampenda mwanamke yaani kila muda unakuwa na hamu nae.tofauti na nyie wanawake unakuta anapenda kitu kingine tofauti na "kuliwa
Sawa mkuu ila mtu anaweza kukuomba mzigo na pia asiwe anakupenda vilevile
 
Tena jitahidi kuwepo na uthibitisho kwamba alikuwa hatoi matumizi ya mtoto ili badae asije akakugeuka,huyo mwanaume atakuwa kabila gani
 
Najua unayo Jay ila umenifanyia makusudi

Kumbuka kua ni Mbegu yangu na yai lako ndivo vimetupatia binti mrembo sana.

Maisha yanabadilika na vitu vinabadilika, mpaka imefikia wakati wa kukuomba unikopeshe utambue yakwamba nmekwama.

Mimi sio kwamba nilikua namktaa mtoto, ila kosa nipale mazingira yako ulonionyesha yakaniondolea amani,mpaka tunapima ndipo nikawa na Uhakika wa Mwanangu.


Sio kwamba sitak kuhudumia, wewe wajua kipato chang na majukum yangu nandio maana kidogo nilichopata nilikitoa, na zaidi ya yote nmekua kila siku nakuombea Wewe na Mwanangu ili muwe na maisha yenye afya njema

Nataman kuona mwanangu namsomesha naanapata huduma bora, ivo nikiwa kama mwanadam mkosaj, tambua tu ninampenda sana Mwanangu, na ninakupenda wewe nakukuheshim kwa kunizalia mtoto mzuri.


Jay, Hata ivo Adhabu yoyote utakayoamua kunipa kama hukum nitaipokea ila kumbua kua NINAKUPENDA WEWE NA MWANANGU.
🤣🤣 hizi ndio ngonjera zinawafanya wadada wa watu watoe hizo laki 5 na wala wasidai...
 
Habari za weekend wapendwa,

I hope you are all doing great.Mimi ni single mum ambaye nalea mwanangu mwenyewe toka mjamzito.Babake alikataa mimba na kuomba niitoe but niligoma kuuwa kiumbe kisicho na hatia.

Nikaamua kulea mwenyewe na baada ya kujifungua, bado akakataa mtoto hivyo tukafanya DNA( kwa gharama zangu pia) na mtoto akawa ni wake.

Ilibidi aanze kutoa matumizi ya mtoto ambayo alitoa kwa miezi mitatu tu.So nikawa namkumbusha but anakwepa nikaona isiwe shida nikampotezea nikaamua kuongeza nguvu zaidi katika upambanaji.

Ndugu zake huwa wananipigia na kumjulia hali mtoto,wakiomba picha nawatumia ndo nahisi huwa wanamtumia jamaa pia.

So leo , nimekaa nawaza zangu maisha na kucheza na mrembo wangu,ghafla babake anapiga simu na kutujulia hali na kuomba nimkopeshe laki tano..Nilimjibu tu kistaarabu kuwa sina.

Na huyu jamaa anafanya kazi kwenye taasisi kubwa tu na analipwa vizuri ila amesusia matumizi ya mtoto wake na leo ana uthubutu wa kunikopa pesa. Mtoto ana miaka miwili saiv na alimhudumia kwa miezi mitatu tu baada ya DNA.

Wanaume, nimewainulia mikono.

Jumapili njema wapenzi.
Dah ata mie wanawake nimewainulia mikono...aisee yaani hamjioneagi huruma kabisa....
 
Mmh best maisha hayako hivyo, jifikirie mwisho wa hayo yote ni nini?
Kwamba ndio damu itabadilika kwa mtoto huwezi jua ya kesho labda ndio atakuja kuwa msaada kwa mama na mtoto katika nyakati ambazo hakutegemea kabisa.
Kuna vitu ni kweli vinaumiza sana lakini tusichochee chuki.
Best hapana bwanaa,kuna wanaume wanajua kutesa wanawake,.hata kama haibadilishi ukweli yeye alishindwaje kumuhudumia mtoto ingali kipato anacho??leo kakwama anamfuata huyohuyo ambaye usiku na mchana ana pambana kwa ajili yake binafsi na damu yao...akakope tuu bank asee...
 
Kushirikishana kupi kwingine unakokutaka?
Mtu anavua boxer, anagonga kavu kavu, anapiga bao anakojoa humo humo.
Anarudia hizo process mara kadhaa. Halafu unataka kuaminisha kuwa hakukua na ushirikishwaji wa baba?
Unataka ushirikishwaji upi mwingine mkuu?
Mwanaume shabash aliekamilika, akishiriki hizo process zote hapo juu, na mimba ikanasa hawezi kuanza kulalama eti mdada kashika mimba bila kumshirikisha. Kitu pekee ninachoweza mlaumu huyu binti ni kumvulia chupi mwanaume mpumbavu.
Eti jamanii, bora umesema mwanaume anaejielewa hawezi kufanya hizo mistakes kila siku unakojolea ndani afu' mimba ikiingia unasema sitaki,ebo!!!
 
Eti jamanii, bora umesema mwanaume anaejielewa hawezi kufanya hizo mistakes kila siku unakojolea ndani afu' mimba ikiingia unasema sitaki,ebo!!!
Ni shida sana.
Tena unaweza kuta siku mimba inaingia kijana alifunga safari kutoka Kigamboni hadi Tegeta kufuata mbususu.
Ukisikia hawa vijana wasiojielewa wanasema eti binti kapata mimba bila kumshirikisha unaweza kudhani kuwa binti alienda kuchukua sperms za jamaa kwenye friji akajimwagia kwenye mbususu yake.
Kumbe jitu lilipiga bao kwa raha zote kabisa tena kavu kavu. Eti binti kapata mimba bila kukushirikisha.
 
Back
Top Bottom