Hatoi mbususu ila pesa anaomba

Hatoi mbususu ila pesa anaomba

Write your reply... Ningekuwa Mimi huyo ningekuwa nishapiga chini kitambo Sana, siwezi kubembeleza mwanamke anipe mbususu wakati wanawake wapo wengi Sana tena wa kumwaga.

Anza mchakato wa kutafuta chimbo lingine huyo achana naye.
 
Write your reply... Ningekuwa Mimi huyo ningekuwa nishapiga chini kitambo Sana, siwezi kubembeleza mwanamke anipe mbususu wakati wanawake wapo wengi Sana tena wa kumwaga.

Anza mchakato wa kutafuta chimbo lingine huyo achana naye.
🤝🤝🤝😀
 
mwanamke anayekunyima mbususu huyo kuna sehemu anatoa tena bure! ww utakuwa humvutii na amekuweka kwenye chupa usifurukute! miaka 8 unabembeleza kidude mwe
Wewe katika tasnia pendwa, una bachelor's degree yenye ufaulu mzuri wa kuyafahamu mambo!

Ukiwa mtaalamu wa namna hiyo, dunia hii utaishi kwa raha sana na utakufa kwa magonjwa mengine na siyo yasababishwayo na stress!

Vijana wengi wamepotea kwa kuhisi kupendwa, wakachukua majukumu yasiyowahusu kwenye hamna!

Wanapokuja kshituka kuvuta shuka, tayari kumekucha.
 
Kazi iende na dawa hata pesa iende na huduma unayopokea.

Huyu ni mwanadada mmoja tulianza mahusiano late 2015 hakua na mbambamba, she gave everything and everytime alikua na uwezo wa kusafiri kunifuata nilipo tunapokumbukana that was so sweet kiukweli.

Sasa mambo yalianza kubadilika mapema 2019 mbususu hatoi, Kwa sababu zisizo za msingi yaani mtu anaamua tu kubana miguu na tulikua kwenye hatua nzuri tu
Ila kwenye suala la kuomba pesa anadai kama wale jamaa wa branch au tala[emoji1787]

Nikakomaa mwaka mzima ukapita bila bila no sex no Nini [emoji33][emoji33] basi ikabidi taratibu nianze kujiengua pili nianze kusitisha zile huduma zote hasa pesa mpaka Sasa sijapata mbususu yake huyu parasite toka 2019 na tunawasiliana kama kawaida ila si kama zamani.
Saizi najiona kama ndo napambania kombe sana kuliko yeye[emoji3] huku yeye akiwa Hana habari [emoji29] meli inaelekea kuzama maana.
Sitadaiwa Kwa kupoteza mda wake I really have to move on

Huyu ni katika wanawake nilimpenda sana nae alinipenda zaidi ila bila mbususu hayo mahusiano ni batili nawasilisha.
Kwa nini uendeleze mahusiano yaliyokwisha kufa kwa kuyagharamia namna hiyo?

Kama mpenzi wako wa kike alishakugeuza rafiki, basi mtendee kama rafiki na si mpenzi.

Na kwenye urafiki mnatakiwa mtendeane sawa.

Na ukiona urafiki ni umeegemea upande mmoja kwa ajili ya manufaa, urafiki wa namna hiyo haufai ukwepe.
 
Back
Top Bottom