Zipo kaya zaidi ya laki moja, wakazi zaidi ya 150,000, mifugo zaidi ya milioni moja, lkn tunachoona ni lori moja limebeba ng’ombe 20 na coaster 3 zimebeba wakazi wasiozidi 50, tunajiuliza mifugo yao mingine wameiacha wapi na wakazi wengine wapo njiani wanaelekea Msomera kwa miguu? haiwezekani wakazi wa vijiji zaidi ya 12 wabebwe kwenye coaster tatu tu, msafara mwingine ni lini, zoezi limestishwa au limefeli.
Mdau mmoja kaandika....,,
“Kwa akili ndogo tu. Unawahamisha wanainchi laki moja kuwapeleka katika kijiji ambacho kishakuwa na wakazi wake na kijiji chenyewe hakizidi kilomita 100 ya mraba halafu. Mnajenga nyumba moja mmasai ana wanawake 4+8 na watoto 20+35 sasa hapa jama tuangalie kama huu sio uonevu”?
Mdau mmoja kaandika....,,
“Kwa akili ndogo tu. Unawahamisha wanainchi laki moja kuwapeleka katika kijiji ambacho kishakuwa na wakazi wake na kijiji chenyewe hakizidi kilomita 100 ya mraba halafu. Mnajenga nyumba moja mmasai ana wanawake 4+8 na watoto 20+35 sasa hapa jama tuangalie kama huu sio uonevu”?