Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Kama ardhi ya kwao si watoe hati waachweNani kawambia mimi ni mmasai, wamasai original hawa hapa achana na wale wa maandamano feki.
View attachment 2264569
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ardhi ya kwao si watoe hati waachweNani kawambia mimi ni mmasai, wamasai original hawa hapa achana na wale wa maandamano feki.
View attachment 2264569
Weee bwana weeee !!!Zipo kaya zaidi ya laki moja, wakazi zaidi ya 150,000, mifugo zaidi ya milioni moja, lkn tunachoona ni lori moja limebeba ng’ombe 20 na coaster 3 zimebeba wakazi wasiozidi 50, tunajiuliza mifugo yao mingine wameiacha wapi na wakazi wengine wapo njiani wanaelekea Msomera kwa miguu? haiwezekani wakazi wa vijiji zaidi ya 12 wabebwe kwenye coaster tatu tu, msafara mwingine ni lini, zoezi limestishwa au limefeli.
View attachment 2264476View attachment 2264477
Hawawezi kuhama wote kwa siku moja, zoezi bado ni endelevu ila siku zinavyoenda ndivyo wahamaji wanaongezeka.Zipo kaya zaidi ya laki moja, wakazi zaidi ya 150,000, mifugo zaidi ya milioni moja, lkn tunachoona ni lori moja limebeba ng’ombe 20 na coaster 3 zimebeba wakazi wasiozidi 50, tunajiuliza mifugo yao mingine wameiacha wapi na wakazi wengine wapo njiani wanaelekea Msomera kwa miguu? haiwezekani wakazi wa vijiji zaidi ya 12 wabebwe kwenye coaster tatu tu, msafara mwingine ni lini, zoezi limestishwa au limefeli.
View attachment 2264476View attachment 2264477
And I cannot sit watching my country being sold to foreigners.Then get seated and settled. Stop blurting!
Kuliko wakenya kulisha mifugo yao mnataka kuwauzia waarabu wavune wanyama.It seems ngorongoro ilikua kichaka cha baadhi ya wakenya kulisha mifugo kwa mgongo wa wamasai
Kama hakuna haraka ya kuhama kulikuwa na sababu gani ya msingi kupeleka jeshi kuwapiga mabomu.Hawawezi kuhama wote kwa siku moja, zoezi bado ni endelevu ila siku zinavyoenda ndivyo wahamaji wanaongezeka.
Tatizo sio uhifadhi ni limeuzwa kwa waarabuHili suala LA wamasaai naona mnapotosha sana. Acheni serikali ifanye kazi yake.....wamasaai wahame ili kupisha eneo LA hifadhi. Tusilete siasa za kikanda kwenye suala pana kama hili.
Mkuu acha kupoteza muda wako kuyajibu hayo ma puppet ya wakenya. Oparation itaendelea kama kawa, wamasai wa Tanzania watahamishwa kwa usalama, na wale wamasai manyang'au wa Kenya watarudi kwao kwa nguvu au kwa hiari yao. Baada ya hapo hili la kujaza wanaharakati koko mitandaoni ili wawapiganie kulinda masilahi yao litapita kama yalivyopita mengine. Uzuri serikali imewapuuza wanaharakati koko wote wanaobweka radioni na mitandaoni.
Kweli kabisa kila siku tunaonyeshwa mbili tu wanazigeuza geuza zionekane nyingi.Lakini pia mtuonyeshe nyumba kama 15,000 zilizojengwa hapo Msomera ku-accommodate kaya zitakazohama.
Acheni miigizo na propaganda za kitoto.
Nikiweka au nisipoweka hiyo picha wewe mtumwa wa wakenya itakusaidia nini? Au unafikiri kuandika ujinga huu mbele ya mabwanyenye yako ya kikenya yaliopo humu ndo itakusaidia kupata ugali wako wa usiku?Lakini pia mtuonyeshe nyumba kama 15,000 zilizojengwa hapo Msomera ku-accommodate kaya zitakazohama.
Acheni miigizo na propaganda za kitoto.
tunachoona ni lori moja limebeba ng’ombe 20 na coaster 3 zimebeba wakazi wasiozidi 50, tunajiuliza mifugo yao mingine wameiacha wapi na wakazi wengine wapo njiani wanaelekea Msomera kwa miguu?[emoji2827][emoji2827]Zipo kaya zaidi ya laki moja, wakazi zaidi ya 150,000, mifugo zaidi ya milioni moja, lkn tunachoona ni lori moja limebeba ng’ombe 20 na coaster 3 zimebeba wakazi wasiozidi 50, tunajiuliza mifugo yao mingine wameiacha wapi na wakazi wengine wapo njiani wanaelekea Msomera kwa miguu? haiwezekani wakazi wa vijiji zaidi ya 12 wabebwe kwenye coaster tatu tu, msafara mwingine ni lini, zoezi limestishwa au limefeli.
View attachment 2264476View attachment 2264477
Loliondo ndio kulitokea hayo wakati wa uwekaji mipaka kati ya eneo la vijiji na pori tengefu (ambapo askari polisi aliuawa) ila huko Ngorongoro hakuna tukio baya lililotokea.Kama hakuna haraka ya kuhama kulikuwa na sababu gani ya msingi kupeleka jeshi kuwapiga mabomu.
Kuhama ni zoezi endelevu sio kazi ya siku moja wengine wataendelea kuhama siku zijazo.tunachoona ni lori moja limebeba ng’ombe 20 na coaster 3 zimebeba wakazi wasiozidi 50, tunajiuliza mifugo yao mingine wameiacha wapi na wakazi wengine wapo njiani wanaelekea Msomera kwa miguu?[emoji2827][emoji2827]
Waliopigwa risasi ni Wamasai wa KenyaWalipokuwa wanahamishwa ulisikia wamepigwa risasi kama wanavyopigwa wamasai.
Angalia hii video mmasai anavyomuokoa ng'ombe wake toka kwa simba mbele ya watalii,unaweza kugundua hapo hiyo jamii ya wamasai sehemu ilipokuwepo wanapaswa kuhamishwaKuliko wakenya kulisha mifugo yao mnataka kuwauzia waarabu wavune wanyama.
Thibitisha hapa sio porojoTatizo sio uhifadhi ni limeuzwa kwa waarabu
Na waliopewa kesi ya mauaji ni madiwani wa Kenya.Waliopigwa risasi ni Wamasai wa Kenya
Siyo wamepewa kesi ya mauaji, bali wameshtakiwa kwa mauaji! Nani anahawa kesi? Ujinga mnawajaza wenyewe kwa tamaa ya vifedha vya NGOs za Kenya.Na waliopewa kesi ya mauaji ni madiwani wa Kenya.