TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Mkuu umemuelewa mtoa mada?Hili suala LA wamasaai naona mnapotosha sana. Acheni serikali ifanye kazi yake.....wamasaai wahame ili kupisha eneo LA hifadhi. Tusilete siasa za kikanda kwenye suala pana kama hili.