Hatuoni mwendelezo wa Maasai wa Ngorongoro kuhama

Hatuoni mwendelezo wa Maasai wa Ngorongoro kuhama

Zipo kaya zaidi ya laki moja, wakazi zaidi ya 150,000, mifugo zaidi ya milioni moja, lkn tunachoona ni lori moja limebeba ng’ombe 20 na coaster 3 zimebeba wakazi wasiozidi 50, tunajiuliza mifugo yao mingine wameiacha wapi na wakazi wengine wapo njiani wanaelekea Msomera kwa miguu? haiwezekani wakazi wa vijiji zaidi ya 12 wabebwe kwenye coaster tatu tu, msafara mwingine ni lini, zoezi limestishwa au limefeli.

View attachment 2264476View attachment 2264477

Mdau mmoja kaandika....,,

“Kwa akili ndogo tu. Unawahamisha wanainchi laki moja kuwapeleka katika kijiji ambacho kishakuwa na wakazi wake na kijiji chenyewe hakizidi kilomita 100 ya mraba halafu. Mnajenga nyumba moja mmasai ana wanawake 4+8 na watoto 20+35 sasa hapa jama tuangalie kama huu sio uonevu”?
La msingi ni sababu ya kuwahamisha kutoka eneo hilo na siyo jinsi na namna wanavyohamishwa.

Tunawajibika kuilinda Ngorongoro na hifadhi nyingine nchini, kwa nguvu zote, ili hadhi yake irudi kama zamani iweze kuwanufaisha watanzania wote
 
Angalia hii video mmasai anavyomuokoa ng'ombe wake toka kwa simba mbele ya watalii,unaweza kugundua hapo hiyo jamii ya wamasai sehemu ilipokuwepo wanapaswa kuhamishwa
Waondoke tu, waache wanyama waishi kwa uhuru
 
Kama mlijua itawachukua muda mrefu kuwahamisha badala ya kuwapelekea jeshi muda huo mngeitumia kuwaelimisha.
We have a problem kwenye Upangaji wa Vipaumbele Vyetu,
P
 
Hili suala LA wamasaai naona mnapotosha sana. Acheni serikali ifanye kazi yake.....wamasaai wahame ili kupisha eneo LA hifadhi. Tusilete siasa za kikanda kwenye suala pana kama hili.
Mdau mmoja kaandika....,,

“Kwa akili ndogo tu. Unawahamisha wanainchi laki moja kuwapeleka katika kijiji ambacho kishakuwa na wakazi wake na kijiji chenyewe hakizidi kilomita 100 ya mraba halafu. Mnajenga nyumba moja mmasai ana wanawake 4+8 na watoto 20+35 sasa hapa jama tuangalie kama huu sio uonevu”?
 
Back
Top Bottom