Hatuoni mwendelezo wa Maasai wa Ngorongoro kuhama

Hatuoni mwendelezo wa Maasai wa Ngorongoro kuhama

Zipo kaya zaidi ya laki moja, wakazi zaidi ya 150,000, mifugo zaidi ya milioni moja, lkn tunachoona ni lori moja limebeba ng’ombe 20 na coaster 3 zimebeba wakazi wasiozidi 50, tunajiuliza mifugo yao mingine wameiacha wapi na wakazi wengine wapo njiani wanaelekea Msomera kwa miguu? haiwezekani wakazi wa vijiji zaidi ya 12 wabebwe kwenye coaster tatu tu, msafara mwingine ni lini, zoezi limestishwa au limefeli.

View attachment 2264476View attachment 2264477
Ushaambiwa Mkulu wa Igizo ana wajomba kule walipowauza utumwani mababu zetu. Sasa hivi mpwa anafanya utumwa ndani ya himaya yake na ana miaka zaidi ya minane mbele. Watauzwa tu hao Wamasai watake wasitake!
 
Siyo wamepewa kesi ya mauaji, bali wameshtakiwa kwa mauaji! Nani anahawa kesi? Ujinga mnawajaza wenyewe kwa tamaa ya vifedha vya NGOs za Kenya.
Ni kweli Kenya wana vijipesa huwezi kuwalinganisha na mabasha wenu waarabu..
 
Serikali imesema awamu zinazofuata hazitatangazwa so amini tu kuwa hata saiv wamasai wapo njiani kuelekea Handeni kwa hiari
 
Logic: Madau mmoja kaandika.

Kwa akili ndogo tu. Unawahamisha wanainchi laki moja kuwapeleka katika kijiji ambacho kishakuwa na wakazi wake na kijiji chenyewe hakizidi kilomita 100 ya mraba halafu. Mnajenga nyumba moja mmasai ana wanawake 4+8 na watoto 20+35 sasa hapa jama tuangalie kama huu sio uonevu?
 
Logic: Madau mmoja kaandika.

Kwa akili ndogo tu. Unawahamisha wanainchi laki moja kuwapeleka katika kijiji ambacho kishakuwa na wakazi wake na kijiji chenyewe hakizidi kilomita 100 ya mraba halafu. Mnajenga nyumba moja mmasai ana wanawake 4+8 na watoto 20+35 sasa hapa jama tuangalie kama huu sio uonevu?
Hayo ndiyo maisha PRIMITIVE ambayo tunataka Wamasai waachane nayo. Karne hii una wake 8 na watoto 50 utawasomesha vipi? Lazima uwatengenezee mduara wa umaskini (vicious circle)
 
Hili suala LA wamasaai naona mnapotosha sana. Acheni serikali ifanye kazi yake.....wamasaai wahame ili kupisha eneo LA hifadhi. Tusilete siasa za kikanda kwenye suala pana kama hili.

Acha wenye kutumia akili zao wazitumie kuhoji, ww ambaye akili yako umeikabidhi serikali endelea kuisubiri ifanye kazi yake.
 
Hata wao wanajua zoezi limeshindikana ,kwenye watu laki moja na nusu unahamisha 40 ?

Kichekesho ni pale nyumba zinazopigwa picha hazizidi mbili! Ninajaribu kupata picha hao Wamasai wataohamia handeni jinsi wataishi maisha magumu. Tuna uzoefu wa serikali za nchi hizi kutekeleza wananchi wanaowahamishia mahali kinguvu. Hii ni tokeo zoezi la vijiji vya ujamaa enzi za Nyerere.
 
Acha wenye kutumia akili zao wazitumie kuhoji, ww ambaye akili yako umeikabidhi serikali endelea kuisubiri ifanye kazi yake.
Kuna akili gani zinazotumika hapo? Wote ni porojo tu. Akili gani za kulaumu na kukashifu kila kitu.....vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vimeshachunguza na kuthibitisha kuwa ngorongoro kuna mamluki therefore kuwaondoa hao lazima na wenyeji wao watoke.
In short wamasaai wameshindwa kujiheshimu.
 
Kuna akili gani zinazotumika hapo? Wote ni porojo tu. Akili gani za kulaumu na kukashifu kila kitu.....vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vimeshachunguza na kuthibitisha kuwa ngorongoro kuna mamluki therefore kuwaondoa hao lazima na wenyeji wao watoke.
In short wamasaai wameshindwa kujiheshimu.

Kwahiyo ww una imani na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama?
 
Acha dharau wewe...unadhani ni babaako anayeilinda hii nchi? Vyombo vyetu vya ulinzi viko imara na ndio maana uko huko unavimba kichwa.

Kulinda ni wajibu wao maana wanalipwa mshahara. Kuwaamini ni jambo lingine boss.
 
Kweli kabisa kila siku tunaonyeshwa mbili tu wanazigeuza geuza zionekane nyingi.

View attachment 2264867
Haaaa haaaa, kila picha ya hayo makazi ni nyumba hizi hizi. Kama kungekuwa na nyumba nyingi wangeweka hata clip kuonyesha hizo nyumba. Mateso watakayopata Wamasai kwenye hayo Makambi ya wakimbizi handeni sipati picha.
 
Haaaa haaaa, kila picha ya hayo makazi ni nyumba hizi hizi. Kama kungekuwa na nyumba nyingi wangeweka hata clip kuonyesha hizo nyumba. Mateso watakayopata Wamasai kwenye hayo Makambi ya wakimbizi handeni sipati picha.
Na hicho Kijiji kingekua kimejengwa hizo nyumba 1500 tibisii lazma wangehamia huko kutuonyesha hicho Kijiji[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Angalia hii video mmasai anavyomuokoa ng'ombe wake toka kwa simba mbele ya watalii,unaweza kugundua hapo hiyo jamii ya wamasai sehemu ilipokuwepo wanapaswa kuhamishwa
Sasa wewe huoni kwamba huo ndio moja ya utalii na maajabu ya ngorongoro Simba kuishi na binaadamu na kumweshimu? Ingekua wewe mama yako kakamatwa na Simba ungethubutu kupeleka kende kumwokoa? Kama ulikua hujui ujue Leo kwamba ule ndio utalii wenyewe Sasa wageni wanaopenda kuona kitu ambacho huwezi kukipata mbuga nyingine duniani zaidi ya ngorongoro kumbuka tu utalii ni zaidi ya kutazama wanyama maana hao wanyama hata Dubai wapo now
 
Zipo kaya zaidi ya laki moja, wakazi zaidi ya 150,000, mifugo zaidi ya milioni moja, lkn tunachoona ni lori moja limebeba ng’ombe 20 na coaster 3 zimebeba wakazi wasiozidi 50, tunajiuliza mifugo yao mingine wameiacha wapi na wakazi wengine wapo njiani wanaelekea Msomera kwa miguu? haiwezekani wakazi wa vijiji zaidi ya 12 wabebwe kwenye coaster tatu tu, msafara mwingine ni lini,
Mkuu Quinine , ulitegemea mass exodus from Ngorongoro kama kwenye kitabu cha "Kutoka"?. Hapa tunakwenda mdogo mdogo, step by step.
P
 
Back
Top Bottom