Kama ni rugby wala usihofu mi nilikuwa scrumhalf wa Mwamba RFC-Nairobi nilipokuwa nasoma huko miaka ya nyuma napenda Allblacks wa New zealand.
Akikukosa St.RR nitaanza mishe!!!
CV yangu utaipata soon ili ukute unaichambua!!!!
doooooooohh!
mwwanamke kutongozwa ni kawaida
mwanaume yeyote ndan au nje ya jf kutongoza ni kawaida
kwa iyo basi ni BUSARA NA HEKIMA SANA KM UKIMWAMBIA nje ya apa atakuelewa ..as long as hakushikii b-52 wakat anakutongoza kuna shda gan ukikataa?ukimpotezea ?au atakutumia majambaz cz umemkataa?
umature wa mwanamke pia unapimwa na kukomazwa kwa mitego ya wanaume km ivyo....
. kutongozwa kwa style na vshawsh mbalimbali vnakufanya uwachukulie poa tu na kuwadharau pale unapoona wanazidi kukusumbua..
tanzania haijawa congo au somalia ambapo mwanaume akimkuta mwanamke basi ni mweleka na kifuatacho ni PUSHAPU..Tanzania tunatongozwa bado so ni BORA UMWAMBIE LIVE lakin kuileta apa km post mmh ..sjui lakin bt ahh i issue ndg sana ni ya kuimaliza thru mails o sms tu ..
umetongozwa na wangap mama? wote unapo pakuwasemelea au kwa mtu wa jf ndo wamtungia post?
any ways pole mwaya kwa USUMBUFU...i do agree swaga za matongozo znaboa bt stl we hav room to say NO o yes per our interest bt nt to publisize like ths
pole mama.
mwambie akukome
akutue
dosh dosh dodido..:smile-big:
miπlane: kwa FRANCIS CHEKA Kuchukua kozi ya wiki 2 ..mtu akinitongoza ni mangumi tu...
once again pole sweetie
Baba Enock haya mambo yapo wapo wanaopata wachumba kanisani
Hilo swali lingine inawezekana wewe hujawahi?
Wanatongozana nje ya kanisa FL1 na siyo kanisani! Sasa mtu umeshika misale ya waumini au tenzi za rohoni utatongoza vipi?
Kwa PM sijawahi! Hivi inawezekana ukamtogoza mtu ambaye hujawahi kumuona? Nauliza tu!!!
Au ndiyo unaanza kwa kujitambulisha:
"...Hi FL1, Mimi naitwa BE, nina urefu wa mita moja, nina nyumba kumi mikocheni, na magari mia moja, naishi Barbados.. Kila wikiendi huwa naenda mapumziko mafupi Newyork na Gulf Stream yangu.. hujambo? Naomba tukutane New Africa Hotel siku ya Ijumaa au Mikadi kule kigamboni, nimevutiwa sana na avatar yako mpaka nakosa usingizi usiku... Kodi hammer hapo CMC kwa ajili ya kutumia wikiendi, bill nita-settle, au ukipenda nitakutumia VISA card details kwa ajili ya shopping ndogo ndogo... Mwaaaaah See Ya - I love you honey..."
Halafu unabonyeza "Submit this message" button
Kha!
i real dnt think kama unashikiwa fimbo kukubali,mpak auko jf naamini ww ni mtu mzima and unajua ufanyacho!najua kwa unaempenda huwezi kukataa ukitongozwa,lkn kwa usiempenda lazima utakasirika,use a polite language when u call them,itakuongezea heshima zaidi wengine hapa ni kaka zetu/waume zetu/washauri wetu wa karibu etc,naomba usinielewe kama nakupinga lkn kwa anaekutongoza and humtaki mwambie tu ukweli na hasa kama ni mume wa mtu jiepushe nae.:smile-big:
usijali,yy kanipata na mwengine nae kanipata na ww pia unakaribiswa sana
kweli kuna wanawake vichwa haswaaaaaaaaaa
Simple solution. Mnazifaham zile traffic light parties? Ukivaa kijani you are available, orange you are not really sure and red means dont aproch! Kwaio kwenye hizo kongamano muwekd dress code hizo. Pulizii msisahau kunialika mkongwe mie wa JF! Pulizi!
Hebu nipe pasiwedi yako....yaani kuna wengine wanakusumbua????
Leta niwawekee thredi....hakuna cha TF, BE wala Eng. hapa.
Jamani kina dada mbona hamtaji wanaowatongoza ili tufanye evaluation ya hii kitu.:horn:
1. Asprinπlane:
2. Kimey
3.Teamo
4. ST.RR kishakili mwenyewe
5.Acid
6. Bacha
7.Uporoto
8.PakaMweusi
9.Bujibuji:A S 39:
10.Mr Prezident
11.. Baba Enock :roll:
12. The Finest -mkwe
nakija :A S thumbs_down:
Wanatongozana nje ya kanisa FL1 na siyo kanisani! Sasa mtu umeshika misale ya waumini au tenzi za rohoni utatongoza vipi?
Kwa PM sijawahi! Hivi inawezekana ukamtogoza mtu ambaye hujawahi kumuona? Nauliza tu!!!
Au ndiyo unaanza kwa kujitambulisha:
"...Hi FL1, Mimi naitwa BE, nina urefu wa mita moja, nina nyumba kumi mikocheni, na magari mia moja, naishi Barbados.. Kila wikiendi huwa naenda mapumziko mafupi Newyork na Gulf Stream yangu.. hujambo? Naomba tukutane New Africa Hotel siku ya Ijumaa au Mikadi kule kigamboni, nimevutiwa sana na avatar yako mpaka nakosa usingizi usiku... Kodi hammer hapo CMC kwa ajili ya kutumia wikiendi, bill nita-settle, au ukipenda nitakutumia VISA card details kwa ajili ya shopping ndogo ndogo... Mwaaaaah See Ya - I love you honey..."[/I]
Halafu unabonyeza "Submit this message" button
Kha!
Sasa huko kwenye ladies rugby lazima utakuwa Newzealand, Australia au visiwa vile vinavokaribia kama Fiji,Tonga etc.Duuhhh
vizuri sana kusikia hivyo..
Mbona hukuvamia ile thread yangu kwenye michezo sasa lol
mie nacheza left wing (back) lakini saa nyingine half back (forward ) lol
samahani kiongozi wangu,
hapo kwenye red,
naona kama ndo unamaanisha vile,?kikazi zaidi au?
wala usijali swty wangu hawanisumbui kabisaaaaaaa,na wala huna sababu ya kuwaanzishia sread,sasa swty nisipotongozwa utajuaje umechagua kifaa?si unajua mti wenye matunda ndo unarushwa mawe?
samahani kiongozi wangu,
hapo kwenye red,
naona kama ndo unamaanisha vile,?kikazi zaidi au?
Hivyo vi-pm wanavyokutumia kama vya BE basi nifowadie....ili viniletee stimu....
Ndio maana mi nikasema hii habari ni ya upande mmoja, huenda kuna mengi yamejificha na bi shosti hajatushirikisha. Na wadada wengi wakitongozwa ndo wanajisikia raha, hasa wakimpa mtu za uso, patamu hapo:crying:
Kama hujawahi kuahidiwa gari zamu yako haijafika, ama umejifungia sana kiasi cha kuwa not richabo. Kwa jinsi navyokuona kupitia avatar yako lazima tu ungeshaahidiwa gari, kama sivyo basi una majibu makali kwa wababa!!ukipunguza ukali kidogo, ukavaa unyenyekevu na upole wa kitanzania haswaa kama dada zangu wabena utapata gari soon.:smile-big: