Hatutaki Tabia hizi za wanaJF mibaba!

Sasa huko kwenye ladies rugby lazima utakuwa Newzealand, Australia au visiwa vile vinavokaribia kama Fiji,Tonga etc.

Sinto kwambia nchi lakini umesha anza kunusa nusa lol..

ka ukipata muda nenda katoe maoni kwenye ile thread kwenye michezo
"Rugby world cup 2011) lol
 
Sasa huko kwenye ladies rugby lazima utakuwa Newzealand, Australia au visiwa vile vinavokaribia kama Fiji,Tonga etc.

duuuhh mkuu
achana na rugby ..
endelea na kutongoza lol
hahahah
ngoja ukose usini lalamikie hahahah lol
 
"The First Eleven"

[/QUOTE]
Originally Posted by FirstLady1


Jamani kina dada mbona hamtaji wanaowatongoza ili tufanye evaluation ya hii kitu.:horn:
1. Asprin😛lane:
2. Kimey
3.Teamo
4. ST.RR kishakili mwenyewe
5.Acid
6. Bacha
7.Uporoto
8.PakaMweusi
9.Bujibuji

10.Mr Prezident
11.. Baba Enock :roll:
12. The Finest -mkwe
nakija
[/QUOTE]


Ningeshangaa kama ningekuwemo
 

Kama kucheka umenichekesha walahi mwanaume anaeanza namna hiyo hafai katika jamii kwanza ana hali ya ushamba fulani..
HIVI UNADHANI WANASHINDWA KUANZA ?
MENGINEYO YANFATIA LAKINI UNAJUA BANA
 
duuuhh mkuu
achana na rugby ..
endelea na kutongoza lol
hahahah
ngoja ukose usini lalamikie hahahah lol
Sitongozi tena hapo kwako nimefika Cheusi kanitelekeza mwezi sina habari zake nawe naona TF hachezi mbali na P..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…