Hatutaki Tabia hizi za wanaJF mibaba!

wanajf tuna mawazo mazuri sana ya kukutana na kufahamiana, ila kinachosikitisha ni kwamba ndani ya mikutano hii majibaba mengine inatumia kutufataki! Inatongoza kila mdada!! Tuwafanyaje hawa? Tuanzishe wikleaks kwa ajili yao?

kwani wakiwatongoza tatizo nini,,si huyo anayetongozwa ndo atumie kichwa chake mwenyewe,,,,,kwani we unajua labda alifata kutongozwa je?
 
kwani wakiwatongoza tatizo nini,,si huyo anayetongozwa ndo atumie kichwa chake mwenyewe,,,,,kwani we unajua labda alifata kutongozwa je?

Haya sie tumeongea sana kazi kwako sasa
 

basi aandike kinyume chake kwa kuwa wabongo wanapenda vais vesa
 
WanaJF tuna mawazo mazuri sana ya kukutana na kufahamiana, ila kinachosikitisha ni kwamba ndani ya mikutano hii majibaba mengine inatumia kutufataki! Inatongoza kila mdada!! Tuwafanyaje hawa? tuanzishe wikleaks kwa ajili yao?

ww ach kutuchanganya, ww mwanamke usitomgozwe kilema au? i mean huna uchi au? au Dume jike, mbona sioni hoja hapa,
aaaahhaaaaa imekuelewa nahisi hamjakubaliana bei mmekutana bar ukachomoa then unaleta hapa, au ww si mrembo, their is something
kutongozwa jambo la kawaida sana.
 

Duuuuuuhhhhh
 
Nimepigwa matongozo hadi sina hamu.sasa nawaambia midume yote ya JF andaeni party nije, mtanikimbia kwa kuwa mimi sio sista duu na wala sio msichana wa kileo.Kwa mara ya kwanza kuja DSM nilikuja kuanza chuo., kwa hiyo lm still a bush gal
WanaJF tuna mawazo mazuri sana ya kukutana na kufahamiana, ila kinachosikitisha ni kwamba ndani ya mikutano hii majibaba mengine inatumia kutufataki! Inatongoza kila mdada!! Tuwafanyaje hawa? tuanzishe wikleaks kwa ajili yao?
 

Anatuchanganya kidogo???
 
WanaJF tuna mawazo mazuri sana ya kukutana na kufahamiana, ila kinachosikitisha ni kwamba ndani ya mikutano hii majibaba mengine inatumia kutufataki! Inatongoza kila mdada!! Tuwafanyaje hawa? tuanzishe wikleaks kwa ajili yao?

Ungewakubali Ungebandika tangazo la tongozo hapa??
 
hahaha nakuona hommie hapo juu....na "Come this way" theory
 

kumbe na vikao vinakuepo mbna cjawai pewa kadi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…