Hatutaki Tabia hizi za wanaJF mibaba!

Hatutaki Tabia hizi za wanaJF mibaba!

wanajf tuna mawazo mazuri sana ya kukutana na kufahamiana, ila kinachosikitisha ni kwamba ndani ya mikutano hii majibaba mengine inatumia kutufataki! Inatongoza kila mdada!! Tuwafanyaje hawa? Tuanzishe wikleaks kwa ajili yao?

kwani wakiwatongoza tatizo nini,,si huyo anayetongozwa ndo atumie kichwa chake mwenyewe,,,,,kwani we unajua labda alifata kutongozwa je?
 
<b><font size="3">Hahahahaaa!! hii nimeipenda.<br />
Tatizo letu wa bongo wengi hufanya kinyume. Mahali penye choo palipoandikwa na kuandaliwa kwa kujisaidia huwa tunapaacha tunaenda kujisaidia mahali pameandikwa &quot;USIKOJOE HAPA&quot; <br />
<br />
Au kwenye mapipa ya taka huwa hatutupi taka tunaenda mahali pameandikwa &quot;USITUPE TAKA HAPA&quot;<br />
<br />
So usishangae ujumbe huu ndo ukavutia zaidi mijibaba hiyo!</font></b>

basi aandike kinyume chake kwa kuwa wabongo wanapenda vais vesa
 
WanaJF tuna mawazo mazuri sana ya kukutana na kufahamiana, ila kinachosikitisha ni kwamba ndani ya mikutano hii majibaba mengine inatumia kutufataki! Inatongoza kila mdada!! Tuwafanyaje hawa? tuanzishe wikleaks kwa ajili yao?

ww ach kutuchanganya, ww mwanamke usitomgozwe kilema au? i mean huna uchi au? au Dume jike, mbona sioni hoja hapa,
aaaahhaaaaa imekuelewa nahisi hamjakubaliana bei mmekutana bar ukachomoa then unaleta hapa, au ww si mrembo, their is something
kutongozwa jambo la kawaida sana.
 
ww ach kutuchanganya, ww mwanamke usitomgozwe kilema au? i mean huna uchi au? au Dume jike, mbona sioni hoja hapa,
aaaahhaaaaa imekuelewa nahisi hamjakubaliana bei mmekutana bar ukachomoa then unaleta hapa, au ww si mrembo, their is something
kutongozwa jambo la kawaida sana.

Duuuuuuhhhhh
 
Nimepigwa matongozo hadi sina hamu.sasa nawaambia midume yote ya JF andaeni party nije, mtanikimbia kwa kuwa mimi sio sista duu na wala sio msichana wa kileo.Kwa mara ya kwanza kuja DSM nilikuja kuanza chuo., kwa hiyo lm still a bush gal
WanaJF tuna mawazo mazuri sana ya kukutana na kufahamiana, ila kinachosikitisha ni kwamba ndani ya mikutano hii majibaba mengine inatumia kutufataki! Inatongoza kila mdada!! Tuwafanyaje hawa? tuanzishe wikleaks kwa ajili yao?
 
ww ach kutuchanganya, ww mwanamke usitomgozwe kilema au? i mean huna uchi au? au Dume jike, mbona sioni hoja hapa,
aaaahhaaaaa imekuelewa nahisi hamjakubaliana bei mmekutana bar ukachomoa then unaleta hapa, au ww si mrembo, their is something
kutongozwa jambo la kawaida sana.

Anatuchanganya kidogo???
 
WanaJF tuna mawazo mazuri sana ya kukutana na kufahamiana, ila kinachosikitisha ni kwamba ndani ya mikutano hii majibaba mengine inatumia kutufataki! Inatongoza kila mdada!! Tuwafanyaje hawa? tuanzishe wikleaks kwa ajili yao?

Ungewakubali Ungebandika tangazo la tongozo hapa??
 
hahaha nakuona hommie hapo juu....na "Come this way" theory
 
Mimi ni Men na mimi hiyo nilisha note ikanikera sana kwani great thinker anatakiwa awe na staha na busara. Pia unakuta kwenye vikao vya JF watu wanabugia kilevi mpaka wanajikuta wanaongea na kuleta matani ya upuuzi. Mawazo tunayotoa na jinsi tunavyo behave haviendani kabisa. Sio wote bali ni baadhi. Hivi tatizo ni nini haswa Wana JF? Inabidi tudhamirie kuwa chumvi au chachu kwa maendeleo ya nchi yetu siyo tu kwa kuandika kwenye JF bali katika maneno na matendo otherwise tutakuwa tunaigiza tu na hatutakuwa na tofauti yoyote na watawala tunaowapa changamoto.

kumbe na vikao vinakuepo mbna cjawai pewa kadi?
 
Back
Top Bottom