Hatutaki Tabia hizi za wanaJF mibaba!

Hatutaki Tabia hizi za wanaJF mibaba!

Jamani kina dada mbona hamtaji wanaowatongoza ili tufanye evaluation ya hii kitu.:horn:
1. Asprin😛lane:
2. Kimey
3.Teamo
4. ST.RR kishakili mwenyewe
5.Acid
6. Bacha
7.Uporoto
8.PakaMweusi
9.Bujibuji:A S 39:
10.Mr Prezident
11.. Baba Enock :roll:
12. The Finest -mkwe
nakija :A S thumbs_down:




Si mchezo,hii listi inatisha, Naona hapo golini kasimama Babu(tayari kukagua kitakachojileta au kuletwa)Walinzi namba 2,3, na 4 ni wapwa sijui kama kuna kitakachomfikia babu mlangoni.Mkoba mzee mzima,hakipiti kitu,Kiungo mlinzi namba 6 wala sina haja ya kuweka sifa zake kwani anajulikana,kiungo mshambuliaji kasimama Paka Mweusi,Ila wamaliziaji namba 9,10 na 11 mh...!!!Huyo reserve namba 12 ni bora angesimama namba 9...hahahaah l.o.l
 
Hivi wababa wote wamesoma hii sredi? Kama bado najitolea kuwa pm moja moja ili wapate ujumbe.
 
WanaJF tuna mawazo mazuri sana ya kukutana na kufahamiana, ila kinachosikitisha ni kwamba ndani ya mikutano hii majibaba mengine inatumia kutufataki! Inatongoza kila mdada!! Tuwafanyaje hawa? tuanzishe wikleaks kwa ajili yao?

Popote pale ambapo kuna mkusanyiko wa Wanaume na Wanawake iwe mashuleni, vyuoni, makazini na hata katika zile nyumba zetu takatifu za ibada makanisa na misikiti n.k. kutongoza na kutongozwa ni kama kawa. Wajibu wako kila unapotongozwa na mtongozaji ni kukubaliana naye au kukataa utongozaji toka kwake.

Kwa ushauri tu itakuwa vizuri ukiweka signature yako na isomeke hivi, "Mibabu na Mibaba ya JF tafadhali msinitongoze."

Always remember that Mibabu na Mibaba ya JF need love too :behindsofa:

Have a great day

 
Popote pale ambapo kuna mkusanyiko wa Wanaume na Wanawake iwe mashuleni, vyuoni, makazini na hata katika zile nyumba zetu takatifu za ibada makanisa na misikiti n.k. kutongoza na kutongozwa ni kama kawa. Wajibu wako kila unapotongozwa na mtongozaji ni kukubaliana naye au kukataa utongozaji toka kwake.

Kwa ushauri tu itakuwa vizuri ukiweka signature yako na isomeke hivi, "Mibabu na Mibaba ya JF tafadhali msinitongoze."

Always remember that Mibabu na Mibaba ya JF need love too :behindsofa:

Have a great day



Hahahahaaa!! hii nimeipenda.
Tatizo letu wa bongo wengi hufanya kinyume. Mahali penye choo palipoandikwa na kuandaliwa kwa kujisaidia huwa tunapaacha tunaenda kujisaidia mahali pameandikwa "USIKOJOE HAPA"

Au kwenye mapipa ya taka huwa hatutupi taka tunaenda mahali pameandikwa "USITUPE TAKA HAPA"

So usishangae ujumbe huu ndo ukavutia zaidi mijibaba hiyo!
 
Jamani kina dada mbona hamtaji wanaowatongoza ili tufanye evaluation ya hii kitu.:horn:
1. Asprin😛lane:
2. Kimey
3.Teamo
4. ST.RR kishakili mwenyewe
5.Acid
6. Bacha
7.Uporoto
8.PakaMweusi
9.Bujibuji
A%20S%2039.gif

10.Mr Prezident
11.. Baba Enock :roll:
12. The Finest -mkwe

Dah!!!! Hii First Eleven dah!!!!!!
 
Hivi wababa wote wamesoma hii sredi? Kama bado najitolea kuwa pm moja moja ili wapate ujumbe.

Humu ndani kuna WABABU, WABABA, WAKAKA, na WATOTO. Sasa utawatambuaje WABABA?
 
Jamani kina dada mbona hamtaji wanaowatongoza ili tufanye evaluation ya hii kitu.:horn:
1. Asprin😛lane:
2. Kimey
3.Teamo
4. ST.RR kishakili mwenyewe
5.Acid
6. Bacha
7.Uporoto
8.PakaMweusi
9.Bujibuji:A S 39:
10.Mr Prezident
11.. Baba Enock :roll:
12. The Finest -mkwe
nakija :A S thumbs_down:
suijaelewa hii post,ni kwamba waliotajwa ndio suspects au nini?

Kweli JF can be interesting and sometimes we get carried away with issues till we go below the belt!! Haya bana, REFLECTION IS HIGHLY RECOMMENDED

aND TO THE TRUSTME... JUST JOINING IN JANUARY TAYARI UMESHAKUTANA NA WABABA WA JF NA KUKUTONGOZA? KWELI "SISIMIZI KAMEZA DAFU"
 
Popote pale ambapo kuna mkusanyiko wa Wanaume na Wanawake iwe mashuleni, vyuoni, makazini na hata katika zile nyumba zetu takatifu za ibada makanisa na misikiti n.k. kutongoza na kutongozwa ni kama kawa. Wajibu wako kila unapotongozwa na mtongozaji ni kukubaliana naye au kukataa utongozaji toka kwake.

Kwa ushauri tu itakuwa vizuri ukiweka signature yako na isomeke hivi, "Mibabu na Mibaba ya JF tafadhali msinitongoze."

Always remember that Mibabu na Mibaba ya JF need love too :behindsofa:

Have a great day

bak... cheaters need love too... hahahaaaaaaaaaaaaaa

But if one attends a meeting ya wanaJF na anaishia kutongozwa hovyo, then JF members tuna matatizo makubwa
 
Hivi wababa wote wamesoma hii sredi? Kama bado najitolea kuwa pm moja moja ili wapate ujumbe.

Tumesoms na kuelewa sasa Hus nitakuwa Dom wiki ijayo unaonaje tukipata snack pamoja jioni? wala sio usiku sijui bar wala club.
 
Hahahahaaa!! hii nimeipenda.
Tatizo letu wa bongo wengi hufanya kinyume. Mahali penye choo palipoandikwa na kuandaliwa kwa kujisaidia huwa tunapaacha tunaenda kujisaidia mahali pameandikwa "USIKOJOE HAPA"

Au kwenye mapipa ya taka huwa hatutupi taka tunaenda mahali pameandikwa "USITUPE TAKA HAPA"

So usishangae ujumbe huu ndo ukavutia zaidi mijibaba hiyo!

Nashukuru umeipenda ningekugongea THANKS kama 50 ningekuwa na uwezo huo. Kutongoza na kutongozwa si dhambi popote pale hata JF. Hapa kuna wanawake wa kukata na shoka shule zimepanda sana, wakishusha vitu vyao hapa jamvini iwe kwenye jukwaa hili, lile la siasa n.k. unaweza kusimama dede kwa mtiririko mzuri uliopangwa na ukapangika. Sasa kama njemba imeoza na huyo binti kwanini isichangamke!? Si dhambi kuchangamka ila binti ana haki ya kujibu, "Miye nina wangu" au vyoyote vile ili mradi tu kumpiga chini mtongozaji ambaye bila shaka atasepa kivyake vyake. Msije kushangaa kusikia maharusi fulani na fulani walikutana kule JF na wakapendana kupita kiasi na hatimaye kuamua kufunga pingu za maisha 😛oa
 
Nashukuru umeipenda ningekugongea THANKS kama 50 ningekuwa na uwezo huo. Kutongoza na kutongozwa si dhambi popote pale hata JF. Hapa kuna wanawake wa kukata na shoka shule zimepanda sana, wakishusha vitu vyao hapa jamvini iwe kwenye jukwaa hili, lile la siasa n.k. unaweza kusimama dede kwa mtiririko mzuri uliopangwa na ukapangika. Sasa kama njemba imeoza na huyo binti kwanini isichangamke!? Si dhambi kuchangamka ila binti ana haki ya kujibu, "Miye nina wangu" au vyoyote vile ili mradi tu kumpiga chini mtongozaji ambaye bila shaka atasepa kivyake vyake. Msije kushangaa kusikia maharusi fulani na fulani walikutana kule JF na wakapendana kupita kiasi na hatimaye kuamua kufunga pingu za maisha 😛oa
Unaonaje ukitumia rangi ingine kuna wakina sisi ambao macho si mazuri.
 
Hahaha! i like your thinking lol! Naona thanks zimeongezeka 2 nami usinisahau lol!

hebu nielekeze vizuri jinsi ya kushukuru.
Unajua nilifanya kubahatisha tu. Sikujua kama zimeongezeka. Sijui nikasome course ya computer!! Lol!
 
hebu nielekeze vizuri jinsi ya kushukuru.
Unajua nilifanya kubahatisha tu. Sikujua kama zimeongezeka. Sijui nikasome course ya computer!! Lol!
Acha hizo my spanish lady kutoa ni moyo tu mi kila anejibu post yangu namshukuru nimekupa kama 15 hivi.
 
Acha hizo my spanish lady kutoa ni moyo tu mi kila anejibu post yangu namshukuru nimekupa kama 15 hivi.

sio hivyo jamani. Juzi nimehangaika kweli. Sahvi sikumbuki niliwezaje.
Nitamuuliza invisible kama hutaki kunielekeza.
 
Back
Top Bottom