Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
ngoja tuulize😂😂😂 dah aliizindua nje tu au alipewa na chumba akazindue kikamilifu?
Wengine wakiwa wapo busy kwa maendeleo ufipa wapo kwa kutafuta vijimatukio visvyo na masikio wala njewe!Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Tunduru , Julius Mtatiro amehamishiwa Shinyanga baada ya kipindi kirefu kuhudumu Tunduru .
Tunamshukuru kwa Utumishi wake uliotukuka uliosaidia kupunguza watoto kuingizwa kwenye Jando na unyago .
Ila tunamuomba asirudie kuzindua Vitu kama hivi
View attachment 2929403
Umenikumbusha mbali nilivyokuwa nabeba zege kabla sijaenda ulaya. Tukishachimba chamber septic na choo kukamilika kujenga mimi ndo fundi maiko alikuwa ananipa jukumu la kuzindua.😂😂😂 dah aliizindua nje tu au alipewa na chumba akazindue kikamilifu?
Half ni ADVOCATE
Haya bhana 😄Umenikumbusha mbali nilivyokuwa nabeba zege kabla sijaenda ulaya. Tukishachimba chamber septic na choo kukamilika kujenga mimi ndo fundi maiko alikuwa ananipa jukumu la kuzindua.
Yani ni mwendo wa mbrrr mbrrr mbrr halafu mzigo hukuwa wa kitoto yani nikshindo maamae devastating impact.
Mbrrr mbrrrr mbrrr
adriz Mufti kuku The Infinity Chaliifrancisco (mbusii)
Ni tahafhari tu mkuuWengine wakiwa wapo busy kwa maendeleo ufipa wapo kwa kutafuta vijimatukio visvyo na masikio wala njewe!
Sasa hebu angalia alichozindua , hakishawishi hata kupandishwa cheoWenzake Queen Sendiga na hayati Mgwira moja kwa moja u RC huyu ex mwenyekiti wa CUF uDC miaka dahari.
Nami nimekupa tahadhari ukipiga ngoma uangalie na jua!Ni tahafhari tu mkuu
Tunduru nako hawajambo huenda walimpiga upofu hakujijuaIla tunamuomba asirudie kuzindua Vitu kama hivi
Tahadhari haiwekwi juu ya TahadhariN
Nami nimekupa tahadhari ukipiga ngoma uangalie na jua!
Hayupo vizuri kwenye mfumoWenzake Queen Sendiga na hayati Mgwira moja kwa moja u RC huyu ex mwenyekiti wa CUF uDC miaka dahari.
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Tunduru , Julius Mtatiro amehamishiwa Shinyanga baada ya kipindi kirefu kuhudumu Tunduru .
Tunamshukuru kwa Utumishi wake uliotukuka uliosaidia kupunguza watoto kuingizwa kwenye Jando na unyago .
Ila tunamuomba asirudie kuzindua Vitu kama hivi
Kumbe chadema hakuna hoja ni upuuz upuuz tupu. Kwan ukiwa, mkuu wa wilaya hauruhusiwi kuzindua chochote cha maendeleo ya jamii? Mfano baa,hotel, nyumba za wageni. Nilikuwepo Tunduru kipindi fulani, Mtatiro Alizindua michango ya ujenz wa makinisa, misikiti, ni sehemu ya maendeleo. Hiz hoja za cdm sasa ni za kitoto na kipumbabu.Na nafikir zinaanzishwa na vijana wenu wa mitandaoni waliokosa muelekeo. Sasa hizo ni hoja za kitoto. Kweli CDM imepotea na mtaandama sana.