DED hawezi kwan anatumia taaluma kwenye utatuzi wa matatizo jambo linalochelewesha maamuzi kwenye jamii....mfano atataka mlolongo wa mahakamani kwenye mambo ya buu baa hivyo kufanya jamii iwe na vuguvugu jingi kwenye mambo yasiyohitaji jotoKwani DED hawezi kutatua Mkuu?