Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Hahahah.. Fundi maikoAliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Tunduru , Julius Mtatiro amehamishiwa Shinyanga baada ya kipindi kirefu kuhudumu Tunduru .
Tunamshukuru kwa Utumishi wake uliotukuka uliosaidia kupunguza watoto kuingizwa kwenye Jando na unyago .
Ila tunamuomba asirudie kuzindua Vitu kama hivi
View attachment 2929403