Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #41
Porojo tupu !Huyu ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na usalama wa Wilaya
Wewe unadhan usiku kucha unakoroma bila ya kuhatarishiwa usalama kwa kuwa tu Mlango wako ni wa Grill? hujui kuwa Wewe unafanikiwa kukoroma usiku kucha kwa kuwa Kamati ya Ulinzi na usalama ya eneo lako ipo macho ili wewe ulale
Kwani shida iko wapi! Hiyo ndiyo halihalisi ilipotufikisha CCM na hiyo gest ni mali ya CCM kwenye jengo lao.Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Tunduru , Julius Mtatiro amehamishiwa Shinyanga baada ya kipindi kirefu kuhudumu Tunduru .
Tunamshukuru kwa Utumishi wake uliotukuka uliosaidia kupunguza watoto kuingizwa kwenye Jando na unyago .
Ila tunamuomba asirudie kuzindua Vitu kama hivi
View attachment 2929403
Nimefanya kazi Halmashauri na pia nimeratibu kazi kadha wa kadha kutokea ofisi ya Mkuu wa WilayaIla kwakweli hizi nafasi za uDC zingefutwaga tu.
Maana maDC hawana kazi zaidi ya kusolve migogoro ambayo inaweza kutatuliwa na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri zetu tu.
Ni kupoteza gharama na kuitwisha mzigo Serikali wa kuwahudimia tu
Endelea kuwa mjinga Kwa sababu umeamua Kuwa hivyo Kwa ridhaa Yako.Chai
Kuwatwisha mzigo wananchi walipa kodi !! 🙏Ila kwakweli hizi nafasi za uDC zingefutwaga tu.
Maana maDC hawana kazi zaidi ya kusolve migogoro ambayo inaweza kutatuliwa na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri zetu tu.
Ni kupoteza gharama na kuitwisha mzigo Serikali wa kuwahudimia tu
Nakazia!Ila kwakweli hizi nafasi za uDC zingefutwaga tu.
Maana maDC hawana kazi zaidi ya kusolve migogoro ambayo inaweza kutatuliwa na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri zetu tu.
Ni kupoteza gharama na kuitwisha mzigo Serikali wa kuwahudimia tu
Achilia mbali hilo bali kiangalie pia kinachozinduliwaMchoraji wa bango atakua fundi Maiko
Alizindua mpaka vyumba hapo ndio siri ilipotoka
Tatizo lipo wapi? Ujinga ni pale mnapozidharau guest house kwa kuwa akili zenu zimejawa na uzinzi!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Vyema kama nawe umeliona hili mapemaNakazia!
Kwani DED hawezi kutatua Mkuu?Nimefanya kazi Halmashauri na pia nimeratibu kazi kadha wa kadha kutokea ofisi ya Mkuu wa Wilaya
Kwa mfumo wa nchi yetu, na ucheleweshwaji wa mambo hasa utaratibu wa mashauri mahakamani, na matukio yasiyo na kichwa wala miguu yatokeayo kwa wanainchi ni WAZI OFISI YA MKUU WA WILAYA BADO INA UMUHIMU MKUBWA
MKUU WA WILAYA ANATATUA MATATIZO KIUTAWALA ZAIDI....Mfano anawaweka ndani watoa huduma au suppliers waliochukua pesa za MASHULE AU MRADI mpaka watakapofikisha vifaa site au kurejesha pesa kwa hiyo ndani ya siku tatu Ujenzi utaendelea....ILA MKURUGENZI ATATAKA WAPELEKWE MAHAKAMANI mahakama itoe uamuzi HAPO TAYARI UCHELEWESHWAJI WA MRADI.
Kwa mfumo wa hii nchi MKUU wa WILAYA ni muhimu sana labda tufanye utatuaji mkubwa wa mifumo kwa ujumla wake
Kabisa MkuuKuwatwisha mzigo wananchi walipa kodi !! 🙏
Ni Wakili kweli. Jamaa kasoma sanaHalf ni ADVOCATE Au hio Title sijaielewa?😀
Kwani hao maDSO si ndiyo wanafanya hizo kazi? Hata DED angeweza kuongezewa hilo JukumuHuyu ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na usalama wa Wilaya
Wewe unadhan usiku kucha unakoroma bila ya kuhatarishiwa usalama kwa kuwa tu Mlango wako ni wa Grill? hujui kuwa Wewe unafanikiwa kukoroma usiku kucha kwa kuwa Kamati ya Ulinzi na usalama ya eneo lako ipo macho ili wewe ulale
DED anatanya kazi kitaalamu kwa kufuata miongozo wakati DC anatoa amri za papo kwa papo.Kwani DED hawezi kutatua Mkuu?
Nafahamu ila natafuta sababu za kubana Matumizi ya Serikali Kwa kuondoa baadhi ya Utitiri wa Viongozi kama haoDED anatanya kazi kitaalamu kwa kufuata miongozo wakati DC anatoa amri za papo kwa papo.