Kama kweli mko serious mbona hamuwachukulii hatua za kisheria?kupitia falsafa ya 4Rs,
Rais wa Tanzania Dr.Samia Suluhu Hassan ana lenga na anakusudia kuiponya Tanzania kwa majeraha mbalimbali ya kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa, na kujenga hali na mazingira ya kuaminiana na kurejesha imana za wanachi zilizotoweka katika kuamini taasisi za umma..
na kwahivyo,
jitihada za makusudi, dhamira ya dhati na nia yake njema ni kutibu kabisa majeraha yote ya kisiasa, kuliunganisha taifa na waTanzania wote, na zaidi sana kufungua nchi miongni mwa mataifa ya ulimwengu...
katika kipindi kifupi sana cha uongozi wake wa awamu ya sita na kwakupitia serikali sikivu ya CCM, mtukufu Rais, Dr.Samia Suluhu Hassan amefanikiwa kwa kiasi kikubwa mno kuwaleta waTanzania wote pamoja mathalani katika suala la maridhiano limechochea kwa kiasi kikubwa kidemokrasia nchini kuimarika sana, mikutano ya hadhara rukhsa, maandamano rukhsa, ukosowaji kwa serikali rukhsa, uhuru wa maoni, habari, haki na usawa wa habari na kuabudu, chaguzi huru, sawa na haki n.k
Lakini pia, uwazi na uwajibikaji serikalini ni mkubwa sana, kwamfano sheria za uchaguzi na Tume Huru ya Uchaguzi vimefanyiwa marekebisho mukubwa sana muhimu kwa uwazi sana na kufanya mazingira bora zaidi na ya kuaminika kwa wananchi, kwamba chaguzi zetu hasa zinazokuja,
zinafanyika katika mazingira ya uwazi, usawa na uhuru ili kuondoa manung"uniko na sintifahamu na hujuma za wasiolitakia mema Taifa letu...
sasa katika hali hiyo,
anatokea kiongozi muandamizi tena mteule wa Rais eti ng"we ng"we ng"we kuhusu uchaguzi?
wateule wa aina hii ni sharti wabanduliwe kwenye nafasi zao maramoja bila maelezo wala ufafanuzi wa kina....
huko ni kumuhujumu Mwenyekiti wa CCM taifa na kuhujumu kwa makusudi dhamira njema na jitihada kubwa sana za Rais Dr Samia Suluhu Hassan kuliunganisha Taifa na kufungua nchi na zaidi sana kuimarisha umoja, amani, utulivu na mshikamano wa waTanzania wote...
natoa Rai kwa watumishi wa umma k nchini , kutunza ndimi zao na kuheshimu mamlaka hasa za uteuzi..π
Mungu Ibariki Tanzania
kupitia falsafa ya 4Rs,
Rais wa Tanzania Dr.Samia Suluhu Hassan ana lenga na anakusudia kuiponya Tanzania kwa majeraha mbalimbali ya kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa, na kujenga hali na mazingira ya kuaminiana na kurejesha imana za wanachi zilizotoweka katika kuamini taasisi za umma..
na kwahivyo,
jitihada za makusudi, dhamira ya dhati na nia yake njema ni kutibu kabisa majeraha yote ya kisiasa, kuliunganisha taifa na waTanzania wote, na zaidi sana kufungua nchi miongni mwa mataifa ya ulimwengu...
katika kipindi kifupi sana cha uongozi wake wa awamu ya sita na kwakupitia serikali sikivu ya CCM, mtukufu Rais, Dr.Samia Suluhu Hassan amefanikiwa kwa kiasi kikubwa mno kuwaleta waTanzania wote pamoja mathalani katika suala la maridhiano limechochea kwa kiasi kikubwa kidemokrasia nchini kuimarika sana, mikutano ya hadhara rukhsa, maandamano rukhsa, ukosowaji kwa serikali rukhsa, uhuru wa maoni, habari, haki na usawa wa habari na kuabudu, chaguzi huru, sawa na haki n.k
Lakini pia, uwazi na uwajibikaji serikalini ni mkubwa sana, kwamfano sheria za uchaguzi na Tume Huru ya Uchaguzi vimefanyiwa marekebisho mukubwa sana muhimu kwa uwazi sana na kufanya mazingira bora zaidi na ya kuaminika kwa wananchi, kwamba chaguzi zetu hasa zinazokuja,
zinafanyika katika mazingira ya uwazi, usawa na uhuru ili kuondoa manung"uniko na sintifahamu na hujuma za wasiolitakia mema Taifa letu...
sasa katika hali hiyo,
anatokea kiongozi muandamizi tena mteule wa Rais eti ng"we ng"we ng"we kuhusu uchaguzi?
wateule wa aina hii ni sharti wabanduliwe kwenye nafasi zao maramoja bila maelezo wala ufafanuzi wa kina....
huko ni kumuhujumu Mwenyekiti wa CCM taifa na kuhujumu kwa makusudi dhamira njema na jitihada kubwa sana za Rais Dr Samia Suluhu Hassan kuliunganisha Taifa na kufungua nchi na zaidi sana kuimarisha umoja, amani, utulivu na mshikamano wa waTanzania wote...
natoa Rai kwa watumishi wa umma k nchini , kutunza ndimi zao na kuheshimu mamlaka hasa za uteuzi..π
Mungu Ibariki Tanzania
Umasikini unasababishwa na akili za mtu mmoja mmoja, (mind set), na hao masikini kwasasa walio wengi wako mjini binadamu ana akili sana binadamu huyo huyo ni mvivu wa kufikiri lakini akipata tatizo huamsha ubongo na kutatua matatizo wakati anafanya hivyo huya ng'amua mambo mengi, uwezo wa kutafsiri kumbukumbu alizo zihifadhi binadamu ndiyo akili zenyewe hitimisho matatizo yaliyopo kwenye jamii zetu ni uzembe wa jamii husika kuto buni mbinu zitakazo tatua matatizo yao wenyewe hata wakijua kwamba waliopewa dhamana huahirisha kufikiri kwa nafsi, (unyumbu), unyumba ni tabia ya waliopewa dhamana kuahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza ama kulitumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga kwa viongozi waoufafanuzi wetu mfupi sana na mujarabu mno tunaoutoa sasa ni uelekeo na dhamira ya dhati ya serikali ya awamu ya sita na nia Njema sana ya Dr Samia Suluhu Hassan ya kuliponya Taifa, kuliunganisha taifa na kufungua nchi miongni mwa mataifa ya ulimwenguπ
mengine ni yale tu ambayo wachache wenu yamewajaa moyoni, na hii pia ni fursa kwenu kuyatoa ili mpate relief kidogo, ama niaje?π
kwakweli hiyo nia ipo,Kama kweli mko serious mbona hamuwachukulii hatua za kisheria?
actually,Umasikini unasababishwa na akili za mtu mmoja mmoja, (mind set), na hao masikini kwasasa walio wengi wako mjini binadamu ana akili sana binadamu huyo huyo ni mvivu wa kufikiri lakini akipata tatizo huamsha ubongo na kutatua matatizo wakati anafanya hivyo huya ng'amua mambo mengi, uwezo wa kutafsiri kumbukumbu alizo zihifadhi binadamu ndiyo akili zenyewe hitimisho matatizo yaliyopo kwenye jamii zetu ni uzembe wa jamii husika kuto buni mbinu zitakazo tatua matatizo yao wenyewe hata wakijua kwamba waliopewa dhamana huahirisha kufikiri kwa nafsi, (unyumbu), unyumba ni tabia ya waliopewa dhamana kuahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza ama kulitumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga kwa viongozi wao
hayo ni masuala ya kiuchunguzi,Watu wanatekwa Soka na wenzake hawajulikani walipo.
arusha kuna kikosi cha ccm kinaitwa chinja chinja na kiongozi wake anafahamika
Kagera uvccm wanawatowesha wakosoaji na hakuna hatua wanachukuliwa
Serikali ya ccm inachezea moto na kuna siku utaiunguza vibaya muda ni msema ukweli mzuri.
Uoga ni tofauti na utii, ,respect vs fear π¨actually,
umeeleza hulka ya binadamu vizuri sana na kwa kina, hiyo ndiyo asili yake na inabadlika kulingana na mazingira lakini pia nyakati...
lakini katika suala la uongozi, tena wa kisiasa ni tofauti kidogo. msingi wake ni utii na heshima kwa mamlaka. kinyume na hapo ni muhujumu na utawajibishwa tu...
suala la uoga na utii,
hutofatiana kulingana na malezi ya mtu na mtu, na saa zingine utii ni bora kuliko sadaka na majitoleo yako yote kimwili na kiroho...
hujawahi ona binti mrembo na haoelewi na akiolewa baada ya wiki mbili ameachwa...
ni kwasabb hana uti japo ni mrembo kweli..
Utii ni Muhimu mno katika kufanya kazi pamoja na kua na uelekeo moja, tofauti na hapo haiwezekani kua pamoja π
Mr Tlaatlaah je kuna uhusiano wa Siku ya Mashindano ya kuhifadhi Kurani na kile alichokisema DC?Kupitia falsafa ya 4Rs,
Rais wa Tanzania Dr.Samia Suluhu Hassan ana lenga na anakusudia kuiponya Tanzania kwa majeraha mbalimbali ya kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa, na kujenga hali na mazingira ya kuaminiana na kurejesha imana za wanachi zilizotoweka katika kuamini taasisi za Umma.
Na kwahivyo,jitihada za makusudi, dhamira ya dhati na nia yake njema ni kutibu kabisa majeraha yote ya kisiasa, kuliunganisha taifa na waTanzania wote, na zaidi sana kufungua nchi miongni mwa mataifa ya ulimwengu.
Katika kipindi kifupi sana cha uongozi wake wa awamu ya sita na kwakupitia serikali sikivu ya CCM, Rais, Samia Suluhu Hassan amefanikiwa kwa kiasi kikubwa mno kuwaleta waTanzania wote pamoja mathalani katika suala la maridhiano limechochea kwa kiasi kikubwa kidemokrasia nchini kuimarika sana, mikutano ya hadhara rukhsa, maandamano rukhsa, ukosowaji kwa Serikali rukhsa, uhuru wa maoni, habari, haki na usawa wa habari na kuabudu, chaguzi huru, sawa na haki n.k
Lakini pia, uwazi na uwajibikaji serikalini ni mkubwa sana, kwamfano sheria za uchaguzi na Tume Huru ya Uchaguzi vimefanyiwa marekebisho mukubwa sana muhimu kwa uwazi sana na kufanya mazingira bora zaidi na ya kuaminika kwa wananchi, kwamba chaguzi zetu hasa zinazokuja.
zinafanyika katika mazingira ya uwazi, usawa na uhuru ili kuondoa manung"uniko na sintifahamu na hujuma za wasiolitakia mema Taifa letu.
sasa katika hali hiyo, anatokea kiongozi muandamizi tena mteule wa Rais eti ng"we ng"we ng"we kuhusu uchaguzi? wateule wa aina hii ni sharti wabanduliwe kwenye nafasi zao maramoja bila maelezo wala ufafanuzi wa kina.
Soma Pia: Kama taifa, zawadi pekee ya kumpa Rais Samia kwa kazi nzuri ya maendeleo ni ushindi wa kishindo uchaguzi mkuu 2025 ikiwa atagombea
Huko ni kumuhujumu Mwenyekiti wa CCM taifa na kuhujumu kwa makusudi dhamira njema na jitihada kubwa sana za Rais Samia Suluhu Hassan kuliunganisha Taifa na kufungua nchi na zaidi sana kuimarisha umoja, amani, utulivu na mshikamano wa waTanzania wote.
Natoa rai kwa watumishi wa Umma kote nchini , kutunza ndimi zao na kuheshimu mamlaka hasa za uteuzi..π
Mungu Ibariki Tanzania
Wezi wa kura kupita bila kupingwa mepatikana uzuri kila kitu kinajulikana,aibuuuuuKupitia falsafa ya 4Rs,
Rais wa Tanzania Dr.Samia Suluhu Hassan ana lenga na anakusudia kuiponya Tanzania kwa majeraha mbalimbali ya kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa, na kujenga hali na mazingira ya kuaminiana na kurejesha imana za wanachi zilizotoweka katika kuamini taasisi za Umma.
Na kwahivyo,jitihada za makusudi, dhamira ya dhati na nia yake njema ni kutibu kabisa majeraha yote ya kisiasa, kuliunganisha taifa na waTanzania wote, na zaidi sana kufungua nchi miongni mwa mataifa ya ulimwengu.
Katika kipindi kifupi sana cha uongozi wake wa awamu ya sita na kwakupitia serikali sikivu ya CCM, Rais, Samia Suluhu Hassan amefanikiwa kwa kiasi kikubwa mno kuwaleta waTanzania wote pamoja mathalani katika suala la maridhiano limechochea kwa kiasi kikubwa kidemokrasia nchini kuimarika sana, mikutano ya hadhara rukhsa, maandamano rukhsa, ukosowaji kwa Serikali rukhsa, uhuru wa maoni, habari, haki na usawa wa habari na kuabudu, chaguzi huru, sawa na haki n.k
Lakini pia, uwazi na uwajibikaji serikalini ni mkubwa sana, kwamfano sheria za uchaguzi na Tume Huru ya Uchaguzi vimefanyiwa marekebisho mukubwa sana muhimu kwa uwazi sana na kufanya mazingira bora zaidi na ya kuaminika kwa wananchi, kwamba chaguzi zetu hasa zinazokuja.
zinafanyika katika mazingira ya uwazi, usawa na uhuru ili kuondoa manung"uniko na sintifahamu na hujuma za wasiolitakia mema Taifa letu.
sasa katika hali hiyo, anatokea kiongozi muandamizi tena mteule wa Rais eti ng"we ng"we ng"we kuhusu uchaguzi? wateule wa aina hii ni sharti wabanduliwe kwenye nafasi zao maramoja bila maelezo wala ufafanuzi wa kina.
Soma Pia: Kama taifa, zawadi pekee ya kumpa Rais Samia kwa kazi nzuri ya maendeleo ni ushindi wa kishindo uchaguzi mkuu 2025 ikiwa atagombea
Huko ni kumuhujumu Mwenyekiti wa CCM taifa na kuhujumu kwa makusudi dhamira njema na jitihada kubwa sana za Rais Samia Suluhu Hassan kuliunganisha Taifa na kufungua nchi na zaidi sana kuimarisha umoja, amani, utulivu na mshikamano wa waTanzania wote.
Natoa rai kwa watumishi wa Umma kote nchini , kutunza ndimi zao na kuheshimu mamlaka hasa za uteuzi..π
Mungu Ibariki Tanzania
Awamu hii Sio Chadema wala ACT waliowaumbua.Wezi wa kura kupita bila kupingwa mepatikana uzuri kila kitu kinajulikana,aibuuuuu
kama amesema Ukweli kuhusu awamu nyingine mathalani zilizopita hiyo ni juu yake. chichiem ni ileile chama la wezi na mafisadikama amesema Ukweli kuhusu awamu nyingine mathalani zilizopita hiyo ni juu yake,
lakini yeye kama muandamizi serikalini wa eneo husika hakutumwa hayo na dhamira ya dhati ya Dr Samia Suluhu Hassan siyo hiyo alikua akiizungumza yeye na hivyo kwa kifupi ni hujuma kwa Rais, katika jitihada za kuiponya nchi, kuliunganisha taifa na kufungua nchi miongni mwa mataifa ya ulimwengu π
na sasa amepewa ruhusa, wakati na muda mzuri zaidi akaseme huo Ukweli mnao sema anasema,
kwan kuna ubaya wowote ndrugu zango π
Hahahaha. ....kama amesema Ukweli kuhusu awamu nyingine mathalani zilizopita hiyo ni juu yake. chichiem ni ileile chama la wezi na mafisadi
nimeeleza bayana kwamba hutegemea malezi, mazingira na forces za maisha....Uoga ni tofauti na utii
Wasome na waeleweKupitia falsafa ya 4Rs,
Rais wa Tanzania Dr.Samia Suluhu Hassan ana lenga na anakusudia kuiponya Tanzania kwa majeraha mbalimbali ya kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa, na kujenga hali na mazingira ya kuaminiana na kurejesha imana za wanachi zilizotoweka katika kuamini taasisi za Umma.
Na kwahivyo,jitihada za makusudi, dhamira ya dhati na nia yake njema ni kutibu kabisa majeraha yote ya kisiasa, kuliunganisha taifa na waTanzania wote, na zaidi sana kufungua nchi miongni mwa mataifa ya ulimwengu.
Katika kipindi kifupi sana cha uongozi wake wa awamu ya sita na kwakupitia serikali sikivu ya CCM, Rais, Samia Suluhu Hassan amefanikiwa kwa kiasi kikubwa mno kuwaleta waTanzania wote pamoja mathalani katika suala la maridhiano limechochea kwa kiasi kikubwa kidemokrasia nchini kuimarika sana, mikutano ya hadhara rukhsa, maandamano rukhsa, ukosowaji kwa Serikali rukhsa, uhuru wa maoni, habari, haki na usawa wa habari na kuabudu, chaguzi huru, sawa na haki n.k
Lakini pia, uwazi na uwajibikaji serikalini ni mkubwa sana, kwamfano sheria za uchaguzi na Tume Huru ya Uchaguzi vimefanyiwa marekebisho mukubwa sana muhimu kwa uwazi sana na kufanya mazingira bora zaidi na ya kuaminika kwa wananchi, kwamba chaguzi zetu hasa zinazokuja.
zinafanyika katika mazingira ya uwazi, usawa na uhuru ili kuondoa manung"uniko na sintifahamu na hujuma za wasiolitakia mema Taifa letu.
sasa katika hali hiyo, anatokea kiongozi muandamizi tena mteule wa Rais eti ng"we ng"we ng"we kuhusu uchaguzi? wateule wa aina hii ni sharti wabanduliwe kwenye nafasi zao maramoja bila maelezo wala ufafanuzi wa kina.
Soma Pia: Kama taifa, zawadi pekee ya kumpa Rais Samia kwa kazi nzuri ya maendeleo ni ushindi wa kishindo uchaguzi mkuu 2025 ikiwa atagombea
Huko ni kumuhujumu Mwenyekiti wa CCM taifa na kuhujumu kwa makusudi dhamira njema na jitihada kubwa sana za Rais Samia Suluhu Hassan kuliunganisha Taifa na kufungua nchi na zaidi sana kuimarisha umoja, amani, utulivu na mshikamano wa waTanzania wote.
Natoa rai kwa watumishi wa Umma kote nchini , kutunza ndimi zao na kuheshimu mamlaka hasa za uteuzi..π
Mungu Ibariki Tanzania
Vipi kuhusu wanaoteka na kuua raia huku wakipewa kinga na Mahakama?Kupitia falsafa ya 4Rs,
Rais wa Tanzania Dr.Samia Suluhu Hassan ana lenga na anakusudia kuiponya Tanzania kwa majeraha mbalimbali ya kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa, na kujenga hali na mazingira ya kuaminiana na kurejesha imana za wanachi zilizotoweka katika kuamini taasisi za Umma.
Na kwahivyo,jitihada za makusudi, dhamira ya dhati na nia yake njema ni kutibu kabisa majeraha yote ya kisiasa, kuliunganisha taifa na waTanzania wote, na zaidi sana kufungua nchi miongni mwa mataifa ya ulimwengu.
Katika kipindi kifupi sana cha uongozi wake wa awamu ya sita na kwakupitia serikali sikivu ya CCM, Rais, Samia Suluhu Hassan amefanikiwa kwa kiasi kikubwa mno kuwaleta waTanzania wote pamoja mathalani katika suala la maridhiano limechochea kwa kiasi kikubwa kidemokrasia nchini kuimarika sana, mikutano ya hadhara rukhsa, maandamano rukhsa, ukosowaji kwa Serikali rukhsa, uhuru wa maoni, habari, haki na usawa wa habari na kuabudu, chaguzi huru, sawa na haki n.k
Lakini pia, uwazi na uwajibikaji serikalini ni mkubwa sana, kwamfano sheria za uchaguzi na Tume Huru ya Uchaguzi vimefanyiwa marekebisho mukubwa sana muhimu kwa uwazi sana na kufanya mazingira bora zaidi na ya kuaminika kwa wananchi, kwamba chaguzi zetu hasa zinazokuja.
zinafanyika katika mazingira ya uwazi, usawa na uhuru ili kuondoa manung"uniko na sintifahamu na hujuma za wasiolitakia mema Taifa letu.
sasa katika hali hiyo, anatokea kiongozi muandamizi tena mteule wa Rais eti ng"we ng"we ng"we kuhusu uchaguzi? wateule wa aina hii ni sharti wabanduliwe kwenye nafasi zao maramoja bila maelezo wala ufafanuzi wa kina.
Soma Pia: Kama taifa, zawadi pekee ya kumpa Rais Samia kwa kazi nzuri ya maendeleo ni ushindi wa kishindo uchaguzi mkuu 2025 ikiwa atagombea
Huko ni kumuhujumu Mwenyekiti wa CCM taifa na kuhujumu kwa makusudi dhamira njema na jitihada kubwa sana za Rais Samia Suluhu Hassan kuliunganisha Taifa na kufungua nchi na zaidi sana kuimarisha umoja, amani, utulivu na mshikamano wa waTanzania wote.
Natoa rai kwa watumishi wa Umma kote nchini , kutunza ndimi zao na kuheshimu mamlaka hasa za uteuzi..π
Mungu Ibariki Tanzania
aisee tlaatlaah kazi anayo anajaribu kupaweka sawa mara paap mwingine kaliamsha tena kinyesi juu ya meza ya chakulaAwamu hii Sio Chadema wala ACT waliowaumbua.
Anashona mbele nyuma kunachanika.aisee tlaatlaah kazi anayo anajaribu kupaweka sawa mara paap mwingine kaliamsha tena kinyesi juu ya meza ya chakula
4R za mchongoVipi kuhusu wanaoteka na kuua raia huku wakipewa kinga na Mahakama?
Hao wanadumisha hizo 4R za anayewatuma?
Ni zao la unafiki cha msingi ni Nidhamu na siyo uoganimeeleza bayana kwamba hutegemea malezi, mazingira na forces za maisha....
Msingi wa uobara wa maisha ya mtu binafs au hata kiongozi ni utii.
ukitii ratiba zako you woga, utafanikiwa,
ukimtii na kumuheshimu Mungu bila woga utafanikiwa....
watu wengi waoga sio watiifu na sio majasiri π