Hatuwezi kuwachukia wayahudi kwa wivu wa kijinga na husda na roho mbaya

Hatuwezi kuwachukia wayahudi kwa wivu wa kijinga na husda na roho mbaya

Hilo sisi halituhusu huwezi kuwafundisha wakrsto wafuasi WA YESU MTOTO WA MUNGU WA KIYAHUDI YEHOVA!!!
ACHENI KUOMBA MSAADA WA KUSAIDIWA CHUKI ZENU PAMBANENI NA HALI ZENU
Kwanza hakuna anaeomba msaada kwenu maisha ya vita katka dini yetu ni kawaida rejea history utapata majibu. Yesu sio mtoto wa Mungu ni mtoto wa Maria mungu wa wayahudi ni ndama wa dhahabu waliomtengeneza kipindi wanatoka misri mbele ya Haruni, kwahio na nyie muabudu ndama
 
🤣🤣🤣🤣🤣Mnanichekesha sana.... Hivi ushawahi fuatilia kabila lako kabla ya ukoloni ukajua Mila na dini yako...yaani umeletewa kitabu kimeandikwa Mungu wa kiyahudi na mitume wa kiyahudi na wewe unasema sawa...ehe na muislam nae anakuja na mtume muarabu...huoni huyu Mungu anatokea sehemu moja tu...Tena watu hao hao ndo wanaandika na kusema ndo Mungu wa wote ..🤣🤣hizi dini ni sawa na upofu
Sasa mkuu tusipangiane adui na urafiki....kila mtu apambane na hali yake
 
Kwanza hakuna anaeomba msaada kwenu maisha ya vita katka dini yetu ni kawaida rejea history utapata majibu. Yesu sio mtoto wa Mungu ni mtoto wa Maria mungu wa wayahudi ni ndama wa dhahabu waliomtengeneza kipindi wanatoka misri mbele ya Haruni, kwahio na nyie muabudu ndama
HAYO MAWAZO YAKO NA MAPOKEO YAKO SISI HAYATUHUSU.....SISI MUNGU WETU YEHOVA MYAHUDI NA ANA MTOTO ANAITWA YESU MYAHUDI......
WAISLAMU NA WAARABU ACHENI KUTULILIA TUWAUNGE MKONO KATIKA CHUKI YANU YA KINAFIKI DHIDI YA WAYAHUDI
PAMBANENI NA HALI ZENU
 
Hilo sisi halituhusu huwezi kuwafundisha wakrsto wafuasi WA YESU MTOTO WA MUNGU WA KIYAHUDI YEHOVA!!!
ACHENI KUOMBA MSAADA WA KUSAIDIWA CHUKI ZENU PAMBANENI NA HALI ZENU
Hivi mwenye chuki zaidi Kati yako na hao unaowatuhumu ni Nani?

Unaona jinsi unavyoandika comments zako zilivyojaa chuki?
 
Ukweli unauma, Africa tunajipendekeza kwenye imani zisizotuhusu, Mbona wachina wana imani yao( Budha) ,Wahindi( Hindu) waafrika tu kwa upumbavu wetu, tunang' ang' ania imani za wenzetu, hatuna imani yetu
PAMBANENI ACHENI KUTULILIA WAKRSTO TUWAUNGE MKONO KWA WIVU WENU DHIDI YA WAYAHUDI
 
Hivi mwenye chuki zaidi Kati yako na hao unaowatuhumu ni Nani?

Unaona jinsi unavyoandika comments zako zilivyojaa chuki?
Acheni kulialia kwa wakrsto pambaneni.....watu wachache tu wanawatoa jasho miaka yote..
 
Ibrahim (baba wa Imani) ni mkurdi. Ana asili ya Iraq. Hana asili ya Uyahudi.Alizaa na mama wa kiyahudi (Sara) na mwingine mmisri (Hajra). Alitumwa na mungu kwenda Kaanani kwa ajili ya mpango maalum. Aliwazaa Ishmael na Isaka ambao vizazi vyao viliwatoa YESU na MUHAMMAD. Yesu myahudi na Mohammad mwarabu. YESU NA MOHAMMAD WANATAMBUANA. LAKINI WAFUASI WANAPINGANA.
 
Wanatushawishi mara oooh wayahudi hawawapendi wakrsto wachukieni.

Ukiuliza tuwachukie kwa lipi utasikia allah kasema*sasa wakrsto na allah wapi na wapi"

Mara oooh walimuua issa mwarabu wa kwenye hadith za qur'an wachukieni. Sasa wakrsto na issa mwarabu wapi na wapi?

Sisi hatumtambui issa mwarabu bali yesu myahudi mwana wa mungu yehova myahudi

Mara ooooh mungu wetu wa kiarabu amewalaani wachukieni. Sasa wakrsto na allah wapi na wapi

Sasa kama mungu wetu yehova na mwanae yesu wamewabariki wayahudi na tumeamriwa tuwabaliki mnatulazimisha tuwachukie.

Mungu wetu mwenyewe ni myahudi. Tutachukiaje wayahudi?

Ugomvi wa waarabu na waislamu dhidi ya wayahudi sisi hautuhusu na mungu wetu yehova kasema wayahudi ni taifa teule.

Pambaneni na hali zenu...!!!!

Nb: since 1800,s mnatulazimisha wakrsto tuwachukie wayahudi ila mnapoteza mda sababu sisi tunamsikiliza yehova alichosema kwenye torati na biblia.

Najua inauma ila ukweli ndio huo chuki yenu na ubaguzi na husda na fitina haituhusu*
Eti Mungu kawa Myahudi!!!???
[emoji1][emoji23][emoji23] kweli wajinga hawamaliziki.
 
Back
Top Bottom