Hatuwezi kuwachukia wayahudi kwa wivu wa kijinga na husda na roho mbaya

Hatuwezi kuwachukia wayahudi kwa wivu wa kijinga na husda na roho mbaya

Ramaphosa sio muwakirishi wa wakiristo wote ila ww ndo muwakirishi wa wakiristo wote duniani mpaka uje humu jf kuwasemea?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nani kakwambia ramaphosa anawakilisha wakrsto???
Mm siwakilishi wakrsto ila sisi wakrsto tunajuana na viapo vyetu duniana nzima..
WIVU WENU NA HUSDA DHIDI YA WAYAHUDI NA UNAFIKI WENU SISI WAKRSTO HAVITUHUSU
 
Wanatushawishi mara oooh wayahudi hawawapendi wakrsto wachukieni.

Ukiuliza tuwachukie kwa lipi utasikia allah kasema*sasa wakrsto na allah wapi na wapi"

Mara oooh walimuua issa mwarabu wa kwenye hadith za qur'an wachukieni. Sasa wakrsto na issa mwarabu wapi na wapi?

Sisi hatumtambui issa mwarabu bali yesu myahudi mwana wa mungu yehova myahudi

Mara ooooh mungu wetu wa kiarabu amewalaani wachukieni. Sasa wakrsto na allah wapi na wapi

Sasa kama mungu wetu yehova na mwanae yesu wamewabariki wayahudi na tumeamriwa tuwabaliki mnatulazimisha tuwachukie.

Mungu wetu mwenyewe ni myahudi. Tutachukiaje wayahudi?

Ugomvi wa waarabu na waislamu dhidi ya wayahudi sisi hautuhusu na mungu wetu yehova kasema wayahudi ni taifa teule.

Pambaneni na hali zenu...!!!!

Nb: since 1800,s mnatulazimisha wakrsto tuwachukie wayahudi ila mnapoteza mda sababu sisi tunamsikiliza yehova alichosema kwenye torati na biblia.

Najua inauma ila ukweli ndio huo chuki yenu na ubaguzi na husda na fitina haituhusu*
Lakini si tulikubaliana kua wayahudi ndio waliomtesa na kumuua mungu wenu yesu Kristo msalabani?
 
Nani kakwambia ramaphosa anawakilisha wakrsto???
Mm siwakilishi wakrsto ila sisi wakrsto tunajuana na viapo vyetu duniana nzima..
WIVU WENU NA HUSDA DHIDI YA WAYAHUDI NA UNAFIKI WENU SISI WAKRSTO HAVITUHUSU
Nimekuuliza ww ni muwakirishi wa wakiristo mpaka uje kuwasemea muhu jf?

Hivi ww jamaa una umri gani na elimu yako ikoje mbona mambo unayo yaandikaga yanazidiwa hata na mototo wa miaka 10?


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Lakini si tulikubaliana kua wayahudi ndio waliomtesa na kumuua mungu wenu yesu Kristo msalabani?
HILO SISI HALIBADILI MITAZAMO NA MAPOKEO YETU NA VIAPO VYETU KWA YEHOVA!!!
HUSDA ZENU NA WIVU WA KIJINGA HAVITUHUSU PAMBANENI NA HALI YENU
 
Hujui sifa na viapo vya wakrsto.....ndio maana tunawaambia msitushirikishe kwenye wivu wenu dhidi ya wayahudi
We arabs we do do not hate jews repeat we arab do not hate jews.
we don't like Zionism. Only fair peace to the Palestinian will give them happiness and peace.
peace by barrel of the gun will not work ,no more lies.
god bless children of great leader Mandela. Fighting for rights of oppressed people of Palestine.
 
HILO SISI HALIBADILI MITAZAMO NA MAPOKEO YETU NA VIAPO VYETU KWA YEHOVA!!!
HUSDA ZENU NA WIVU WA KIJINGA HAVITUHUSU PAMBANENI NA HALI YENU
Hakuna wivu juu yenu isipokua ni huruma juu yenu

Yaani waliomtesa na kumuua MUNGU wenu ndio rafiki zenu??,akili zenu zipigwe msasa kuna mahali kuna shida sio bure
 
Nimekuuliza ww ni muwakirishi wa wakiristo mpaka uje kuwasemea muhu jf?

Hivi ww jamaa una umri gani na elimu yako ikoje mbona mambo unayo yaandikaga yanazidiwa hata na mototo wa miaka 10?


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
UKWELI UNAUMA...WAKRSTO HATUWEZI KUWAUNGA MKONO NA CHUKI ZENU NA WIVU NA HUSDA DHIDI YA WAYAHUDI...
HAKUNA MKRSTO ANAEUNGA MKONO MAAZIMIO YA MUNGU WA KIARABU AMBAE HATUMTAMBUI..
PAMBANENI NA HALI ZENU
 
Hakuna wivu juu yenu isipokua ni huruma juu yenu

Yaani waliomtesa na kumuua MUNGU wenu ndio rafiki zenu??,akili zenu zipigwe msasa kuna mahali kuna shida sio bure
MNA WIVU NA FITINA DHIDI YA WAYAHUDI NAMNATULILIA KILA SIKU TUUNGE MKONO UPUMBAVU NA HUSDA ZENU DHIDI YA WAYAHUDI....WATOTO WA MUNGU WA WAKRSTO YEHOVA.
 
Back
Top Bottom