Hatuwezi kuwachukia wayahudi kwa wivu wa kijinga na husda na roho mbaya

Hatuwezi kuwachukia wayahudi kwa wivu wa kijinga na husda na roho mbaya

HAYO MAWAZO YAKO NA MAPOKEO YAKO SISI HAYATUHUSU.....SISI MUNGU WETU YEHOVA MYAHUDI NA ANA MTOTO ANAITWA YESU MYAHUDI......
WAISLAMU NA WAARABU ACHENI KUTULILIA TUWAUNGE MKONO KATIKA CHUKI YANU YA KINAFIKI DHIDI YA WAYAHUDI
PAMBANENI NA HALI ZENU
Hamnazo pole
 
Kwanza hakuna anaeomba msaada kwenu maisha ya vita katka dini yetu ni kawaida rejea history utapata majibu. Yesu sio mtoto wa Mungu ni mtoto wa Maria mungu wa wayahudi ni ndama wa dhahabu waliomtengeneza kipindi wanatoka misri mbele ya Haruni, kwahio na nyie muabudu ndama
Hayo mawazo yenu na msitupangie mapokeo....kama wayahudi wamewashinda..PAMBANENI NA HALI ZENU WAKRSTO HAITUHUSU
 
Wanatushawishi mara oooh wayahudi hawawapendi wakrsto wachukieni.

Ukiuliza tuwachukie kwa lipi utasikia allah kasema*sasa wakrsto na allah wapi na wapi"

Mara oooh walimuua issa mwarabu wa kwenye hadith za qur'an wachukieni. Sasa wakrsto na issa mwarabu wapi na wapi?

Sisi hatumtambui issa mwarabu bali yesu myahudi mwana wa mungu yehova myahudi

Mara ooooh mungu wetu wa kiarabu amewalaani wachukieni. Sasa wakrsto na allah wapi na wapi

Sasa kama mungu wetu yehova na mwanae yesu wamewabariki wayahudi na tumeamriwa tuwabaliki mnatulazimisha tuwachukie.

Mungu wetu mwenyewe ni myahudi. Tutachukiaje wayahudi?

Ugomvi wa waarabu na waislamu dhidi ya wayahudi sisi hautuhusu na mungu wetu yehova kasema wayahudi ni taifa teule.

Pambaneni na hali zenu...!!!!

Nb: since 1800,s mnatulazimisha wakrsto tuwachukie wayahudi ila mnapoteza mda sababu sisi tunamsikiliza yehova alichosema kwenye torati na biblia.

Najua inauma ila ukweli ndio huo chuki yenu na ubaguzi na husda na fitina haituhusu*
Akili za nyani nyani
Huyo myahudi na yeye anakupenda kama pet monkey 🐵 🐒
 
SASA HIYO SERIKALI YA RAMAPOSHA INAWAKILISHA WAKRSTO WA AFRIKA KUSINI????
MKRISTO GANI WA AFRIKA KUSINI KAWASHITAKI WAYAHUDI MTAJE JINA LAKE????
Kwa hiyo yeye Ramaphosa na viongozi wanao unda serikali ya A.kusini sio wakiristo ?

Nyinyi wanyarwanda mlio jificha kwenye kivuli uhaya mna matatizo sana na wengi hamnaga akili.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Akili za nyani nyani
Huyo myahudi na yeye anakupenda kama pet monkey 🐵 🐒
HILO HALIJALISHI....ILA HUWEZI KWABADILI WATU WANAOMUABUDU MUNGU WA KIYAHUDI YEHOVA WAWACHUKIE WAYAHUDI...
PAMBANENI NA HALI ZENU SIO KULILIA KUOMBA MSAADA KWA WAKRSTO
 
Kwa hiyo yeye Ramaphosa na viongozi wanao unda serikali ya A.kusini sio wakiristo ?

Nyinyi wanyarwanda mlio jificha kwenye kivuli uhaya mna matatizo sana na wengi hamnaga akili.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
NANI KAKUAMBIA RAMAPHOSA MKRSTO WA IMANI NA ROHO???
NA NANI KAKUAMBIA RAMAPHOSA ANAWAKILISHA WAKRSTO WOTE WA UMUNZANSI OR SOUTH AFRICA REPUBLIC????
PAMBANENI NA HALI ZENU MSITULILIE KAMA WATOTO
 
Wanatushawishi mara oooh wayahudi hawawapendi wakrsto wachukieni.

Ukiuliza tuwachukie kwa lipi utasikia allah kasema*sasa wakrsto na allah wapi na wapi"

Mara oooh walimuua issa mwarabu wa kwenye hadith za qur'an wachukieni. Sasa wakrsto na issa mwarabu wapi na wapi?

Sisi hatumtambui issa mwarabu bali yesu myahudi mwana wa mungu yehova myahudi

Mara ooooh mungu wetu wa kiarabu amewalaani wachukieni. Sasa wakrsto na allah wapi na wapi

Sasa kama mungu wetu yehova na mwanae yesu wamewabariki wayahudi na tumeamriwa tuwabaliki mnatulazimisha tuwachukie.

Mungu wetu mwenyewe ni myahudi. Tutachukiaje wayahudi?

Ugomvi wa waarabu na waislamu dhidi ya wayahudi sisi hautuhusu na mungu wetu yehova kasema wayahudi ni taifa teule.

Pambaneni na hali zenu...!!!!

Nb: since 1800,s mnatulazimisha wakrsto tuwachukie wayahudi ila mnapoteza mda sababu sisi tunamsikiliza yehova alichosema kwenye torati na biblia.

Najua inauma ila ukweli ndio huo chuki yenu na ubaguzi na husda na fitina haituhusu*
Duh! Mungu wenu myahudi!?.........
 
Kesi inarushwa live Aljazeera muda huu. Israel wanaonekana wanataka kuendelea na operation yao. Kwa KUWA Bado hawajafikia malengo yao ya kuwaokoa mateka na kuifuta Hamas.
LENGO WALA SIO MATEKA WALA KUITOKOMEZA HAMAS...BALI LENGO NI KUUA WAARABU KADRI YA WAWEZAVYO KULIPIZA KISASI CHA OCTOBER 07...
MATEKA HAWANA SHIDA NAO......
SASA PAMBANENI SIO KULIALIA..
NB: AL JAZEERA TV YA WAARABU ULITEGEMEA ITAWAPENDELEA WAYAHUDI
 
Kwa hiyo yeye Ramaphosa na viongozi wanao unda serikali ya A.kusini sio wakiristo ?

Nyinyi wanyarwanda mlio jificha kwenye kivuli uhaya mna matatizo sana na wengi hamnaga akili.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mtaje jina mkrsto aliyewashitaki wayahudi???
Au hujui sifa za kua mkrsto ni zipi???
 
NANI KAKUAMBIA RAMAPHOSA MKRSTO WA IMANI NA ROHO???
NA NANI KAKUAMBIA RAMAPHOSA ANAWAKILISHA WAKRSTO WOTE WA UMUNZANSI OR SOUTH AFRICA REPUBLIC????
PAMBANENI NA HALI ZENU MSITULILIE KAMA WATOTO
Ramaphosa sio muwakirishi wa wakiristo wote ila ww ndo muwakirishi wa wakiristo wote duniani mpaka uje humu jf kuwasemea?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Yeah mungu wetu yehova myahudi na sio allah mwarabu...
Pambaneni na hali zenu sio kutuhusisha sisi
Mungu wetu sio binafamu, hana race, ethnicity,rangi,kabila au jinsia
Allah ni jina la Mungu kama ilivyo God,aYehova,Mulungu n.k
 
Back
Top Bottom