Hatuwezi kuwachukia wayahudi kwa wivu wa kijinga na husda na roho mbaya

Hilo sisi halituhusu huwezi kuwafundisha wakrsto wafuasi WA YESU MTOTO WA MUNGU WA KIYAHUDI YEHOVA!!!
ACHENI KUOMBA MSAADA WA KUSAIDIWA CHUKI ZENU PAMBANENI NA HALI ZENU
Kwanza hakuna anaeomba msaada kwenu maisha ya vita katka dini yetu ni kawaida rejea history utapata majibu. Yesu sio mtoto wa Mungu ni mtoto wa Maria mungu wa wayahudi ni ndama wa dhahabu waliomtengeneza kipindi wanatoka misri mbele ya Haruni, kwahio na nyie muabudu ndama
 
Sasa mkuu tusipangiane adui na urafiki....kila mtu apambane na hali yake
 
HAYO MAWAZO YAKO NA MAPOKEO YAKO SISI HAYATUHUSU.....SISI MUNGU WETU YEHOVA MYAHUDI NA ANA MTOTO ANAITWA YESU MYAHUDI......
WAISLAMU NA WAARABU ACHENI KUTULILIA TUWAUNGE MKONO KATIKA CHUKI YANU YA KINAFIKI DHIDI YA WAYAHUDI
PAMBANENI NA HALI ZENU
 
Hilo sisi halituhusu huwezi kuwafundisha wakrsto wafuasi WA YESU MTOTO WA MUNGU WA KIYAHUDI YEHOVA!!!
ACHENI KUOMBA MSAADA WA KUSAIDIWA CHUKI ZENU PAMBANENI NA HALI ZENU
Hivi mwenye chuki zaidi Kati yako na hao unaowatuhumu ni Nani?

Unaona jinsi unavyoandika comments zako zilivyojaa chuki?
 
Hivi mwenye chuki zaidi Kati yako na hao unaowatuhumu ni Nani?

Unaona jinsi unavyoandika comments zako zilivyojaa chuki?
PAMBANENI NA HALI ZENU SIO KILA SIKU...OOH TUNAOMBA WAKRSTO MTUUNGE MKONO KATIKA VITA ZETU NA WAYAHUDI....
HAYO MAAGIZO ALIWAPA ALLAH
SASA SISI WAKRSTO NA ALLAH WAPI NA WAPI
 
Ukweli unauma, Africa tunajipendekeza kwenye imani zisizotuhusu, Mbona wachina wana imani yao( Budha) ,Wahindi( Hindu) waafrika tu kwa upumbavu wetu, tunang' ang' ania imani za wenzetu, hatuna imani yetu
PAMBANENI ACHENI KUTULILIA WAKRSTO TUWAUNGE MKONO KWA WIVU WENU DHIDI YA WAYAHUDI
 
Hivi mwenye chuki zaidi Kati yako na hao unaowatuhumu ni Nani?

Unaona jinsi unavyoandika comments zako zilivyojaa chuki?
Acheni kulialia kwa wakrsto pambaneni.....watu wachache tu wanawatoa jasho miaka yote..
 
Ibrahim (baba wa Imani) ni mkurdi. Ana asili ya Iraq. Hana asili ya Uyahudi.Alizaa na mama wa kiyahudi (Sara) na mwingine mmisri (Hajra). Alitumwa na mungu kwenda Kaanani kwa ajili ya mpango maalum. Aliwazaa Ishmael na Isaka ambao vizazi vyao viliwatoa YESU na MUHAMMAD. Yesu myahudi na Mohammad mwarabu. YESU NA MOHAMMAD WANATAMBUANA. LAKINI WAFUASI WANAPINGANA.
 
Eti Mungu kawa Myahudi!!!???
[emoji1][emoji23][emoji23] kweli wajinga hawamaliziki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…