Hatuwezi kuwachukia wayahudi kwa wivu wa kijinga na husda na roho mbaya

Hatuwezi kuwachukia wayahudi kwa wivu wa kijinga na husda na roho mbaya

Unadhani Mungu hawezi kujivika mwili nakuja kuishi na wanadamu ili awakomboe ?
Mungu hajawahi kuja kuishi Duniani akiwa na mama yake, dada zake. wajomba zake na majirani zake

Hata Yesu anathibisha hilo

Yohana 20:17
Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.

Hivi nyinyi wagalatia mnaposoma bibilia haya maandiko huwa hamyaoni au ndio DOGUMA ya Wazungu imewaingia
 
Mungu hajawahi kuja kuishi Duniani akiwa na mama yake, dada zake. wajomba zake na majirani zake

Hata Yesu anathibisha hilo

Yohana 20:17
Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.

Hivi nyinyi wagalatia mnaposoma bibilia haya maandiko huwa hamyaoni au ndio DOGUMA ya Wazungu imewaingia
Yesu ni nani ?
Tuanzie hapo kwanza
 
Acheni kutukuza dini zisizowahudu, Uilam ni imani ya waarabu, Ukristo imani ya wazungu. Sisi waafrica iman yetu ni ipi?
Mbona wewe unatukuza Man U, Liverpool, Bayern Munchen, Barcelona, AC Milan, PSG na kusahau Ihefu, Mtibwa au Singida bigstar + Mlandege? Tuondolee uchizi wako hapa.
 
Yesu ni nani ?
Tuanzie hapo kwanza
Kwahiyo kwasababu haujui Yesu ni nani ndio maana wazungu walipokuambia Yesu ndio Mungu wako ukakubali au sio?


Yohana 20:17
Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.

Mbona hilo andiko liko wazi kuwa Yesu ni binadamu
Hapo yupo na marafiki zake

Anawaagiza waende wakawambie ndugu zake Yani Dada zake na mama yake

Kuwa yeye anaenda Kwa Mungu wa binadamu wote

Hapo alipo Yesu na walipo hao ndugu zake hata KM 500 hazifiki lakini bado hana uwezo wa kuwasiliana nao Hadi anawaagiza watu wampelekee salamu zake Sasa Mungu gani huyo

In reality Yesu sio Mungu ila Kwa DOGUMA za kanisa ndio mnadanganywa kuwa Yesu ni Mungu

Unajua kwanini wayahudi waliukataa ukristo Kwa sababu wakati wazungu wanaanzisha ukristo miaka 15 Baada ya Yesu kupaa

Ndugu zake Yesu walikuwa bado wapo

Rafiki zake Yesu aliyocheza nao utotoni walikuwa bado wapo

Majirani zake Yesu walikuwa bado wapo

Mafundi seremala wenzake walikuwa bado wapo

Wateja waliokuwa wananunua fenicha zake walikuwa bado wapo

Kwahiyo waliposikia hayo mahubiri kuwa Yesu ni Mungu wakawashangaa sana
 
Kwahiyo kwasababu haujui Yesu ni nani ndio maana wazungu walipokuambia Yesu ndio Mungu wako ukakubali au sio?


Yohana 20:17
Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.

Mbona hilo andiko liko wazi kuwa Yesu ni binadamu
Hapo yupo na marafiki zake

Anawaagiza waende wakawambie ndugu zake Yani Dada zake na mama yake

Kuwa yeye anaenda Kwa Mungu wa binadamu wote

Hapo alipo Yesu na walipo hao ndugu zake hata KM 500 hazifiki lakini bado hana uwezo wa kuwasiliana nao Hadi anawaagiza watu wampelekee salamu zake Sasa Mungu gani huyo

In reality Yesu sio Mungu ila Kwa DOGUMA za kanisa ndio mnadanganywa kuwa Yesu ni Mungu

Unajua kwanini wayahudi waliukataa ukristo Kwa sababu wakati wazungu wanaanzisha ukristo miaka 15 Baada ya Yesu kupaa

Ndugu zake Yesu walikuwa bado wapo

Rafiki zake Yesu aliyocheza nao utotoni walikuwa bado wapo

Majirani zake Yesu walikuwa bado wapo

Mafundi seremala wenzake walikuwa bado wapo

Wateja waliokuwa wananunua fenicha zake walikuwa bado wapo

Kwahiyo waliposikia hayo mahubiri kuwa Yesu ni Mungu wakawashangaa sana
Mbona unazunguka sana.
Yesu ni nani?
TUANZIE HAPO
 
Wanatushawishi mara oooh wayahudi hawawapendi wakrsto wachukieni.

Ukiuliza tuwachukie kwa lipi utasikia allah kasema*sasa wakrsto na allah wapi na wapi"

Mara oooh walimuua issa mwarabu wa kwenye hadith za qur'an wachukieni. Sasa wakrsto na issa mwarabu wapi na wapi?

Sisi hatumtambui issa mwarabu bali yesu myahudi mwana wa mungu yehova myahudi

Mara ooooh mungu wetu wa kiarabu amewalaani wachukieni. Sasa wakrsto na allah wapi na wapi

Sasa kama mungu wetu yehova na mwanae yesu wamewabariki wayahudi na tumeamriwa tuwabaliki mnatulazimisha tuwachukie.

Mungu wetu mwenyewe ni myahudi. Tutachukiaje wayahudi?

Ugomvi wa waarabu na waislamu dhidi ya wayahudi sisi hautuhusu na mungu wetu yehova kasema wayahudi ni taifa teule.

Pambaneni na hali zenu...!!!!

Nb: since 1800,s mnatulazimisha wakrsto tuwachukie wayahudi ila mnapoteza mda sababu sisi tunamsikiliza yehova alichosema kwenye torati na biblia.

Najua inauma ila ukweli ndio huo chuki yenu na ubaguzi na husda na fitina haituhusu*
Acha kujipendekeza wewe mmbutu wayahudi wanakuona nyani tu
IMG_20240103_153951.jpg
 
Kwahiyo kwasababu haujui Yesu ni nani ndio maana wazungu walipokuambia Yesu ndio Mungu wako ukakubali au sio?


Yohana 20:17
Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.

Mbona hilo andiko liko wazi kuwa Yesu ni binadamu
Hapo yupo na marafiki zake

Anawaagiza waende wakawambie ndugu zake Yani Dada zake na mama yake

Kuwa yeye anaenda Kwa Mungu wa binadamu wote

Hapo alipo Yesu na walipo hao ndugu zake hata KM 500 hazifiki lakini bado hana uwezo wa kuwasiliana nao Hadi anawaagiza watu wampelekee salamu zake Sasa Mungu gani huyo

In reality Yesu sio Mungu ila Kwa DOGUMA za kanisa ndio mnadanganywa kuwa Yesu ni Mungu

Unajua kwanini wayahudi waliukataa ukristo Kwa sababu wakati wazungu wanaanzisha ukristo miaka 15 Baada ya Yesu kupaa

Ndugu zake Yesu walikuwa bado wapo

Rafiki zake Yesu aliyocheza nao utotoni walikuwa bado wapo

Majirani zake Yesu walikuwa bado wapo

Mafundi seremala wenzake walikuwa bado wapo

Wateja waliokuwa wananunua fenicha zake walikuwa bado wapo

Kwahiyo waliposikia hayo mahubiri kuwa Yesu ni Mungu wakawashangaa sana
WEWE NDIO HAUMJUI YESU MWANA WA MUNGU YEHOVA......TUNAYEMUABUDU WAKRSTO..
HATUABUDU MUNGU WA KIARABU
 
Mungu hajawahi kuja kuishi Duniani akiwa na mama yake, dada zake. wajomba zake na majirani zake

Hata Yesu anathibisha hilo

Yohana 20:17
Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.

Hivi nyinyi wagalatia mnaposoma bibilia haya maandiko huwa hamyaoni au ndio DOGUMA ya Wazungu imewaingia
MNAUMIA SISI KUMUABUDU YESU
 
MNAUMIA SISI KUMUABUDU YESU
Hakuna anayeumia Kwa wewe kumuabudu binadamu mwenzako ila tunawaonea huruma jinsi wazungu walivyokupotezeni

By the way sisi waislam pamoja na Yesu Mungu wetu ni mmoja na tunamuabudu Kwa kumsujudia

Mathayo 26:39
Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.


Mathayo 4:10
Ndipo Yesu alipomwambia, Nenda zako, Shetani; kwa maana imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu wako, umwabudu yeye peke yake.
 
Hakuna anayeumia Kwa wewe kumuabudu binadamu mwenzako ila tunawaonea huruma jinsi wazungu walivyokupotezeni

By the way sisi waislam pamoja na Yesu Mungu wetu ni mmoja na tunamuabudu Kwa kumsujudia

Mathayo 26:39
Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.
BORA SISI TUMEPOTEZWA NA WAZUNGU...NYINYI MMEPOTEZWA NA WAARABU WANYONGE WA WAYAHUDI.....!!!
****HUYO YESU WENU MWARABU SIO YESU WETU MWANA WA MUNGU WETU WA KIYAHUDI YEHOVA...!!!NA HUYO MUNGU WENU WA KIARABU ALLAH SISI HATUHUSU
TANGU LINI WAARABU WAKAWA NA AKILI KUWAZIDI WAYAHUDI NA WAZUNGU.
NB: KUSUJUDIA HATA SISI WAKRSTO ,WAHINDU,WABUDHA,WAYAZIDI NA WACHAWI SOTE TUNASUJUDIA SASA AJABU IPI???
 
BORA SISI TUMEPOTEZWA NA WAZUNGU...NYINYI MMEPOTEZWA NA WAARABU WANYONGE WA WAYAHUDI.....!!!
****HUYO YESU WENU MWARABU SIO YESU WETU MWANA WA MUNGU WETU WA KIYAHUDI YEHOVA...!!!NA HUYO MUNGU WENU WA KIARABU ALLAH SISI HATUHUSU
TANGU LINI WAARABU WAKAWA NA AKILI KUWAZIDI WAYAHUDI NA WAZUNGU.
NB: KUSUJUDIA HATA SISI WAKRSTO ,WAHINDU,WABUDHA,WAYAZIDI NA WACHAWI SOTE TUNASUJUDIA SASA AJABU IPI???
Ni kweli Yesu wa ndani ya Quran sio Yesu mnayemuabudu kanisani

Yesu wa ndani ya Quran ni binadamu aliyezaliwa na Mariam pia ni mtume aliyetumwa na Mungu Kwa Wana waisrael na aliwambia Wana waisrael kuwa Mungu ni mmoja tu

1) Yesu wa ndani ya Quran

Quran 5:72 -
Hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni Masihi mwana wa Maryamu! Na hali Masihi mwenyewe alisema: Enyi Wana wa Israili! Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu Mlezi na Mola wenu Mlezi. Kwani anaye mshirikisha Mwenyezi Mungu, hakika Mwenyezi Mungu atamharimishia Pepo, na mahala pake ni Motoni. Na walio dhulumu hawatakuwa na wa kuwanusuru.

JE! WAPI YESU ALISEMA KUWA MUNGU NI MMOJA

Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.

And this is life eternal, that they might know thee the only true God, and Jesus Christ, whom thou hast sent.


Yohana 20:17
Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.

2) Yesu anayeabudiwa Kanisani hakuwahi kuwepo hapa Duniani ila ni galasa lililotengenezwa na Wazungu

Tito 2:13
tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;
 
Ni kweli Yesu wa ndani ya Quran sio Yesu mnayemuabudu kanisani

Yesu wa ndani ya Quran ni binadamu aliyezaliwa na Mariam pia ni mtume aliyetumwa na Mungu Kwa Wana waisrael na aliwambia Wana waisrael kuwa Mungu ni mmoja tu

1) Yesu wa ndani ya Quran

Quran 5:72 -
Hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni Masihi mwana wa Maryamu! Na hali Masihi mwenyewe alisema: Enyi Wana wa Israili! Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu Mlezi na Mola wenu Mlezi. Kwani anaye mshirikisha Mwenyezi Mungu, hakika Mwenyezi Mungu atamharimishia Pepo, na mahala pake ni Motoni. Na walio dhulumu hawatakuwa na wa kuwanusuru.

JE! WAPI YESU ALISEMA KUWA MUNGU NI MMOJA

Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.

And this is life eternal, that they might know thee the only true God, and Jesus Christ, whom thou hast sent.


Yohana 20:17
Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.

2) Yesu anayeabudiwa Kanisani hakuwahi kuwepo hapa Duniani ila ni galasa lililotengenezwa na Wazungu

Tito 2:13
tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;
MKUU HUYO YESU WENU SISI HATUHUSU.....UJUMBE UMEFIKA
 
MKUU HUYO YESU WENU SISI HATUHUSU.....UJUMBE UMEFIKA
Ni Kwa sababu nyinyi hamfuati maandiko ila mnafuata uongo wa wazungu na DOGUMA za kanisa

Hapo Mungu wako anachomwa mshale na binadamu

Bora ungekuwepo hapo Ili ukamsadie Mungu wako
Screenshot_20240116-095554.jpg
 
Back
Top Bottom