Karijo
Senior Member
- Jul 9, 2024
- 108
- 353
Oi man wanaume hatunaga pigo za kuchongeana kwa moderators WEWE wa wapi?Ndo ukute una malengo nae sasa, unataka kumuoa
Watu wanawekeza mkuu
Ila haya mambo duh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oi man wanaume hatunaga pigo za kuchongeana kwa moderators WEWE wa wapi?Ndo ukute una malengo nae sasa, unataka kumuoa
Watu wanawekeza mkuu
Ila haya mambo duh
Si ndio mpaka umuoe kwanza , kiherehere cha nini?Ndo ukute una malengo nae sasa, unataka kumuoa
Watu wanawekeza mkuu
Ila haya mambo duh
Lakini hiyo hela mnayosemaga tutafute n ku priotize raha yake utumie na mubebiBila ya wewe uyo mwanamke hatokufa, acha kujipa stress ili upate sifa za kijinga, eti responsible boyfriend, unapigwa mwanangu.
Kama bajeti hairuhusu kumpa hicho anachokitaka lala salama kabisa hata usisumbue akili wala nafsi yako, na akinuna akatishia kuondoka mfungulie mlango aende.
You don't owe your girlfriend a lifestyle her father cannot give her. Don't allow any woman to put you under pressure in this life, most of them are absolutely liability in your life.
The key is to put your plans first and chase money, striving to satisfy a woman will not add anything significant in your life.
Prioritze yourselves my brothers, these hoes aint loyal.
Bila ya wewe uyo mwanamke hatokufa,
Wanawake wamekufanya nini mkuu?...Bila ya wewe uyo mwanamke hatokufa, acha kujipa stress ili upate sifa za kijinga, eti responsible boyfriend, unapigwa mwanangu.
Kama bajeti hairuhusu kumpa hicho anachokitaka lala salama kabisa hata usisumbue akili wala nafsi yako, na akinuna akatishia kuondoka mfungulie mlango aende.
You don't owe your girlfriend a lifestyle her father cannot give her. Don't allow any woman to put you under pressure in this life, most of them are absolutely liability in your life.
The key is to put your plans first and chase money, striving to satisfy a woman will not add anything significant in your life.
Prioritze yourselves my brothers, these hoes aint loyal.
Tafuta hela kutengeneza thamani yako baada ya hapo hao wanawake watajileta kwako wenyewe utaamua uwatumie kwa starehe au uchukue mmoja anaefaa kuwa mke uweke ndani.Lakini hiyo hela mnayosemaga tutafute n ku priotize raha yake utumie na mubebi
Ninaumia ninapoona wanaume wema wanavyoteseka kwa sababu ya udhaifu wao kihisia, huu mwaka ukiisha nataka jf nzima kusiwe na simp wala nice guy hata mmoja.Wanawake wamekufanya nini mkuu?...
Infact siongei na wanawake, walengwa wakubwa wa maandiko yangu ni wanaume wenzangu, wanawake huwa huwa mnapiga mayowe baada ya kupigwa na jiwe gizani.Bro wanawake watachomoa roho yako.....
Umewahifadhi moyoni bro, forgive forget....maisha yaendeleeInfact siongei na wanawake, walengwa wakubwa wa maandiko yangu ni wanaume wenzangu, wanawake huwa huwa mnapiga mayowe baada ya kupigwa na jiwe gizani.
Keep it upKitenesi pekee ndio kinifanye nitoe hela kwa mtu kama yeye ndo alotafuta.
Sina ujinga aina hiyo
Unataka Mkuu awekeze aje alie kilio kikuu kaka 😂😂Ndo ukute una malengo nae sasa, unataka kumuoa
Watu wanawekeza mkuu
Ila haya mambo duh
Ni mawazo yako tu mimi naongelea mambo yaliyopo kwenye jamii.. nina marafiki, jamaa na ndugu wa kiume naona mambo yanavyoenda hakuna ubaya wowote nikiwasanua ninapoona kuna gap. Ofcouse sio rahisi kunielewa kama wewe sio mwanaume.Umewahifadhi moyoni bro, forgive forget....maisha yaendelee
😂😂😂🙌Kafie huko
🤝🤝🤝 uko wapi lakini.....Ni mawazo yako tu mimi naongelea mambo yaliyopo kwenye jamii.. nina marafiki, jamaa na ndugu wa kiume naona mambo yanavyoenda hakuna ubaya wowote nikiwasanua ninapoona kuna gap.
NI sawa tu na nyie mnavyofundishana kwamba kigezo cha kuangalia kutoka kwa mwanaume ni pesa, ni kwa sababu mmegundua upendo wa kweli haulipi bill.
Kama nyie mmeweka standard zenu ambazo mnaona zinanufaisha kivipi na sisi tukiweka favourable standards zetu mnafikiri tuna chuki? mnataka nyie muwe na standard halafu sisi tuchague tu wanawake blindly.?
Kweli kabisaInfact siongei na wanawake, walengwa wakubwa wa maandiko yangu ni wanaume wenzangu, wanawake huwa huwa mnapiga mayowe baada ya kupigwa na jiwe gizani.
We waache tu 😀😀😀😀 ipo siku wataangusha kilo na kusema natafuta ajira aliniambia mimiUnataka Mkuu awekeze aje alie kilio kikuu kaka 😂😂