Haudaiwi chochote na girlfriend wako

Haudaiwi chochote na girlfriend wako

Bila ya wewe uyo mwanamke hatokufa, acha kujipa stress ili upate sifa za kijinga, eti responsible boyfriend, unapigwa mwanangu.

Kama bajeti hairuhusu kumpa hicho anachokitaka lala salama kabisa hata usisumbue akili wala nafsi yako, na akinuna akatishia kuondoka mfungulie mlango aende.

You don't owe your girlfriend a lifestyle her father cannot give her. Don't allow any woman to put you under pressure in this life, most of them are absolutely liability in your life.

The key is to put your plans first and chase money, striving to satisfy a woman will not add anything significant in your life.

Prioritze yourselves my brothers, these hoes aint loyal.
Lakini hiyo hela mnayosemaga tutafute n ku priotize raha yake utumie na mubebi
 
Bila ya wewe uyo mwanamke hatokufa, acha kujipa stress ili upate sifa za kijinga, eti responsible boyfriend, unapigwa mwanangu.

Kama bajeti hairuhusu kumpa hicho anachokitaka lala salama kabisa hata usisumbue akili wala nafsi yako, na akinuna akatishia kuondoka mfungulie mlango aende.

You don't owe your girlfriend a lifestyle her father cannot give her. Don't allow any woman to put you under pressure in this life, most of them are absolutely liability in your life.

The key is to put your plans first and chase money, striving to satisfy a woman will not add anything significant in your life.

Prioritze yourselves my brothers, these hoes aint loyal.
Wanawake wamekufanya nini mkuu?...
 
Umewahifadhi moyoni bro, forgive forget....maisha yaendelee
Ni mawazo yako tu mimi naongelea mambo yaliyopo kwenye jamii.. nina marafiki, jamaa na ndugu wa kiume naona mambo yanavyoenda hakuna ubaya wowote nikiwasanua ninapoona kuna gap. Ofcouse sio rahisi kunielewa kama wewe sio mwanaume.

NI sawa tu na nyie mnavyofundishana kwamba kigezo cha kuangalia kutoka kwa mwanaume ni pesa, ni kwa sababu mmegundua upendo wa kweli haulipi bill.

Kama nyie mmeweka standard zenu ambazo mnaona zinanufaisha kivipi na sisi tukiweka favourable standards zetu mnafikiri tuna chuki? mnataka nyie muwe na standard halafu sisi tuchague tu wanawake blindly.?
 
Ni mawazo yako tu mimi naongelea mambo yaliyopo kwenye jamii.. nina marafiki, jamaa na ndugu wa kiume naona mambo yanavyoenda hakuna ubaya wowote nikiwasanua ninapoona kuna gap.

NI sawa tu na nyie mnavyofundishana kwamba kigezo cha kuangalia kutoka kwa mwanaume ni pesa, ni kwa sababu mmegundua upendo wa kweli haulipi bill.

Kama nyie mmeweka standard zenu ambazo mnaona zinanufaisha kivipi na sisi tukiweka favourable standards zetu mnafikiri tuna chuki? mnataka nyie muwe na standard halafu sisi tuchague tu wanawake blindly.?
🤝🤝🤝 uko wapi lakini.....
Kama vile nakupenda
 
Back
Top Bottom