Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 482
Kwa jinsi ulivyoandika ile post inelekea uchungu wako ni kwa kuwa ulimgharamia sana halafu kakuacha na sio kwamba ulimpenda sana. ...Na vile vile kumbuka kutoa ni moyo sio utajiri,,kuna watu wanakutana na machangu na wanawapa hizo nyumba(wengine kwa mapenzi ya kweli na wengine nipe nikupe).kuna swali lingine??
Pole sana Eeka,sikumaanisha kukukwaza!Ni maswahiba tu ya dunia...If you can put on my shoes mkuu!
Smart move!Wengi hua wanakaa chini na kuwalilia watu ambao sio tu hawajali ila hata huruma hawawaonei!Sema tatizo lingine ni kwamba kuna wakati wanawake hua hatueleweki na nataka staki zetu....hiyo ndo hua inasababisha either wewe mwanaume unasubiria kisicho riziki au mwanamke anampoteza aliyemtaka kweli!
Hili neno zito sana Kizzy!!!!!
Kbd nazani mnanisoma wrong!
mimi nakubaliana na wewe kabisa, Muoneshe mpenzi wako unavyompenda lakini at the same time muoneshe kwamba u r not that weak kwamba akiondoka yeye basi maisha yako ndio yamekwisha. Tukubaliane kwamba ni mapenzi ya kwenye maigizo tu ndio yanayowork kwa namna hiyo mnayotaka nyinyi, mapenzi ya kweli katika real life ni lazima yatambue mipaka na limits ndio yaheshimike na kuheshimiwa.
Hili neno zito sana Kizzy!!!!!
Kbd nazani mnanisoma wrong!
mimi nakubaliana na wewe kabisa, Muoneshe mpenzi wako unavyompenda lakini at the same time muoneshe kwamba u r not that weak kwamba akiondoka yeye basi maisha yako ndio yamekwisha. Tukubaliane kwamba ni mapenzi ya kwenye maigizo tu ndio yanayowork kwa namna hiyo mnayotaka nyinyi, mapenzi ya kweli katika real life ni lazima yatambue mipaka na limits ndio yaheshimike na kuheshimiwa.
Kumbe a.k.a yake nyingine ni Kizzy asante sana!
Bacha hii kitu ni typing error au makusudi????
If you can put on my shoes mkuu!
Yes, LIZZY, kwa msisitizo!
umenena vema mama!!!!!
Tuendelee na mama mchungaji tu..,,
We acha bana. Unampenda mtu wako ile mbaya
Umegharamikia, nyumba, usafiri umempa na biashara juu!
Unasafiri kwa kipindi kikazi unarudi mwanao mdogo anamuuliza eti mama yule baba mwingine atalala wapi leo!
Fikiria hii inakuaje! Malboro zangu begani narudi kwetu kwa mama yangu kuanza upyaaaaaaaaaaa!
Iliniuma sana sitosahau.
Nilijipa moyo bana kwani WHAT IS WRONG WITH FALLING DOWN! YOU CAN ALWAYS GET UP AND START AGAIN! Believe me nilishahau na nikaanza upya and today I have a happy family ila sitosahau!
Nakuandalia ndala na mswaki kabisa utalala huku leo ili ukwepe joto baba mchungaji!Kizzy Im tired now na hakuna umeme na leo eneo letu! Nitapita kunywa maji baridi kwenu
there are so many fish in the sea
Nyingine haziliki!!!
kama zipi hizo?
Siwajui kwa majina ila wapo.....