Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 482
Kwa jinsi ulivyoandika ile post inelekea uchungu wako ni kwa kuwa ulimgharamia sana halafu kakuacha na sio kwamba ulimpenda sana. ...Na vile vile kumbuka kutoa ni moyo sio utajiri,,kuna watu wanakutana na machangu na wanawapa hizo nyumba(wengine kwa mapenzi ya kweli na wengine nipe nikupe).kuna swali lingine??
If you can put on my shoes mkuu!