Unafundisha kupenda wakati we hujajifunza???Baba mchungaji embu penda acha kujinyima raha duniani hapa!
Mzenji?
Hujanifahamu? Kesha chakachuliwa na Dr Malaria Sugu!
Sasa umeznza kunielewa.........Umpendaye kikweli akikutenda.......utaapa kwa miungu ya kwenu kuwa hutamsamehe na hutaki tena kumwona. Akija tena huna ujanja, unajimwaga kwake kama unaogelea vile......Ukimpotezea mazima ujue hukumpenda bali ulimtamani tu.
Hujanifahamu? Kesha chakachuliwa na Dr Malaria Sugu!
hivi kuna red label baridi na moto?Hizo tano za baridi?
Hivi hii kauli kizuri kula na nduguyo.............MS kawa nduguyo zaidi ya MTM?
ayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa :smow:Wanakudanganya Lizzy usiwasikilize hao hkuna connection wala connected dots ................
Yaani we babu kweli unastahili hivi haturuhusiwi kugonga thanks mara tatu ee. Ujuwe huwa najiulizaga huyu mtu nilikua najiona nampenda sana imewezekanaje kumsahau kiasi hiki? nilimpenda kweli au.
Sasa nimegundua kumbe nilimtamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiii, na nilichomtamaniaga siku hizi kimepotea lol.
Heri mimi kumbe sijawahi mpenda mtu kabla
Usilie Nnunu....na pole sana. bado hujampata umpendaye? ombea usimpate uendelee kutamani tu. Kupenda kubaya!
NI kweli kabisa wakati mwingine ni bora kutokumpata unayempenda,
halafu mwisho wa siku anakuacha njia panda.
Kuliko,
unampata mpenzi ambaye,
unampenda 100% +++++
unamwamini 100%+++++
unamthamini 100%+++++
unamsikiliza 100% +++++
unamvumilia 100%+++++
unamheshimu 100%++++
unajitoa mhanga kwa ajili yake 100%++++
unakuwa kiziwi kwake 100%++++++
unakuwa kipofu kwako 100%+++++
unakuwa bubu kwake 100%+++++
Lakini mwisho wa siku ANAKUACHA, tena bora akuache taratibu, bali anakuacha kufumba na kufumbua.Ukimuuliza anasema aah mi sina sababu ya msingi ila NIMEAMUA kukuacha ksb nimempata ninayempenda zaidi.HAPA NDIPO NAANZA KUAMINI KUWA SISI BINADAMU WAKATI MWINGINE NI KATILI SANA TENA ZAIDI YA MNYAMA MKALI SIMBA.
Rev. hebu achana na Asprin............. hizo jokes zenu mtatufanya wengine tuangushe machozi hapa na hivi yalivyo karibu tukiinamisha tu vichwa hayo.kikombe.I need to kick someone mazee!
Mmmmh.....Kimeumana......will be back...
Mate,Hivi hii kauli kizuri kula na nduguyo.............MS kawa nduguyo zaidi ya MTM?
Rev. hebu achana na Asprin............. hizo jokes zenu mtatufanya wengine tuangushe machozi hapa na hivi yalivyo karibu tukiinamisha tu vichwa hayo.kikombe.
Asprin tupe siri ya mafanikio maana ukisoma posts zako ni kama vile ulipenda pasipo but ukasurvive ulifanyafanyaje?
na ndio u-come back hivyo uje uokoe jahazi dadio nafwaMmmmh.....Kimeumana......will be back...
Niliendelea kupendwa nami nikaendelea kupenda...Tukaendelea kupendana na bado tunapendana....Tutaendelea kupendana.
Mate,
Mchungaji ni pacha wangu bana, hatuwezi kula pamoja bali twaweza kula nyumba moja
Pole kwa mara ya pili....Naona maumivu unayoyakabili hapo.
Babu yupo, incase of anything.
Hommie, Have you Ever..........hapa Bia na Mbuzi havihusiki lakini?
Mate,
Mchungaji ni pacha wangu bana, hatuwezi kula pamoja bali twaweza kula nyumba moja