Hawa mamilioni ya Waafrika waliopelekwa Uarabuni kuwa watumwa waliishia wapi?

Binti alipenda show kali mda wote anaaga kwao huko na kunifata mkoani mwishoni walivyogundua walitaka kuniua kwa vipigo na nusu wanitie ukilema polisi wetu nao waoga hamna msaada isingekuwa binti walikuwa waniue
Duuh hatari! Pole sana mkuu,wabaguzi sana wale watu
 
Duuh.....
 
Duh kwa hiyo kila muislamu ampende hadi Osama sio?

Ndio, na sio kuchukiana. Uislamu umetufundisha kupendana na sio kuchukiana, hata asiekua muislamu hatupaswi kumchukia, bali tuchukie matendo yake
 
Ndio, na sio kuchukiana. Uislamu umetufundisha kupendana na sio kuchukiana, hata asiekua muislamu hatupaswi kumchukia, bali tuchukie matendo yake
Kasome vita vya bard jinsi mudi alivohusudu vita na uvamizi na kuua watu kwa tamaa na mali. Udhalimu mwingi
 
Jiulize kwanza ni kwanini Watu weusi tu ndio waliofanywa Watumwa?

Unakua kuwa mpaka Leo Watu weusi ni watumwa hata katika nchi zao?

Wahindi wanawatumikisha sana watu weusi viwandani na kuwalipa elfu 80 mpaka elfu 60 kwa mwezi ndani ya nchi yao
 
Ubaguzi kwa watu wenye ngozi nyeusi upo ulimwengu mzima. Nenda marekani utakutana na racism , ulaya ubaguzi upo, china ubaguzi upo, urusi ubaguzi upo mpk watu weusi wanauliwa.
Mbona kama unawatetea waarabu ndugu. Tusidanganyane wazungu wana utu sana. Unaweza kupata girl friend au mke wa kizungu na mambo yakawa vema tu. Tumeishi huko na tumejionea wenyewe. Sasa kajaribu kuwa na girl friend au mke kwenye ardhi ya waarabu au wahindi uone. Au ndio kutetea ndugu zako katika imani?
 
Wazungu wana utu bhana waarabu na wahindi wale n zaidi ya washenzi

Wazuri kwa kuwaletea ushoga sio! Utaongea mengi sana lakini waarabu watabaki kuwa waarabu, hapo ulipo hata chembe ya ukarimu na roho nzuri huwafikii waarabu, pole sana, endelea kuumia na kuteseka.
 

Utu wa wazungu uko wapi? Wameuwa maelfu ya innocent people katika nchi za kiislamu, wanafundisha ushoga japo sio wote, sasa utu wao unatoka wapi!

Hakuna jamii watu wake wana roho nzuri, wana huruma kama waarabu, ongea sana ila waarabu wamebarikiwa
 
Ndio, na sio kuchukiana. Uislamu umetufundisha kupendana na sio kuchukiana, hata asiekua muislamu hatupaswi kumchukia, bali tuchukie matendo yake
Mna kauli moja hivi,muislam ndugu yake muislam
 
Utu wa wazungu uko wapi? Wameuwa maelfu ya innocent people katika nchi za kiislamu, wanafundisha ushoga japo sio wote, sasa utu wao unatoka wapi!

Hakuna jamii watu wake wana roho nzuri, wana huruma kama waarabu, ongea sana ila waarabu wamebarikiwa
Kwa mujibu wako ni sawa.
 
Baada ya utumwa,chakula cha 🦈.PapaπŸƒπŸ˜‚πŸ˜‚πŸƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…