Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Ni kweli mpira umeshikwa yaani mkono uliongeza ukubwa wa mwili. Lakini ni tukio lililotokea nje eneo la 18.Inauma sana asee, Refa anatoa maamuzi Kwa hisia ama kweli nchi hii Ina watu wa hovyo.
Maamuzi ya Refa kutoa penaiti dhidi ya Geita Gold hakika hayakuwa sawa. Mchezaji amepigiwa mpira ukafuata mkono lakini pia Kama haitoshi mchezaji alikuwa nje ya eneo la hatari. Aibu
Sisi hatuna shida ila tunataka tu mjue mnafanya maigizo.Poleni wanathimba
Ni mipango ni mipango ya unbitten.Inauma sana asee, Refa anatoa maamuzi kwa hisia, ama kweli nchi hii ina watu wa hovyo.
Maamuzi ya Refa kutoa penaiti dhidi ya Geita Gold hakika hayakuwa sawa. Mchezaji amepigiwa mpira ukafuata mkono lakini pia kama haitoshi mchezaji alikuwa nje ya eneo la hatari. Aibu.
Hawa jamaa wanatufanya tuonekane taifa la hovyo.Ni mipango ni mipango ya unbitten.
Kimataifa watachapika hadi wachakae.
Ndio maana wanalitea aibu Taifa kwenye mechi za kimataifa.
Unbitten unanunuliwa.
Kama kawaida:Inauma sana asee, Refa anatoa maamuzi kwa hisia, ama kweli nchi hii ina watu wa hovyo.
Maamuzi ya Refa kutoa penaiti dhidi ya Geita Gold hakika hayakuwa sawa. Mchezaji amepigiwa mpira ukafuata mkono lakini pia kama haitoshi mchezaji alikuwa nje ya eneo la hatari. Aibu.
Mkuu unailaumu Yanga kwa lipi?? Makosa ya referee hayo kama Referee alivyowabeba goli lile na Prisons kule mbeya, au umesahauSisi hatuna shida ila tunataka tu mjue mnafanya maigizo.
Sisi tupo kimataifa kuonesha uwezo wetu
Acha kukaza shingoFilimbi umeikalia PULIZA
Kwa Nini Yanga anabebwa kwenye mbeleko ambayo hata kipofu anaona aibu? Kuna haja ya TAKUKURU kuingilia kati maana hii Ni harufu ya bahasha la kaki kwenye umati wa watu.View attachment 2401276