Hawa Marefa wasipodhibitiwa watatuharibia mpira

Hawa Marefa wasipodhibitiwa watatuharibia mpira

Mpaka sasa yanga bado hawaujaufanyia kazi ushamba wa pitso mosimane aliyekuja kwenye kilele cha siku ya mwanachi.
 
Kwa Nini Yanga anabebwa kwenye mbeleko ambayo hata kipofu anaona aibu? Kuna haja ya TAKUKURU kuingilia kati maana hii Ni harufu ya bahasha la kaki kwenye umati wa watu.View attachment 2401276
giphy.gif
 
Refa alidhamiria kutoa penati dakika ya 44' kuazimisha unbeaten ya mchongo
 
Msisahau kesho mna kibarua na Mtibwa, kila mtu ashinde mechi zake, gape ni point 6.
 

Attachments

  • IMG-20221029-WA0011.jpg
    IMG-20221029-WA0011.jpg
    69.5 KB · Views: 1
Back
Top Bottom