Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]leo jiesiemu kafanya muamala wa kufuru,refa akaona liwalo na liwe potelea mbali acha nitoe goli.
Kwa Nini Yanga anabebwa kwenye mbeleko ambayo hata kipofu anaona aibu? Kuna haja ya TAKUKURU kuingilia kati maana hii Ni harufu ya bahasha la kaki kwenye umati wa watu.View attachment 2401276
Hayajapungua, kuna ilr mechi ya Prisons vs simba goli halikua sahihi pia kuna ile mechi mayele amanyimwa goli mashabiki wa simba wakafurahi ili akose kiatu.Haya makosa yalikuwa yamepungua,ila huyu refa kanishangaza
Wazee wa hapahapa aka mbeleko fcHayajapungua, kuna ilr mechi ya Prisons vs simba goli halikua sahihi pia kuna ile mechi mayele amanyimwa goli mashabiki wa simba wakafurahi ili akose kiatu.
Kamani hivyo simba kashabebwa mara 800 lakini tumelalamika bila mafanikio yeyoteHii penati ya Yanga dhidi ya Geita mtu ameunawa mpira nje ya eneo la 18 kabisa kisha refa akaamua iwe penati, siyo sawa hawa waamuzi wetu hawa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]leo jiesiemu kafanya muamala wa kufuru,refa akaona liwalo na liwe potelea mbali acha nitoe goli.