Hawa Marefa wasipodhibitiwa watatuharibia mpira

Mpaka sasa yanga bado hawaujaufanyia kazi ushamba wa pitso mosimane aliyekuja kwenye kilele cha siku ya mwanachi.
 
Refa alidhamiria kutoa penati dakika ya 44' kuazimisha unbeaten ya mchongo
 
Msisahau kesho mna kibarua na Mtibwa, kila mtu ashinde mechi zake, gape ni point 6.
 

Attachments

  • IMG-20221029-WA0011.jpg
    69.5 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…