Hawa ndio Hizbollah waliokuwa wanasifiwa kwa ile vita ya 2006?

Hawa ndio Hizbollah waliokuwa wanasifiwa kwa ile vita ya 2006?

Hahahaaa!

Hawana lolote hao.

Ukweli ni kwamba Wakristo na Wayahudi ni akili kubwa sana.
Huwa wanasema ukiishii nje upata uelewa mwingine tofauti wa mambo lakini kama ni mjinga ni mjinga tu hata uishi Mars.

Sasa ukristo na uyahudi una husiana nini na akili ?

Afrika yamejaa majitu majinga yanayo uziwa udongo wa upako hawa ni vichaa huwezi ita akili kubwa
 
Iran inamtisha Israel kuliko Misri.
Usijitoe ufahamu.
Hujui unachoongea...anatishwaje na nchi iliyopo km 1500 kutoka kwao, na ambayo haina uwezo wa kuivamia?

Egypt ndio ilikuwa tishio kubwa kwa Israel, hawa wengine ni wasumbufu tu, sio tishio la uhai wa taifa la Israel.
 
Kila mwaka tulipokuwa tunaandika juu ya umahiri wa Israel tuliambiwa kiboko yake ni Hizbollah na kwamba wayahudi walipigwa mwaka 2006.

Sasa miaka 18 baadae ndio hawa waliokuwa wanasifiwa? Ninaona wakati ule Israel iliwaachia wakajiona wako vizuri lakini safari hii wayahudi wameona wamalize mchezo.

Poleni sana THE BIG SHOW FaizaFoxy Ritz
Adiosamigo Malaria 2

Kimbilieni kwa Yesu mpate wokovu maana Allah ameshindwa.

PIA SOMA
- Breaking News: - Israel yathibitisha kuuliwa kwa Hassan Nasrallah Kiongozi wa Hezbollah
Ni kweli safari hii nchi za magharibi zote zinamsaidia muisrael zote ziko uwanja wa vita sio kama 2006 alipelekewa silaha tu sasa wanamsaidia kukusanya taarifa na kumuelekeza nini afanye ila yeye mwenyewe peke yake si lolote na inaonekana pale beirut sio sawa na gaza kule gaza hakuna ofisi za balozi za kuwa na watu wa kukusaidia on ground ila kwa lebanon nchi nyingi za magharibi zina balozi na zimefikia kuendesha mambo dhidi ya hizbullah likely na kumsaidia muisrael kufanikisha yote na kuna uwezekano mkubwa baadhi ya nchi zitachafukwa na kufunga hizo balozi. Ila je mashariki ya kati ndio inaingia kwenye moto na kuanza vurugu zaidi ngoja tuone hekma za viongozi wa eneo.
 
Hujui unachoongea...anatishwaje na nchi iliyopo km 1500 kutoka kwao, na ambayo haina uwezo wa kuivamia?

Egypt ndio ilikuwa tishio kubwa kwa Israel, hawa wengine ni wasumbufu tu, sio tishio la uhai wa taifa la Israel.
Usiwe unaropoka kama umelewa gongo kichaa wewe.
Iran ni tishio kwa Israel kwasababu zifuatazo;
1)Iran ndio nchi yenye technology ya silaha kushindana na Israel ukanda huo wa mashariki ya kati.Na ana silaha nzito za kutoka Iran kwenda Israel za maangamizi,chukulia makombora aliyorusha May 300 ambayo UK,USA walimsaidia Israel kuyadungua.
2)Iran ndiye baba wa axis of resistance wa makundi ya washika silaha yote ikiwemo Hizbollah na Houthi na ndio makundi yanayomsumbua Israel.
3)Iran ana technology ya nuclear sio tu nishati hadi ya kuunda silaha.
*Ndio maana ni tishio kwa Israel.
Ndio maana siku zote unamsikia Israel akilalamika juu ya Iran.
 
Kinacho nistaajabisha ni vile nchi kadhaa watu kuandamana na kufanya sherehe kubwa baada ya huyu kiongozi kufa..

Kuna namna walikuwa hawana msaada kwa muda mrefu watu wa mashariki ya kati juu ya utawala wa hili kunfi la magaidi.

Tazama Pakistan, Syria na nchi nyingjne za qaarabu wanavyo shangilia maswali nayopata ni kwa nini Watanzania haswa wenye Itikikadi za Sunni kwa sehemu kubwa nao wanalalamika.
 
Usiwe unaropoka kama umelewa gongo kichaa wewe.
Iran ni tishio kwa Israel kwasababu zifuatazo;
1)Iran ndio nchi yenye technology ya silaha kushindana na Israel ukanda huo wa mashariki ya kati.Na ana silaha nzito za kutoka Iran kwenda Israel za maangamizi,chukulia makombora aliyorusha May 300 ambayo UK,USA walimsaidia Israel kuyadungua.
2)Iran ndiye baba wa axis of resistance wa makundi ya washika silaha yote ikiwemo Hizbollah na Houthi na ndio makundi yanayomsumbua Israel.
3)Iran ana technology ya nuclear sio tu nishati hadi ya kuunda silaha.
*Ndio maana ni tishio kwa Israel.
Ndio maana siku zote unamsikia Israel akilalamika juu ya Iran.
1. Iran hana hizo silaha, kama angekuwa nazo angekuwa ameshazitumia.
2. Naona umekubaliana na mimi kwamba ni "wasumbufu" tu, na sio tishio la uhai wa Israel.
3. Israel ndio anaongoza kwa kuwa na silaha nyingi za nuclear mashariki ya kati.
 
Aisee kilichobaki naona tu Wachina wavae kobazi na vilemba waingie front ndo namna pekee ya kuwasaidia hawa Waarabu wa hapo middle East,

Ndo atleast Israel atajiona yupo vitani.
 
Kila mwaka tulipokuwa tunaandika juu ya umahiri wa Israel tuliambiwa kiboko yake ni Hizbollah na kwamba wayahudi walipigwa mwaka 2006.

Sasa miaka 18 baadae ndio hawa waliokuwa wanasifiwa? Ninaona wakati ule Israel iliwaachia wakajiona wako vizuri lakini safari hii wayahudi wameona wamalize mchezo.

Poleni sana THE BIG SHOW FaizaFoxy Ritz
Adiosamigo Malaria 2

Kimbilieni kwa Yesu mpate wokovu maana Allah ameshindwa.

PIA SOMA
- Breaking News: - Israel yathibitisha kuuliwa kwa Hassan Nasrallah Kiongozi wa Hezbollah
Sio tulishindwa ila sasa kiongozi huyu wa Israel hana huruma na mhuni yeyote duniani.ndege ilibeba BCU-13 Bunker Buster ilipolidondosha na kumfuata handakini urafu wa minazi ya kisiju, Israel ilituma ndege nyingine 26 kupiga mji mzima kwa zamu kuhakikisha Hassan hakimbii wala hachomozi.Hassan kapata ajira mpya ya ofisa habari mkimyaaaaa . hatosikika milele!
 
1. Iran hana hizo silaha, kama angekuwa nazo angekuwa ameshazitumia.
2. Naona umekubaliana na mimi kwamba ni "wasumbufu" tu, na sio tishio la uhai wa Israel.
3. Israel ndio anaongoza kwa kuwa na silaha nyingi za nuclear mashariki ya kati.
safi sana usemayo mkuu mkuu baba! Iran kwa Israel ni sawasawa na kisoka somalia na Brazil
 
Usiwe unaropoka kama umelewa gongo kichaa wewe.
Iran ni tishio kwa Israel kwasababu zifuatazo;
1)Iran ndio nchi yenye technology ya silaha kushindana na Israel ukanda huo wa mashariki ya kati.Na ana silaha nzito za kutoka Iran kwenda Israel za maangamizi,chukulia makombora aliyorusha May 300 ambayo UK,USA walimsaidia Israel kuyadungua.
2)Iran ndiye baba wa axis of resistance wa makundi ya washika silaha yote ikiwemo Hizbollah na Houthi na ndio makundi yanayomsumbua Israel.
3)Iran ana technology ya nuclear sio tu nishati hadi ya kuunda silaha.
*Ndio maana ni tishio kwa Israel.
Ndio maana siku zote unamsikia Israel akilalamika juu ya Iran.
Siwez kuwaamini tena nyie kubazi kwa lolote....mliisifia sanaa Hezbola. Kumbe ni mdebwedo tu...hata hao Iran hamna kitu...ndo maana baada ya gaid Hassan kudedishwa wamemficha kweny mashimbo huyo hayawani Ayatollah
 
Usiwe unaropoka kama umelewa gongo kichaa wewe.
Iran ni tishio kwa Israel kwasababu zifuatazo;
1)Iran ndio nchi yenye technology ya silaha kushindana na Israel ukanda huo wa mashariki ya kati.Na ana silaha nzito za kutoka Iran kwenda Israel za maangamizi,chukulia makombora aliyorusha May 300 ambayo UK,USA walimsaidia Israel kuyadungua.
2)Iran ndiye baba wa axis of resistance wa makundi ya washika silaha yote ikiwemo Hizbollah na Houthi na ndio makundi yanayomsumbua Israel.
3)Iran ana technology ya nuclear sio tu nishati hadi ya kuunda silaha.
*Ndio maana ni tishio kwa Israel.
Ndio maana siku zote unamsikia Israel akilalamika juu ya Iran.
Sema axis of evil
 
1. Iran hana hizo silaha, kama angekuwa nazo angekuwa ameshazitumia.
2. Naona umekubaliana na mimi kwamba ni "wasumbufu" tu, na sio tishio la uhai wa Israel.
3. Israel ndio anaongoza kwa kuwa na silaha nyingi za nuclear mashariki ya kati.
*Nani kakwambia Iran hana silaha!?
Makombora aliyorusha Yemeni yakashindwa kuwa intercepted kutoka Yemeni hadi Tel Aviv lile hypersonic missile ni Iranian made.
Usijitoe akili kijana.Makombora ya Faad ambayo Israel alishindwa kuyadungua kwa iron dome yalipotumiwa na Hizbollah ni Iranian made.Iran ana high precision guided missiles kuliko mtu yeyote hapo middle east,tena yana uwezo wa kukwepa interceptors.Kutokuyatumia ana sababu za kidiplomasia,ni mwaka wa 41 sasa yupo katika vikwazo vya kiuchumi,anajitahidi kupambana ajiondoe katika vikwazo hivyo vya kiuchumi ndio maana unamuona haendekezi direct war.
*Hivi bro unajielewa kweli!?
Nahisi umedata wewe,unajua imegharimu maisha ya raia wangapi na askari wangapi kwa Iran kufadhili hayo makundi??
Nahisi Israel akikusikia anaweza kukuchapa mangumi.
*Soma kwa uelewa, nimekwambia Iran anayo technology ya nuclear sio tu ya nishati bali hadi ya kuunda silaha.Na kinu cha Isfahan kimevuka asilimia 38 ya urutubishaji,inamaana kina uwezo wa kuunda silaha.UN nuclear watchdog walitoa ripoti mwaka huu kipindi wanamuondolea vikwazo vya silaha.Inamaana kama akiunda nuke weapon anakua tishio zaidi kwasababu atakua ana silaha sawia na USA na huyo Iran hakuna cha kumrudisha nyuma.
Ndio maana kila siku Netanyahu akiwa UNSC analalamika msiruhusu Iran aunde silaha hususan za nuclear.
 
Back
Top Bottom