Hawa ndio Hizbollah waliokuwa wanasifiwa kwa ile vita ya 2006?

Hawa ndio Hizbollah waliokuwa wanasifiwa kwa ile vita ya 2006?

Kila mwaka tulipokuwa tunaandika juu ya umahiri wa Israel tuliambiwa kiboko yake ni Hizbollah na kwamba wayahudi walipigwa mwaka 2006.

Sasa miaka 18 baadae ndio hawa waliokuwa wanasifiwa? Ninaona wakati ule Israel iliwaachia wakajiona wako vizuri lakini safari hii wayahudi wameona wamalize mchezo.

Poleni sana THE BIG SHOW FaizaFoxy Ritz
Adiosamigo Malaria 2

Kimbilieni kwa Yesu mpate wokovu maana Allah ameshindwa.

PIA SOMA
- Breaking News: - Israel yathibitisha kuuliwa kwa Hassan Nasrallah Kiongozi wa Hezbollah
Iliwaachia wapigwe hivi wewe unaweza achia ufumuliwe marinda?
 
Tena 2006 Israel alipiga kila sehem mpaka barabara Bora sasa hiv mtu anapigwa kimkakati
 
Kwasasa lazima kila mtu atambue kwamba yupo Mungu mmoja tu na jina lake ni Yesu Kristo. Hiyo miungu ya baal, dagon na allah yote itakuja kukiri kwamba Yesu Kristo ni Bwana na Mungu mkuu.
 
*Nani kakwambia Iran hana silaha!?
Makombora aliyorusha Yemeni yakashindwa kuwa intercepted kutoka Yemeni hadi Tel Aviv lile hypersonic missile ni Iranian made.
Usijitoe akili kijana.Makombora ya Faad ambayo Israel alishindwa kuyadungua kwa iron dome yalipotumiwa na Hizbollah ni Iranian made.Iran ana high precision guided missiles kuliko mtu yeyote hapo middle east,tena yana uwezo wa kukwepa interceptors.Kutokuyatumia ana sababu za kidiplomasia,ni mwaka wa 41 sasa yupo katika vikwazo vya kiuchumi,anajitahidi kupambana ajiondoe katika vikwazo hivyo vya kiuchumi ndio maana unamuona haendekezi direct war.
*Hivi bro unajielewa kweli!?
Nahisi umedata wewe,unajua imegharimu maisha ya raia wangapi na askari wangapi kwa Iran kufadhili hayo makundi??
Nahisi Israel akikusikia anaweza kukuchapa mangumi.
*Soma kwa uelewa, nimekwambia Iran anayo technology ya nuclear sio tu ya nishati bali hadi ya kuunda silaha.Na kinu cha Isfahan kimevuka asilimia 38 ya urutubishaji,inamaana kina uwezo wa kuunda silaha.UN nuclear watchdog walitoa ripoti mwaka huu kipindi wanamuondolea vikwazo vya silaha.Inamaana kama akiunda nuke weapon anakua tishio zaidi kwasababu atakua ana silaha sawia na USA na huyo Iran hakuna cha kumrudisha nyuma.
Ndio maana kila siku Netanyahu akiwa UNSC analalamika msiruhusu Iran aunde silaha hususan za nuclear.
Umeona uwezo wa Iran ulivyo mdogo!
 
Wamefagia IDF 20 leo waliojaribu kuvuka mpaka
More than 20 terrorist Zionist soldiers fell into a Hezbollah ambush when they tried to infiltrate Lebanon. The operation resulted in the killing and wounding of all the soldiers. To be continued 🇵🇸🇱🇧🔻
 
'Katikati yetu na nyie ni uwanja wa vita'

Between us and you is the battlefield.- בינינו שדה הקרב

Notes:


0:02 - In 1982, you reached to Beirut in 7 days.
0:14 - In 2006, you reached Wadi Al-Hjeir in 33 days.
0:31 - As for today..
0:34 - Day 1, 2, 3, 4 - 0 kilometers away from the borders
0:55 - Day 20 - 0 kilometers away from the borders
0:48 - A gathering of enemy soldiers
1:00 - Day 26 - 0 kilometers away from the borders
1:12 - The escaping of the soldiers from the targeting site
1:16 - Retreat of the forces after retrieving the casualties.
1:17 - Day 40 - You are still fighting on the outskirts of the border villages.
1:22 - Between us and you is the battlefield.

#The_Battle_of_the_Formidable_in_Might
 
Kwasasa lazima kila mtu atambue kwamba yupo Mungu mmoja tu na jina lake ni Yesu Kristo. Hiyo miungu ya baal, dagon na allah yote itakuja kukiri kwamba Yesu Kristo ni Bwana na Mungu mkuu.
Yesu huyu aliyepigiliwa misumali na viumbe wake!?
Hata ningekua kichaa nisingekubali utopolo wa namna hii.
 
Takwimu gani... unajua maana ya efficiency?

Chukua results gawanya kwa efforts ndio uone
Bado unaendelea kuropoka aisee.
Hakuna kile asichofanya Iran kikakosa efficiency.
Mfano wa kitendo kimoja tu,shambulio la April la Iran dhidi ya Israel mataifa kama USA,UK,FRANCE NA JORDAN yalisaidia kulizima hilo shambulio.
Kitendo cha mataifa makubwa matatu USA,UK,France kuingilia kuzima shambulio hilo linamaanisha kuwa Iran ana capability kubwa ambayo Israel kamwe hawezi kuizuia peke yake.
Jiulize hayo mataifa yasingeshiriki Israel ingekuaje.
 
Bado unaendelea kuropoka aisee.
Hakuna kile asichofanya Iran kikakosa efficiency.
Mfano wa kitendo kimoja tu,shambulio la April la Iran dhidi ya Israel mataifa kama USA,UK,FRANCE NA JORDAN yalisaidia kulizima hilo shambulio.
Kitendo cha mataifa makubwa matatu USA,UK,France kuingilia kuzima shambulio hilo linamaanisha kuwa Iran ana capability kubwa ambayo Israel kamwe hawezi kuizuia peke yake.
Jiulize hayo mataifa yasingeshiriki Israel ingekuaje.
You talk too much....

Leta takwimu.

Makombora mangapi yametupwa?
Mangapi yalifika target?
Yamesababisha madhara kiasi gani?

Vinginevyo unafurahisha genge.

Narudia tena, Iran ina efforts nyingi, matokeo sifuri.

Bora hata Hamas
 
2006 technology ya udukuzi ilikuwa bado changa sasa hivi mwenye tech ndio anashinda.
Chukua soda bia chama vocha nakuja kukulipia n hv nwenye techn adv ndio mshindi uzur ni kua us ndo alihitimisha kila kitu yaliobakia ni kuchoshana na yy alichukua experience fro torabora Afghanistan
 
You talk too much....

Leta takwimu.

Makombora mangapi yametupwa?
Mangapi yalifika target?
Yamesababisha madhara kiasi gani?

Vinginevyo unafurahisha genge.

Narudia tena, Iran ina efforts nyingi, matokeo sifuri.

Bora hata Hamas
Unaropoka wewe pia hujielewi.
Narudia tena kitendo cha USA,UK na France kujumuika kuzuia shambulizi moja hiyo inajulisha Iran ana capability.
Ingekua Iran ni incapable ni taifa moja pekee lingetumika kuzuia shambulizi.
Zumbukuku wewe sibishani na zumbukuku.
Kakojoe ulale.
 
Unaropoka wewe pia hujielewi.
Narudia tena kitendo cha USA,UK na France kujumuika kuzuia shambulizi moja hiyo inajulisha Iran ana capability.
Ingekua Iran ni incapable ni taifa moja pekee lingetumika kuzuia shambulizi.
Zumbukuku wewe sibishani na zumbukuku.
Kakojoe ulale.
Ukishaona mtu anaongea sana na lugha za ajabu ajabu ujue facts haziko upande wake

Unaruhusiwa kuchukua nchi za magharibi, lakini usiseme uongo kuhusu uwezo wao.
 
Ukishaona mtu anaongea sana na lugha za ajabu ajabu ujue facts haziko upande wake

Unaruhusiwa kuchukua nchi za magharibi, lakini usiseme uongo kuhusu uwezo wao.
Huna unalojua pia wewe ni mgumu kuelewa.
Narudia tena kama Iran ingekua na uwezo mdogo basi USA,UK na France wasingeungana kuzuia shambulizi.
Mie huwa nikiona mtu mbishi humpa tu taarifa.
HALAFU KAA JIULIZE KWA UWEZO WA KIJESHI WA USA NA UK JE NI WA KUUNGANA KUZUIA SHAMBULIZI MOJA LA IRAN KUELEKEA ISRAEL!???
Unapoongea jua unaongea na watu wanaojua na wanaojielewa kuliko wewe,sawa kijana!?
Kama Israel angekua anajiweza na kama Iran ingekua na uwezo mdogo MAREKANI NA UINGEREZA WASINGEINGILIA KATI TENA WOTE KWA PAMOJA.
Screenshot_20241111-215211.jpg
 
Back
Top Bottom