Hawa ndio Hizbollah waliokuwa wanasifiwa kwa ile vita ya 2006?

Hawa ndio Hizbollah waliokuwa wanasifiwa kwa ile vita ya 2006?

Huna unalojua pia wewe ni mgumu kuelewa.
Narudia tena kama Iran ingekua na uwezo mdogo basi USA,UK na France wasingeungana kuzuia shambulizi.
Mie huwa nikiona mtu mbishi humpa tu taarifa.
HALAFU KAA JIULIZE KWA UWEZO WA KIJESHI WA USA NA UK JE NI WA KUUNGANA KUZUIA SHAMBULIZI MOJA LA IRAN KUELEKEA ISRAEL!???
Unapoongea jua unaongea na watu wanaojua na wanaojielewa kuliko wewe,sawa kijana!?
Kama Israel angekua anajiweza na kama Iran ingekua na uwezo mdogo MAREKANI NA UINGEREZA WASINGEINGILIA KATI TENA WOTE KWA PAMOJA.
View attachment 3149726
Tatizo una-focus kwenye "nchi ngapi zilishiriki kuzuia makombora"... unashindwa kuangalia uhalisia kwamba "makombora yalizuiwa".

Kitu cha muhimu ni uwezo wa Iran kuleta madhara kwa Israel. Uwezo huo hawana, hayo makombora yao hayana huo uwezo. Hilo ndio kubwa, nani alishiriki or not; sio jambo la muhimu sana.

Hakuna jambo la ajabu walilofanya USA, UK na wenzao; wenzako wana siasa pia. Kuisaida Israel ni sehemu ya domestic politics.

Mwisho wa siku, ukweli unabaki. Iran haiwezi kuidhuru Israel.
 
Tatizo una-focus kwenye "nchi ngapi zilishiriki kuzuia makombora"... unashindwa kuangalia uhalisia kwamba "makombora yalizuiwa".

Kitu cha muhimu ni uwezo wa Iran kuleta madhara kwa Israel. Uwezo huo hawana, hayo makombora yao hayana huo uwezo. Hilo ndio kubwa, nani alishiriki or not; sio jambo la muhimu sana.

Hakuna jambo la ajabu walilofanya USA, UK na wenzao; wenzako wana siasa pia. Kuisaida Israel ni sehemu ya domestic politics.

Mwisho wa siku, ukweli unabaki. Iran haiwezi kuidhuru Israel.
Still unaropoka😆😆😆😆😆.
Yani USA ijisumbue kwenda kupeleka manowari kuilinda Israel ilhali inajua kuwa Iran haiwezi kuidhuru Israel!??
😆😆😆😆
Mbona USA haikupeleka jeshi na silaha kuilinda Israel dhidi ya Syria na iilinde dhidi ya Iran!??
Utakaa sawa tu tulia nikuletee madhara ya shambulio.
Tena hilo ni la April la Oktoba ndio lilikua deadliest hata hao USA walishindwa kulizuia.
 
Tatizo una-focus kwenye "nchi ngapi zilishiriki kuzuia makombora"... unashindwa kuangalia uhalisia kwamba "makombora yalizuiwa".

Kitu cha muhimu ni uwezo wa Iran kuleta madhara kwa Israel. Uwezo huo hawana, hayo makombora yao hayana huo uwezo. Hilo ndio kubwa, nani alishiriki or not; sio jambo la muhimu sana.

Hakuna jambo la ajabu walilofanya USA, UK na wenzao; wenzako wana siasa pia. Kuisaida Israel ni sehemu ya domestic politics.

Mwisho wa siku, ukweli unabaki. Iran haiwezi kuidhuru Israel.
Wewe utaelewa tu pasi na kulazimisha.Tukimaliza hili tujadili shambulio la Oktoba mosi.Maana hili ni la April.Halafu useme Iran ina au haina uwezo.
Screenshot_20241111-222116.jpg
Screenshot_20241111-222204.jpg
 
Tupe summary

Effort
--- Makombora mangapi?
Results
--- Wamekufa wa Israel wangapi?
--- Vitu kiasi gani vimeharibiwa?
Nimekuletea habari nzima unataka nini tena!??
Bado unatafuta kichaka cha kujificha!?
Pia usisahau kuwa Israel alikingiwa kifua na mataifa matatu makubwa ili kupunguza maafa.

Kubali huna hoja kijana.
Vipi tuzungumzie shambulio la Oktoba mosi na madhara yake!?
 
Nimekuletea habari nzima unataka nini tena!??
Bado unatafuta kichaka cha kujificha!?
Pia usisahau kuwa Israel alikingiwa kifua na mataifa matatu makubwa ili kupunguza maafa.

Kubali huna hoja kijana.
Vipi tuzungumzie shambulio la Oktoba mosi na madhara yake!?

Nimekwambia mara kadhaa, you talk too much....

Sept 11, 2001 in US - 3,000 dead
Oct 7 2023 in Israel - 1,200 dead + 250 hostages

Sema madhara aliyoleta Iran na juhudi zake
 
Nimekwambia mara kadhaa, you talk too much....

Sept 11, 2001 in US - 3,000 dead
Oct 7 2023 in Israel - 1,200 dead + 250 hostages

Sema madhara aliyoleta Iran na juhudi zake
Hoja huna,ila utakaa sawa tu.
Unajua kwanini nimekuletea hiyo article!?
Embu isome tena.
SITAKI KUONGEA NA WEWE SOMA ARTICLE HIYO,JE HUONI SEHEMU YA SIGNIFICANT DAMAGES!??
PUNGUZA UFALA BASI.
Soma outcomes zinasemaje.
Screenshot_20241111-222116.jpg
Screenshot_20241111-222204.jpg
 
Back
Top Bottom