Huwa wanasema ukiishii nje upata uelewa mwingine tofauti wa mambo lakini kama ni mjinga ni mjinga tu hata uishi Mars.Hahahaaa!
Hawana lolote hao.
Ukweli ni kwamba Wakristo na Wayahudi ni akili kubwa sana.
Bora umenisaidia. Hawa jamaa wapewe pole kwa msiba.Sasa hicho kikosi mbona kimeleta balaa kwa hezibollah ?
Hujui unachoongea...anatishwaje na nchi iliyopo km 1500 kutoka kwao, na ambayo haina uwezo wa kuivamia?Iran inamtisha Israel kuliko Misri.
Usijitoe ufahamu.
Mwamba ameshafukwa sana.Babu Neta jana kawaambia kuwa atampiga yoyote pale Middle East
Alla yupo busy anafyatua mabikiria kwa ajili ya wafuasi wake.TUMESHAPOA. TUNAMUACHI ALLA TU. INAUMIZA SANA. KILA TUNAPOTEGEMEA PANATUANGUSHA.
Ni kweli safari hii nchi za magharibi zote zinamsaidia muisrael zote ziko uwanja wa vita sio kama 2006 alipelekewa silaha tu sasa wanamsaidia kukusanya taarifa na kumuelekeza nini afanye ila yeye mwenyewe peke yake si lolote na inaonekana pale beirut sio sawa na gaza kule gaza hakuna ofisi za balozi za kuwa na watu wa kukusaidia on ground ila kwa lebanon nchi nyingi za magharibi zina balozi na zimefikia kuendesha mambo dhidi ya hizbullah likely na kumsaidia muisrael kufanikisha yote na kuna uwezekano mkubwa baadhi ya nchi zitachafukwa na kufunga hizo balozi. Ila je mashariki ya kati ndio inaingia kwenye moto na kuanza vurugu zaidi ngoja tuone hekma za viongozi wa eneo.Kila mwaka tulipokuwa tunaandika juu ya umahiri wa Israel tuliambiwa kiboko yake ni Hizbollah na kwamba wayahudi walipigwa mwaka 2006.
Sasa miaka 18 baadae ndio hawa waliokuwa wanasifiwa? Ninaona wakati ule Israel iliwaachia wakajiona wako vizuri lakini safari hii wayahudi wameona wamalize mchezo.
Poleni sana THE BIG SHOW FaizaFoxy Ritz
Adiosamigo Malaria 2
Kimbilieni kwa Yesu mpate wokovu maana Allah ameshindwa.
PIA SOMA
- Breaking News: - Israel yathibitisha kuuliwa kwa Hassan Nasrallah Kiongozi wa Hezbollah
Usiwe unaropoka kama umelewa gongo kichaa wewe.Hujui unachoongea...anatishwaje na nchi iliyopo km 1500 kutoka kwao, na ambayo haina uwezo wa kuivamia?
Egypt ndio ilikuwa tishio kubwa kwa Israel, hawa wengine ni wasumbufu tu, sio tishio la uhai wa taifa la Israel.
1. Iran hana hizo silaha, kama angekuwa nazo angekuwa ameshazitumia.Usiwe unaropoka kama umelewa gongo kichaa wewe.
Iran ni tishio kwa Israel kwasababu zifuatazo;
1)Iran ndio nchi yenye technology ya silaha kushindana na Israel ukanda huo wa mashariki ya kati.Na ana silaha nzito za kutoka Iran kwenda Israel za maangamizi,chukulia makombora aliyorusha May 300 ambayo UK,USA walimsaidia Israel kuyadungua.
2)Iran ndiye baba wa axis of resistance wa makundi ya washika silaha yote ikiwemo Hizbollah na Houthi na ndio makundi yanayomsumbua Israel.
3)Iran ana technology ya nuclear sio tu nishati hadi ya kuunda silaha.
*Ndio maana ni tishio kwa Israel.
Ndio maana siku zote unamsikia Israel akilalamika juu ya Iran.
Sio tulishindwa ila sasa kiongozi huyu wa Israel hana huruma na mhuni yeyote duniani.ndege ilibeba BCU-13 Bunker Buster ilipolidondosha na kumfuata handakini urafu wa minazi ya kisiju, Israel ilituma ndege nyingine 26 kupiga mji mzima kwa zamu kuhakikisha Hassan hakimbii wala hachomozi.Hassan kapata ajira mpya ya ofisa habari mkimyaaaaa . hatosikika milele!Kila mwaka tulipokuwa tunaandika juu ya umahiri wa Israel tuliambiwa kiboko yake ni Hizbollah na kwamba wayahudi walipigwa mwaka 2006.
Sasa miaka 18 baadae ndio hawa waliokuwa wanasifiwa? Ninaona wakati ule Israel iliwaachia wakajiona wako vizuri lakini safari hii wayahudi wameona wamalize mchezo.
Poleni sana THE BIG SHOW FaizaFoxy Ritz
Adiosamigo Malaria 2
Kimbilieni kwa Yesu mpate wokovu maana Allah ameshindwa.
PIA SOMA
- Breaking News: - Israel yathibitisha kuuliwa kwa Hassan Nasrallah Kiongozi wa Hezbollah
safi sana usemayo mkuu mkuu baba! Iran kwa Israel ni sawasawa na kisoka somalia na Brazil1. Iran hana hizo silaha, kama angekuwa nazo angekuwa ameshazitumia.
2. Naona umekubaliana na mimi kwamba ni "wasumbufu" tu, na sio tishio la uhai wa Israel.
3. Israel ndio anaongoza kwa kuwa na silaha nyingi za nuclear mashariki ya kati.
Siwez kuwaamini tena nyie kubazi kwa lolote....mliisifia sanaa Hezbola. Kumbe ni mdebwedo tu...hata hao Iran hamna kitu...ndo maana baada ya gaid Hassan kudedishwa wamemficha kweny mashimbo huyo hayawani AyatollahUsiwe unaropoka kama umelewa gongo kichaa wewe.
Iran ni tishio kwa Israel kwasababu zifuatazo;
1)Iran ndio nchi yenye technology ya silaha kushindana na Israel ukanda huo wa mashariki ya kati.Na ana silaha nzito za kutoka Iran kwenda Israel za maangamizi,chukulia makombora aliyorusha May 300 ambayo UK,USA walimsaidia Israel kuyadungua.
2)Iran ndiye baba wa axis of resistance wa makundi ya washika silaha yote ikiwemo Hizbollah na Houthi na ndio makundi yanayomsumbua Israel.
3)Iran ana technology ya nuclear sio tu nishati hadi ya kuunda silaha.
*Ndio maana ni tishio kwa Israel.
Ndio maana siku zote unamsikia Israel akilalamika juu ya Iran.
Inamtisha kwa maneno ?Iran inamtisha Israel kuliko Misri.
Usijitoe ufahamu.
Sema axis of evilUsiwe unaropoka kama umelewa gongo kichaa wewe.
Iran ni tishio kwa Israel kwasababu zifuatazo;
1)Iran ndio nchi yenye technology ya silaha kushindana na Israel ukanda huo wa mashariki ya kati.Na ana silaha nzito za kutoka Iran kwenda Israel za maangamizi,chukulia makombora aliyorusha May 300 ambayo UK,USA walimsaidia Israel kuyadungua.
2)Iran ndiye baba wa axis of resistance wa makundi ya washika silaha yote ikiwemo Hizbollah na Houthi na ndio makundi yanayomsumbua Israel.
3)Iran ana technology ya nuclear sio tu nishati hadi ya kuunda silaha.
*Ndio maana ni tishio kwa Israel.
Ndio maana siku zote unamsikia Israel akilalamika juu ya Iran.
Nani analalamika kila siku kuhusu mwenzake kati ya Iran na Israel!?Inamtisha kwa maneno ?
*Nani kakwambia Iran hana silaha!?1. Iran hana hizo silaha, kama angekuwa nazo angekuwa ameshazitumia.
2. Naona umekubaliana na mimi kwamba ni "wasumbufu" tu, na sio tishio la uhai wa Israel.
3. Israel ndio anaongoza kwa kuwa na silaha nyingi za nuclear mashariki ya kati.
Axis of evil mnasema ninyi,sisi tunaitambua axis of resistance.Sema axis of evil
Yaani haka ka Israel kanako agiza seraha Kila kukicha kamshinde mtu anaetengeneza?Inamtisha kwa maneno ?