Yaaani umempeleleza Hadi nje ya JFHumble african
Eiyer.
Da Vinci Jamaa mmoja Hivi design ya kina Wentworth Miller..
Huwa anaact Ana maisha ya shida ila kiundani Hana shida zozote shachat nae sana outside if.
Ila namkubali kwa mada zake.
Kama jina lako lilivyo mkuuYule ni debe tupu,sijui huwa anamkubali kwa lipi? Kwa story za kujifanya mganguzi, sijawahi kubaliana wala kumuelewa huyu debe tupu Mshana Jr
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Na lile dingi lililounga mkono juhudi wajumbe wa kawe wakamzimia taa, Pascal Mayalla, huyu hugonga likes thread nzima hata kama ina page 500+.Kwenye category ya kugonga likes mkwepu jr anachukua Crown.
Humble african
Eiyer.
Da Vinci Jamaa mmoja Hivi design ya kina Wentworth Miller..
Huwa anaact Ana maisha ya shida ila kiundani Hana shida zozote shachat nae sana outside if.
Ila namkubali kwa mada zake.
HahahahaMkuu Kuna wengine tunafahamika kabisa kwenye content za maana hatuwezi kutajwa ila njoo kwenye nyuzi za wenye vibamia sikosi!,nyuzi za kuitwa majina mabaya Kama kiberenge nipo!,ubaharia wa nchi kavu nipo!..n.k you have to know where you are..
Mpk nimeandika kiingereza jua ni swala lenye touching haswa! Mkuu we ni Bata tu Kama mimi..[emoji23]
Yupochief mkwawa sjamuona kwa list yako
😁😁😁Tena hovyo hovyo tuYule ni debe tupu,sijui huwa anamkubali kwa lipi? Kwa story za kujifanya mganguzi, sijawahi kubaliana wala kumuelewa huyu debe tupu Mshana Jr
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Fyuuuuuuuu
Nishagalifuta huko..Hahahaha
Ngoja wakiweka dream soccer utatajwa[emoji23]
Utakuwa umeshikwa makalio wewe, unaishi kwa kukaririUR THREAD IS USELESS ......KAMA HUJAMUWEKA .........MSHANA JR ......HUYU NDO KINARA ....WENGINE WANAFUATA. futa hyo thread yako
Tuko bize na kazi,ukijiona wewe ni muandishi mzuri sana humu ujue ni jobless
Boss kumbe na mimi nipo eeh, duhKama wafuatao hawapo hiyo list Ni feki.
1. Kitoabu
2. Sky eclat
3. Bushmammy
4. Mamndenyi
5. LwandaMagere
6. Extrovert
7. Zero IQ
8. KIDUKU LILO
9. CHIZI MAARIFA