Hebu fungua code hiyo mbona mafumbo mengi mi sijaelewa mpaka saiv naona unaruka ruka tu, ulinzi which!! MhWatu walipita kimya kimya ilaa..,ππππππ
Ulikua na ulinzi mkali sana aiseeee
Kabisaa, peponi moja kwa moja.Binti sayuni tusio na makuu kabisa
Shindikana ,wewe uwe mpole π€£π€£π€£ ngoja nimwite kijana wako wa buku mbili aje aone Mpaji Mungu π€£Hapana shindikana, huwezi kucheka ninapopewa tuhuma nzito namna hiyo. Wakati wewe ni shahidi jinsi nilivyo mpole.
Shindikana acha kunichafua, nitakufunga.Shindikana ,wewe uwe mpole π€£π€£π€£ ngoja nimwite kijana wako wa buku mbili aje aone Mpaji Mungu π€£
πππ Mnajitetea....Kapeace na mimi ndio tunaongoza kwa upole humu. Basi tu huwa mnamchokoza.
Wanamuita sabufa ππππShindikana ,wewe uwe mpole π€£π€£π€£ ngoja nimwite kijana wako wa buku mbili aje aone Mpaji Mungu π€£
Najali sasa!!!!π€£π€£πππ Mnajitetea....
Wewe ukiingia kwa 18 wanakubonda live live
πππUnaona kama naandika kichina hivi πππHebu fungua code hiyo mbona mafumbo mengi mi sijaelewa mpaka saiv naona unaruka ruka tu, ulinzi which!! Mh
Kafujo za kwakoTena wakuache cha upole wake shem wangu,π π
Huu mwaka nimeshiriki Sanaa hakuna siku ambayo sijawa Jf .Wakuu Baada ya kufanya utafiti mwaka huu mzima kuhusu watu wenye mchango mkubwa hapa jf hatimaye nimekujana na generalization of findings
Hawa ndio members wenye mchango mkubwa hapa jf
1 Labani og ...Huyu mwamba kama ingewezekana angekuwa analipwa tu na jf ..... mchango wake hapa jf ni extraordinary Kwani nimchambuzi wa soka, kwenye siasa ni mtu makini ... kwenye jukwaa la mahusiano ...yeye ni top advisor etc.....kikubwa huyu mwamba ni hatari
Extrovert ....ni mwamba mwenye akili mingi (genius) Baada ya Labani og ....ukiangalia contents zake zimeshiba madini....elimu na mambo mbalimbali ya kijamii
Nifah ....kulingana na utafiti wangu huyu mwanadada ni. Ameupiga mwingi mwaka huu Kwani unaweza sema yeye ni CIA, au mossad Kwan anapata classified Intel za ubuyu ambazo surely hua ni za ukweli
Tate Mkuu ...mwamba kaupiga mwingi kwenye upande wa futbol forum Kwa kuwa ni mtu ana comment Kila Uzi
Kalpana huyu ni member anayepitia maumivu makali Kila siku jukwaa la michezo kulingana ukindaki ndaki Kwa Simba ..ni kawaida kulala siku mbili bila kula kisa Simba [emoji23]
Robert Heriel Mtibeli ....mwamba sana huyu mwaka huu.....naweza mwita philosopher king wa jf .....mwamba anatoa madini mwanzo mwisho ...anaifanya jf kuwa kama Ile ya zamani kabla haija haribiwa na kina Mshangazi [emoji23][emoji23]
min -me ....jamaa katajwa sana adi nmeona aibu [emoji23][emoji23] name quote Poor Brain kwanza ni mtu wa heshima sana kiufupi ni mtu na heshima zake...
Japo ni mchambuzi wa nyuzi za maadili ila anapenda watoto.
min -me yuko vizuri kwny kuongelea vijana na harakati za maisha kwa njia ya unyenyekevu hasa kwny comments zake sema ana mahaba mno na na watoto wa 2000[emoji23][emoji23][emoji23]
To yeye mbeya girl popote ulipo ...mauwa Yako yakufikie Kwa ukubwa ,....kuwa miongoni mwa influencer wa jf mwaka huu
NB: research hii imefanyika mwaka huu mzima.....ikitumia participatory observation.... were as a researcher I was direct involved in study population.....where I watched everything happening there ( in JF)View attachment 3133955
Waweza ongezea mwingine ambaye kaupiga mwingi
MashallahBantu Lady , ana hekima na busara sana huyu dada.
Nifah , huyu sasa hivi yuko kwenye penzi zito, hashauriki.
Cute Wife , anajitahidi sana kwenye uandishi!
Evelyn Salt , huyu ana majibu fulani ya kisela a.k.a makavu live!
To yeye , huyu anapenda sana yale mambo yetu!
Aaliyyah , huyu anapenda sana kupika!
Shadeeya , hana tofauti sana na To yeye
Lamomy , huyu kama To yeye
Missy Gf , huyu naye kama To yeye
Nb: Wote pokeeni maua yenu!
Dada nipo vizuri! Sema wewe ndo huonekani mi nipo humu dailyShindikana acha kunichafua, nitakufunga.
Halafu mdogo wangu sijamtia machoni wiki hii!!!
Mpaji Mungu are you okay?
Oooh nimefurahi kukuona. Nikajua mishangazi ya k.koo ishakuficha!!Dada nipo vizuri! Sema wewe ndo huonekani mi nipo humu daily
Weka vigezo tuchukue jimbo πPa kujilipulia ndo bado sijapapata sasa
Shukrani nifah ..nakupa zawadi moja ya wimbo utaifurahia naamini..ndege JOHN sijawahi kukwambia napenda sana mtazamo wako katika mambo mengi, una a positive mindset huna makasiriko.
Nakukubali sana.
Kijana kijana kijana nimekuita mara tatu ππππMs R kulingana na utafiti wangu huyu mtoto . Ameupiga mwingi mwaka huu Kwani unaweza sema yeye ni mshangazi, au Mumama ila ni vile michango yake tuu.. Kwan anapata PM nyingi sana ambazo surely hua za vijana wa hovyo